Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sitakaa nisahau enzi hizo utoto akili yote ilijaa mapicha/movie, kwenye pepa moja kulikua na maswali ya kuandika kinyume mf, nene-nyembamba, kuna swali tukaambiwa kinyume cha adui nikajibu stelingi.
Mi nilipoambiwa kuwa mwanaume ndiye anaetoa mayai nilidhani staweza kuzaa maana niliona sina uwezo wa kutoa yai maana nilijua tunatoa mayai kama ya kuku
mi nilikuwa napenda komborera ili kademu fulani nikagonge. Nilikuwa najinoma kweli. Hivi nao ulikuwa ujinga eti eeh?
Mimi nilikuwa najiuliza umeme umekatika mbona magari taa zinawaka? ha ha ha
Dah!nakumbuka niliimwagia maji radio ya mdingi,aliponiuliza nikamjibu hawa watu hawajaoga muda mrefu!teh teh
Kuna dogo class kwenye hili swali la kinyume alijaza kama hivi:-
1. Njaa = anja
2. Kulia = aliku
3. ...
Alipata 0 kati ya ishirini, basi ticha akatusomea majibu yake darasa zima tulicheka!!