kelphin
JF-Expert Member
- Dec 24, 2019
- 9,872
- 16,319
Mapenzi ni ukichaa. VMapenzi Ni upofu. VMkuu, usimtweze sana. VYakikukolea tutajua tu.
Naunga mkono hoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mapenzi ni ukichaa. VMapenzi Ni upofu. VMkuu, usimtweze sana. VYakikukolea tutajua tu.
Ndiyo nani hao?Vipi mwijaku na baba levo wamepost tayari au bado
Yeye katimiza upendo.Ni juu ya mpenziwe kutekeleza kipande chake.then ukute hata mwanaume hamuelew kiivyo na kucheatiwa anacheatiwa
wote wanaoponda ni hawa👇Ni wivi tu na roho mbaya.
Angefanya mzungu hapo ingekua sawa ila kwa kua ni Mtanzania wanaona eti ulimbukeni...
Hapana amepitiliza nakuyaingilia maisha ya watu, acha akosoleweAcheni kuingilia maisha ya watu......
Vipi mwijaku na baba levo wamepost tayari au bado
Hapana amepitiliza nakuyaingilia maisha ya watu, acha akosolewe
Acheni kuingilia maisha ya watu......
Acha wivu mzee baba wewe umefanyiwa nini na mke wako au mpenzi wako?Maisha ya sinema yalisha mgharimu sana Zamaradi, lakini naona haiishi kukoma bado...
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaume wenzangu wengine Wana wivu kwasababu hawafanyiwi na wapenzi wao ndio maana wanapondaHapo kuna watu wanatamani wangependwa hivyo na watu wanaowapenda ila ndo vileee.
Zama katisha sana. Ukimpenda mtu unamfanyia tu linakokufurahisha
upumbavu tuLove is a beautiful thing....ukipenda na ukapendwa raha sana!!!!
Happy Valentine's Day ❤️
Wanasema bora Wali Dagaa kuliko walimwengu..Hapo zamaradi anaona kama amemuonesha upendo mume wake kumbe ndio anaipalilia makaa ndoa yake.
Kwanini nasema hivi? Siku zote wanawake hawapendani. Mwanamke anaweza akawa na rafiki mwenzake wa kike na kila jambo kuhusu mahusiano yake anamuweka wazi shosti yake lkn utashangaa shosti anamzunguka na kumuibia bwana.
Kumuweka kwenye bango kumewapa "alert" mashosti na wanawake wengine kuhisi Zamaradi anaishi maisha ya raha wkt wao kutwa kucha wanateseka na ndoa. HAWATOFURAHI. Mwisho wa siku watakimbizana kwa huyo jamaa na kumpa mitego ya kila aina na sidhani kama ataweza kuikwepa na mwisho atamsaliti na upendo walioujenga kwa miaka zaidi ya mitano kuisha na kuishia kupost status za kinyonge kutuita wanaume wote ma mbwa...
Haya mambo ya kuonyesha jamii umezama sana kwenye huba tuwaachie wenzetu. Huwa nawaheshimu sana wanaopendana kwa dhati na kuishi private life.
Anyways kupanga ni kuchagua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Ninavyoisoma picha:-Mtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Sure thing.Wasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizo
Kaka shemeji mbona ghafla sana?Happy valentine financial services
Sahihi kabisaa!kuna watu wana stress za hubaa mpk wanatamani kila mtu apitie stress zaoWasiopendwa hawawezi elewa hiyo ndo maana wanaona ni maigizo