Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mi nilipoambiwa kuwa mwanaume ndiye anaetoa mayai nilidhani staweza kuzaa maana niliona sina uwezo wa kutoa yai maana nilijua tunatoa mayai kama ya kuku
Nilikuwa na amin masomo ya 'sunday school ombeni nanyi mtapewa' basi kunasiku nilipoteza hela hom nikajifungia rum nkaweka kikopo kumwomba Mungu anirudishie aziweke humo bt kila nikifungua kikopo hola!
Nilijua watu wazima hawanyi.
Si bora wewe? Mi nlikua najua wadada wazuriwazuri ndo HAWANYI.
mm mpaka jana nilikuwa najua rais ni tajiri kuliko wananchi wote.
Haya bwana mie nilibeba radio kwenda nayo chooni nikiamini kwamba nikitumbukia watanitangaza, teh teh!
nilikuwa nadhan watoto wa kizungu wanaakili sana, wanaongea kingereza wakiwa wadogo vile jamani!
Mi nilikuwa na
Naomba choras ya huu wimbo"mwenye hekima huona haya na kujificha bali mpumbavu huenda mbele na kuvimba kichwa"