Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Ha ha ha hapo mwisho hapo...kama tangazo la condom!!!
 
Ohooo!!!
 
siri imefichuka wakuu...bwana Shaabani mme wa zamaridi ni mpwa wake na waziri mkuu kassim majariwa, kwa hiyo zamaridi anaendelea kuchonga mizinga ili kupata asali ya kutosha......." ukitembea na muuza pafyumu na wewe utanukia tu.
Mbona hili linafahamika muda mrefu tuu toka walipofunga ndoa
 
Wazee huu mtego mnauonaje sio wa kizamani kweli [emoji23][emoji23]
 
Acha kujitangazia soko kindezi kama vip lipia tangazo
 
Acha kutafuta utelezi kihuruma man,huu uvuvi unaotaka kuufanya hapa sidhan kama utafanikiwa
Mwamba unachowaza wewe usinilazimishe yawe mawazo yangu may be kwenye maisha yako hujapata mwanamke anayekupenda kwa dhati ndio maana unapinga kauli yangu me nimechangia kutokana ninachokiona kama umewaza mengine hiyo ni shida zako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…