Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utoto
Mapenzi ni ukichaa.Mapenzi Ni upofu.Mkuu,usimtweze sana.Yakikukolea tutajua tu.
Hayajakukolea
Hayajamfika.Mimi kwangu,mtu anayefanya extraordinary things juu ya mapenzi huwa namfurahia sana.Ni wa kumchunga tu asijiumize.Huyu Mayunga mbona kama ana sitiresi.
Hakuna kukolea wa nini naungana na@Mayunga234 na @MrQ kwamba huo ni ULIMBUKENI
Alafu kuna mpaka wanaume wamepost hilo bango bila hata aibu [emoji4]
Huyu Mayunga mbona kama ana sitiresi.
Ndiyo hivyo.Ni aina ya kuipalilia bustani ichanue vema,matunda yalike bila kigugumizi.Kwa style hiyo
CHAWA KAMA CHAWA UNAKAMILISHA KAZI ILIYO KULETA JFMtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Wasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizoLove is a beautiful thing....ukipenda na ukapendwa raha sana!!!!
Happy Valentine's Day [emoji3590]
Weka bango la mr, The...[emoji2089][emoji2089]Hata sielewi Baby ake.
[emoji1787][emoji1787]