Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Yaani mm mwanamke akisha zaa sichukui hata awe mzur vipi hata bure aende tu watu wanaroho ngumu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 


MANGEKIMAMBI: Zamaradi Mketema kaolewa Leo na mtoto wa ndugu yake Waziri Mkuuu Majaliwa!! Ambwaga bosi wa Clouds FM mchana kweupeeee. .
.
.
I'm so proud of you Zamaradi. Huku deserve kuwa na mwanaume wa kukutenda vile. Nakumbuka kuna siku nilikusema sana kwanini unakaaa na mwanaume anaekucheat kiasi cha kukuletea watoto? Sikuwa na nia mbaya kwako Ila nilitaka tu uijue thamani yako! I'm glad kuwa finally umepata nguvu ya kuachana nae na kumfata atakaeweza kukuheshimu...@zarithebosslady umebaki wewe tu na ustrong woman wako.
.
.
Sasa huyu ndio ana deserve kusifiwa na kuitwa Strong woman!! Haya yanaitwa maamuzi magumu!
.
. .
PS: kwa wale mnaodoubt hii harusi.Naomba msidoubt hii habari nna uhakika nayo 100%!!!

Inasemekana kwamba imefanyika kimya kimya Ruge kaona Picha mtandaoni leo
 
Aisee huyo sio dogo ni jitu zima hilo, na kuna uwezekano mkubwa na mwanaume kuwa na watoto wa nje tayari.
 
Nadhan umeshaelewa! Inaonekana kwa maneno ya humu kwamba ameolewa sababu Ruge amuoi so bila ya hivyo angemuoa! Trust me hizo ndoa za single moms zinazoenda vizuri angalia nyingi ni mtoto mmoja na kama ni zaidi basi na mwanaume ana watoto pia, vile vile nyingi baba mtoto kama hajatelekeza mtoto kwa huduma basi hayupo karibu na mama mtoto, vitu ambavyo havipo kwenye ndoa yetu mpya
Ruge kutomuoa ni sababu moja wapo ya kumove on... tusiwe majaji tu kaka... huyu ni mtu maarufu hata litokee jambo halitofichika na ndoa hiyo talaka sio jambo gumu, muda utaongea.
Binafsi naona ndoa iliyo bora sababu zamaradi ni mwanamke smart plus nikijivalisha viatu vyake hayo maamuzi ningefanya muda mrefu ruge kamzalilisha sana sio mara moja lakini kavumulia mno kama ilivyo asili ya mwanamke "uvumilivu" mpaka kaamua kuondoka ujue haina kurudi nyuma.
 
Ruge kutomuoa ni sababu moja wapo ya kumove on... tusiwe majaji tu kaka... huyu ni mtu maarufu hata litokee jambo halitofichika na ndoa hiyo talaka sio jambo gumu, muda utaongea.
Binafsi naona ndoa iliyo bora sababu zamaradi ni mwanamke smart plus nikijivalisha viatu vyake hayo maamuzi ningefanya muda mrefu ruge kamzalilisha sana sio mara moja lakini kavumulia mno kama ilivyo asili ya mwanamke "uvumilivu" mpaka kaamua kuondoka ujue haina kurudi nyuma.
Mwanamke sina tatizo na kuwa na furaha! Je mwanaume atakua na amani?
 
Back
Top Bottom