Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Mayunga ni el capiteno wa Makasiriko Fc.[emoji1][emoji1] bongo stress nyingi sana..
Acha makasiriko kijana tafuta hela upostiwe hata status Whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mayunga ni el capiteno wa Makasiriko Fc.[emoji1][emoji1] bongo stress nyingi sana..
Acha makasiriko kijana tafuta hela upostiwe hata status Whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app
mapenzi ni kitu ya kufurahia. Ninachoamini mimi ni;Kumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba
Hiv unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh
Acha wivu Mayunga,Kumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba
Hiv unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh
Badala ya kuwakomesha hapo ndio anawatangazia wanawake kwamba huyu jamaa anafaa kwa matumizi ya binadamu. Jamaa ashindwe mwenyewe tu maana saiz atakua anatafutwa analetewa mpaka mlangoni [emoji3]
Ufala ni huo uliopost wewe, kuna watu kibao nje huko hawapendi vitu kadhaa kuhusu wewe... Ila wamekaa kimya kwa sababu haviwahusu.
watu hawachelewi mbembeleza wakule
siri imefichuka wakuu...bwana Shaabani mme wa zamaridi ni mpwa wake na waziri mkuu kassim majariwa, kwa hiyo zamaridi anaendelea kuchonga mizinga ili kupata asali ya kutosha......." ukitembea na muuza pafyumu na wewe utanukia tu.
Sasa Shabani ana Hela gani?Kama issue Ni pesa wangepostiwa kina Salah na Mo[emoji1][emoji1] bongo stress nyingi sana..
Acha makasiriko kijana tafuta hela upostiwe hata status Whatsapp
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umekosea ni hivii kumbandika mpenzio ktk billboard sio ushahidi ya kwamba ndio unampenda kwa sababu wapo ambao walichorana hata ktk ngozi (tatoo) na bado uaminifu ni ZEROOO
Imani bila matendo ni ubatili.
Mayunga ni el capiteno wa Makasiriko Fc.
Alipigwaga na wale walinzi wa Suma jktHuyu Mayunga mbona kama ana sitiresi.
Basi awakodishe IMANI,UPENDO na MIUJIZA tujue moja.mapenzi ni kitu ya kufurahia. Ninachoamini mimi ni;
Ukiwa na mtu unaempenda fanya kila kitu kinachokupa furaha. Siku yakiisha usijutie. Ishi, furahi mpk mwisho as long as anakupa furaha.
Huo ujinga wa eti cjui ulimbukeni cjui nini acheni kujikuta nyie ndo mnazijua kanuni za mapenzi [emoji16][emoji16]naona mna stress tu usikute mshapigwa huko ndo mana mnakuja kuleta hizo mambo huku.
Kama kumueka mtu kwenye bango ni kitu unafurahia muweke kila sehem kila mtu amuone ndo ufurahi.
Mapenzi hayana kanuni wala formula eti ulimbukeni mnaishi maisha kulingana watu wanavotaka au wewe unavotaka?
Na pia uzi bila picha husika ni usumbufu kwa wasomaji🙄Kumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba
Hiv unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh
Vyote viwili vinaenda sambamba pesa + kukojozwaVijana hakikisheni mnatafuta pesa na pia mnasimamia ukucha katika kuwakojoza hawa viumbe....mwanamke kama humkojozi hawezi kupagawa na wewe kiasi hicho.
Sasa Mayunga unaenda oa bongo movie unategemea nini?Yule dada anapendaga kujifanya hapendi attention Ila Ni bonge moja la attention seeker...Kaka wa watu kabaki anashangaa na dunia🤣🤣🤣🤣🤣Kuna vitu vinatia aibu sanaKumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba
Hiv unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh
Exactly.Na kutafuta kutrend