Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam


Hahahahah
 
Siyo mbaya kwakua hayo ni mawazo yako.

Let her express her love for her husband na msimpangie how to do It !!!!!!
 

[emoji3][emoji3][emoji3]dah
 
Kumuweka Mpenzi wako kwenye Mabango ni Ulimbukeni tu na Ushamba. Hivi unaweza kumpenda mtu kiasi kwamba unambandika kwenye mabango duh.

Ni upumbavu uliokithiri na kujichora. unakuta mpenzi mwenyewe huko njr ni kicheche balaa kwahiyo unajichora tu kwenye mabango
 
Kuna. Mtu kaanzisha uzi kule kumuweka bango mpenzi wako siku ya valentini ni ulimbukeni, atakuwa moja ya michepuko wa zamaradi nini?

Kwa bango hilo. Aisee ntakupenda zaidi jana wala tusiwe wanafiki, mwanamke kaonesha matumizi sahihi ya pesa, sio wengine ni sina hela kila siku.
 
Ni wivi tu na roho mbaya.

Angefanya mzungu hapo ingekua sawa ila kwa kua ni Mtanzania wanaona eti ulimbukeni...
 
Kama ya mahondaw na Smart911 yalivyokuwa enzi hizo JF. Hii huwa ni kujihami
 
KWA UPANDE FLANI NA MUUNGA MKONO YULE DADA


ZAMA ZETU HIZI, WANAUME HATUSEMWI KWA MAZURI. TUNAONEKANA MSHETANI, MBWA, WATU KATILI!
ANGALAU HUYU KATI YA MILIONI 5O KAWEZA SIMAMA HADHARANI NA KUSEMA UKWELI.
Umenena vyema,hawa ndio wale above 30yrs,sasa kafikia mahali pa kupenda kwelikweli...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…