Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Zamaradi ambwaga Bosi wa Clouds, aolewa na mwanaume mwingine!!

Mapenzi kitu cha ajabu sana yaani unaona mwanamke ambaye bado Ruge atamla tu hata kama mmefunga ndoa
 
Ujinga wa kiwango cha lami. Vijana wengi wanatafuta umaarufu kwa watu maarufu
Wanaume tu na ndugu wa kike wa huyu jamaa ndio tunaelewa hili, naona mamarioo na single mums wanaona ni sawa ila hii ndoa huyu dogo atafurahia honeymoon tu baada ya hapo atakua hana amani kila wife anavyoenda kazini
 
Wanaume tu na ndugu wa kike wa huyu jamaa ndio tunaelewa hili, naona mamarioo na single mums wanaona ni sawa ila hii ndoa huyu dogo atafurahia honeymoon tu baada ya hapo atakua hana amani kila wife anavyoenda kazini
Uko sahihi... Baada ya muda huyo dogo akishaanza kuona vichedechede vya chuo basi ataanza kusaliti ndoa..
 
Sa mbna una2letea habar isoeleweka.......haeding yako inasema kambwaga boss ruge, then hapa unasema sura imefchwa....na je kama n Ruge mwenyw ndo wamrfunga ndoa....!
Mkuu kama unamfahamu Ruge ingawa huyo amefichwa sura ila inatosha kusema sio yeye
 
Uko sahihi... Baada ya muda huyo dogo akishaanza kuona vichedechede vya chuo basi ataanza kusaliti ndoa..
Na kwa maisha ya sasa hivi sidhan kama huyo dada atakubali kuongeza mtt zaidi ya mmoja tena kwa sababu tayar ana 2
 
Furaha haina formula ila huwa kuna factors zakuangalia kabla ya kuoa sijasema haiwezekeni kupata furaha na single mom, hiyo ndoa Ruge atakua hakwepeki kuwa mzimu unless Zama aache kazi CMG haihitaji hata degree kuliona hilo! Maana nyumban kwako yupo kwa damu yake na wife akienda job yupo naye, Huo utafiti wa ndoa za masingle mom kuolewa sana kuliko wasiozaa umeufanyia mkoa gani?
Mtu yeyote anaefanya maamuzi ya kuoa single mother ambae anafanya co parenting na mwenzie anajua fika huyo ex hakwepeki.... mimi sio mwanamume ila kwa mahusiano ya aina hiyo niliyoona na yamework out yanategemea sana na kujielewa kwa mwanamke na kiasi gani yupo kiimani na jamii inayomzunguka inamchukulia vipi na kikubwa zaidi mlianza mahusiano yeye akiwa na malengo (kama alikua kamove on na kajiandaa kwa mahusiano mapya utaenjoy lakini kama umechukua dunga yembe kaja kwako kumkomoa ex na kujifariji andika maumivu)
Kuoa single mother ni hatari hata umpende vipi usijali sana upendo wako kwake hali yeye kama yeye anasimamia wapi. Kitu kizuri mwanamke akichoka hata alale na ex kitanda kimoja hakuna litakalotokea
 
Mtu yeyote anaefanya maamuzi ya kuoa single mother ambae anafanya co parenting na mwenzie anajua fika huyo ex hakwepeki.... mimi sio mwanamume ila kwa mahusiano ya aina hiyo niliyoona na yamework out yanategemea sana na kujielewa kwa mwanamke na kiasi gani yupo kiimani na jamii inayomzunguka inamchukulia vipi na kikubwa zaidi mlianza mahusiano yeye akiwa na malengo (kama alikua kamove on na kajiandaa kwa mahusiano mapya utaenjoy lakini kama umechukua dunga yembe kaja kwako kumkomoa ex na kujifariji andika maumivu)
Kuoa single mother ni hatari hata umpende vipi usijali sana upendo wako kwake hali yeye kama yeye anasimamia wapi. Kitu kizuri mwanamke akichoka hata alale na ex kitanda kimoja hakuna litakalotokea
Nadhan umeshaelewa! Inaonekana kwa maneno ya humu kwamba ameolewa sababu Ruge amuoi so bila ya hivyo angemuoa! Trust me hizo ndoa za single moms zinazoenda vizuri angalia nyingi ni mtoto mmoja na kama ni zaidi basi na mwanaume ana watoto pia, vile vile nyingi baba mtoto kama hajatelekeza mtoto kwa huduma basi hayupo karibu na mama mtoto, vitu ambavyo havipo kwenye ndoa yetu mpya
 
Nilichokigundua kwa muda mfupi tu ni kwamba michango mingi ya kumponda / kumkejeli Zamaradi kwa uamuzi wake huo humu inatolewa na Misingo Maza iliyokubuhu na Magubegube yaliyotukuka.
Hatari sana
 
Back
Top Bottom