Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Sasa naelewa kwann marehemu Rugemalila Mutahaba alikuwa akilia kama mtoto alipokuwa akimbembeleza huyu bibie asimuache. Pengine ana mapenzi ya ukweli sana.
Yule kaka nilimpendaga vile alikuwa na akili nyingi sana, Mungu amuweke salama huko aliko
 
Vijana hakikisheni mnatafuta pesa na pia mnasimamia ukucha katika kuwakojoza hawa viumbe....mwanamke kama humkojozi hawezi kupagawa na wewe kiasi hicho.

Kweli hii hali tunayoenda nayo bado unapata nguvu ya kumkojoza mwanamke? Tutafute pesa ndio utajua kma atapagawa na wew au la.
 
Kaka hilo ni swali kweli? Huyu si ndio yule shemeji yako ambae nimeshindwa kumuacha, maana kila nikimuacha najikuta nimemrudia. Sasa imebidi niache kiranga nitulie nae tu.
Ooh hapo sasa nimekuelewa barabara, hapo kwa kweli kamatia kabisa kabisa.

Basi mwambie shemeji tumempokea kwa mikono 2
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…