Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Arranged marriages zina arranged issues. Huwa tunaweka moyo pembeni and responsibilities forward.Kweli mkuu kabisa yani kuna watu wnamatatizo ya moyo wanawake walivyo wengi we unaenda kuowa mtu aliye zalishwa kweli
Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Na utamuoakitu ambacho siwezi kuoa mwanamke ambae amezaa
Ahhahahahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni matumaini yangu makubwa kabla ya hiyo Ndoa / Harusi walishapima pia UKIMWI / Dally Kimoko.
Nataka kuangalia series ya game of thrones nitumie link basiWatu wengi hawajui maana ya kufunika uso.
Maana yake ni kuwa mwanamke ni bikra, maana yake ni utando, kwamba mwanaume anaenda kuukata ule utando. Kumfunua uso maana yake anafungua bikra.
Anafungua njia.
Je huyo bi harusi ni Bikra???
Ingawa hujanilenga ila hata Mimi ningekua zamaradi ningefanya hivyo plus hata unioe 10 yrs ukianza kunifanyia vituko divorce itahusika vile vile.... mapenzi yanasumbua sana siku hizi ukiwa bingwa wa uvumilivu usio na msingi utakufa bila sababu (nimewitness failed marriages nyingi tu lakini watu wamo tu mpaka wanaonekana wakubwa kuliko umri wao)Ungekua zamaradi ungefanya ivo, ??
Furaha haina formula ila huwa kuna factors zakuangalia kabla ya kuoa sijasema haiwezekeni kupata furaha na single mom, hiyo ndoa Ruge atakua hakwepeki kuwa mzimu unless Zama aache kazi CMG haihitaji hata degree kuliona hilo! Maana nyumban kwako yupo kwa damu yake na wife akienda job yupo naye, Huo utafiti wa ndoa za masingle mom kuolewa sana kuliko wasiozaa umeufanyia mkoa gani?Furaha haina formula unaweza oa huyo asiyezaa na bikra juu labda na bado ukaishia kupuyanga...... wanaume wote wangekua kama wewe hakuna single mother angeolewa but kama upo very observant utagundua miaka hii single mothers wanaolewa sana tena na watu wenye uwezo kuliko wao kuliko the so called pures....
Stick to msimamo wako na Mungu akupe furaha katika huo lakini tu usizalishe mtu ukamuacha, utakua na mantiki zaidi ukizalisha uliyeoa na hata huko ndani kukifuka Moshi ng'ang'ana tu sababu ukimuacha anaweza akose mwenye roho ngumu wa kumchukua
[emoji120]I liked this it hurts to let go but it hurts more to hold on! Thanks
Pinda, Sumaye au Majaliwa?Huyo ni mtoto wa waziri mkuu ka kamata fursa
mhhhh shogaaHuyo kaka ajiandae kuugua
Sa mbna una2letea habar isoeleweka.......haeding yako inasema kambwaga boss ruge, then hapa unasema sura imefchwa....na je kama n Ruge mwenyw ndo wamrfunga ndoa....!Hatujui sura imefichwa tutaujua ukweli
Kazi sana ila mi bora nirudi kuoa ka form four kalikomaliza kuliko single mother naomba niepushwe na hiloIla wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Kwani we hujui zama na mmewe wagonjwa humuoni ruge afya mgogoromhhhh shogaa
Nimeongelea kifedha huyo aliyemuoa anaweza akawa hana kama za Ruge kingine kuachana na mwanaume aliyezaa naye watoto wawili na kuamua kumove on si jambo rahisi wanawake wengi wanashindwa hapa take it or leave it.
Ujinga wa kiwango cha lami. Vijana wengi wanatafuta umaarufu kwa watu maarufuIla wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo