BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,994
- 2,028
Ule mchezo wa kukaa barabarani then kila gari linalopita mnashindana kwa kusema hili langu nyie hamjaupitia? Mimi nilikuwa naibuka kidedea kila siku! Amakweli utoto mzigo!
Umenikumbusha mbali sana mkuu