mwandende JR
JF-Expert Member
- Aug 6, 2017
- 1,090
- 1,336
Hahahahaha am not a man... so you know best... can't argue hapoHiyo akili unayo wewe kuna watu nyege zinawapeleka vibaya anaweza kuoa hata changudoa
Well...Tena mwanamke alikua amewekwa ndani zaidi ya miaka mitano, kweli tuko tofauti sana.
hHhHahahahahMbona bwana harusi anafichwa sura kama anaolewa yeye?
2Zamaradi ana watt wangap na ruge?!
Kuna vijana wana roho za chuma jamani
acha kuita wenzio mbulula......unaona wivu zama kuolewa au ulitaka akuoe wewe ambaye hujazaa?Nasikia sikia jamaa kapiga double pale halafu kuna mbulula mwingine kabeba huo mzigo
Inawezekana alipewa sharti la kutomuonja hadi aoe na jamaa akajivika mabomuHahahahaha am not a man... so you know best... can't argue hapo
Madame mbona kama umefurahia boss kupigwa kibuti
Ukipenda boga.penda na Maua yake.mm namsapoti jamaa.maishi hayajalishi.mwanamke kazaa au haja zaa.kwani atalala na hao watoto mpaka ashindwe kufanya tendo!?Ila wanaume tuna tofautiana yaani kijana hata 40 haujafika unaoa mwanamke mwenye watoto 2 na mwanaume mwingine na unaamini ndoa itakua na furaha na amani, ana roho ngumu huyu dogo
Jamaa zembe sana badala ya kutafuta vitoto vibichi kabisa kitaa hata mimba havijatoa anaenda oa hyo mwenye watoto wawili kisha kesho anakuaga anawapeleka watoto kwa baba yao akawasalimieHuyo Jamaa atakuwa kafata frem za Zamaradi pale Kinondoni studio na Ghorofa la kina Zamaradi pale Mtaa wa Mafya Kariakoo walizoachiwa na Marehemu Baba yao
Yaani mm mwanamke akisha zaa sichukui hata awe mzur vipi hata bure aende tu watu wanaroho ngumu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hivi wewe kama mwanaume unajuaje kama mwanamke unayetaka kuoa ameshawahi kuzaa au la? Mbona stori za watoto waliokuwa wanawaita mama zao 'dada' na bibi zao 'mama' ni nyingi sana kitaan?Ivi bikira nikose, pia hata kuwa wa kwanza kumzalisha mwanamke nako nikose! Over my deadbody.
Hivi kwanini wadada munapenda sana kutembea na Maboss wenu mbona hamujifunzi?.MANGEKIMAMBI: Zamaradi Mketema kaolewa Leo na mtoto wa ndugu yake Waziri Mkuuu Majaliwa!! Ambwaga bosi wa Clouds FM mchana kweupeeee. .
.
.
I'm so proud of you Zamaradi. Huku deserve kuwa na mwanaume wa kukutenda vile. Nakumbuka kuna siku nilikusema sana kwanini unakaaa na mwanaume anaekucheat kiasi cha kukuletea watoto? Sikuwa na nia mbaya kwako Ila nilitaka tu uijue thamani yako! I'm glad kuwa finally umepata nguvu ya kuachana nae na kumfata atakaeweza kukuheshimu...@zarithebosslady umebaki wewe tu na ustrong woman wako.
.
.
Sasa huyu ndio ana deserve kusifiwa na kuitwa Strong woman!! Haya yanaitwa maamuzi magumu!
.
. .
PS: kwa wale mnaodoubt hii harusi.Naomba msidoubt hii habari nna uhakika nayo 100%!!!
Mwanaume mjanja hawezi kutojua mwanamke aliyezaa, na wewe kama umezaa nadhani umenielewaHivi wewe kama mwanaume unajuaje kama mwanamke unayetaka kuoa ameshawahi kuzaa au la? Mbona stori za watoto waliokuwa wanawaita mama zao 'dada' na bibi zao 'mama' ni nyingi sana kitaan?
Kwahiyo ndugu kupata mke unayemtarajia ni kudra za Mwenyezi Mungu tu, kama mwanamke anajua una akili hizo atakuficha kama ana mtoto alizaa kabla yako na kwakuwa ile kitu ni kama manati (hutanuka na kusinyaa) basi hutaweza kujua, au ukiwa mzoefu sana utaishia kuhisi tu.
Kwako wewe furaha ya ndoa ni kugegeda bila bughuza tu?Ukipenda boga.penda na Maua yake.mm namsapoti jamaa.maishi hayajalishi.mwanamke kazaa au haja zaa.kwani atalala na hao watoto mpaka ashindwe kufanya tendo!?