This is the sad truthWanasema bora Wali Dagaa kuliko walimwengu..
Ni wachache wanapenda kusikia furaha na mafanikio yako..
Kupitia hili bango,ajiandae kisaikolojia mme wake kusumbuliwa na wasio mtakia mema,just for the sake ya kumkomoa..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
Mkuu umeandika kwa hisia saaaana hii comment daaaahNinavyoisoma picha:-
1. Bwana yuko na hostility and very passive.
2. Mioyo yao haina connections hatakidogo.
3. Hiyo ndoa mama ndiye anaithamini zaidi, wakati upande wa pili ukiwa full irresponsible.
4. Hiyo sura ya mshangao kwa baba ni kwa drama lakini moyo wake wala hauko hapo.
5. Analazimisha kufurahi lakini he seems not to wish, hii ingetokea.
6. Analia kwa kushindwa kubeba deni analopowa na mke wake, kwa sababu hawezi kubadilika na kufanya anachotaka mama.
7. Mjukuu wangu wa kiume haonyeshi huba, lolote kwa mke wake. Ama hayuko romantic na kwamba anategemea kuwa provoked na mke wake ili angalau achangamkie love.
8. Mwanamme anaonekana kuwa na majuto makubwa sana ndani ya huo uhusiano.
9. Mama anajua yote nilyoyasema na zaidi ya hayoe mengine siwezi kuyaandika mtandaoni kwa heshima ya ubinadamu wa wahusika.
10. Anajua anaupinzani mkali lakini ameamua kulinda mhusiano yake kwa uvumilivu na gharama kubwa kwa sababu anaepusha madhara kujirudia.
11. Mama anatunza mahusiano kwa kulinda hadhi yake katika jamii na familia yake.
12. Anajua anapitika vipindi vigumu sana katka mahusiano yake lakini ameamua kujitoa dhabihu kwa hehsima yake na ama watoto au watu wanaomtegemea.
13. Mama kisaikolojia anajitegemea 14wala hategemei chochote kikubwa kutoka kwa huyo jamaa ambaye moyo wake uko mbali, isipokuwa jina na kulinda aibu yake.
14. Hiyo picha hajapeleka ili kuonyesha namna gani anampenda mme, wake bali ni kuwathibitishia wapinzani wake kwamba yeye zaidi, na kutaka kumrejesha mme wake pengine akiona kama anajali, ataplay nafasi yake.
15. Mwanammen anadeka lakini pia hana hakika na uaminifu wa mke wake.
16. Mama anajitahidi kuonyehs moyo wake kwamba ni mweupe na sababu yoyote anayotumia yule baba kujustify, kutokuwa naye ki-moyo, si ya kweli.
Ninaona mengi sana kwenye hii picha lakini ujumbe wangu.
Naona naanza kupata hasira, acha niishie hapa. lakini hii siyo tangazo la furaha katika mahusiano wala tangazo la upendo, bali ni sauti ya mwanamke, baada ya kulia sana katika utumwa wa mapenzi, sasa anakata rufaa kwenye mahakama iitwayo dunia. Dunia ione, dunia iwe shahidi, dunia isuluhishe, dunia ifurahi, dunia icheke, dunia ijifunze, iamue na lolote litakaloendelea, baada ya hapa, "mama kanawa", ingawa kwa huzuni kubwa.
Wanawake acheni kuolewa na wanaume wasioonyesha kuwapenda, haijalishi umepitia mahusiano mangapi, haijalishi watu watakuonaje, lakini afadhali kuchelewa na kupata mme atakayekupenda na kujali upendo wako, kuliko kuwa mtumwa wa mapenzi na mwanamme asiyejali thamani yako. Matokeo yake ndiyo haya.
BANGO LIKO KWENYE PUBLIC DOMAIN, NA NDIYO NGUVU YANGU YA KUANDIKA NILIYOYAONA KWENYE PICHA ILE.
Mimi sio mtu wa drama namna hiyo...Haki siweziiii hata dunia igeuke siweziiiii ...We ngoja atakomeshwa na wenzieDia wewe unaweza mtundika mmeo bangoni? Kimbuka adui wa mme ni rafiki zako siku moja watakuonesha kuwa kumtundika bangoni sio kupendwa
Wewe unaweza kumtundika Mr kwenye bango barabarani?Mayunga una mpenzi?
Tuanzie hapo.
Nah.Wewe unaweza kumtundika Mr kwenye bango barabarani?
Me ndo imenichanganya zaidi ujue, mpaka nimeshindwa hata kumpa likeAlaf nilitaka nikuwish sema id inanichanganya saana.
Happy valentine my shem darin Espy Eroni
Sent from my SM-N920C using JamiiForums mobile app
Kukerwa is another level.Nah.
But why nikerwe na anaembandika mume wake?
Tuteseke sisi kisa bango?hebu kuwa mkubwa kwanza ndio urudi tuzungumze....maana naona unapanic panic tu[emoji16][emoji16][emoji16] mie ni panick kisa gani? kila mtu aishi namna anavotaka. Nyie mnamuona ana unafki mnaongea mawazo yenu ambayo sio lazima iwe ndo uhalisia. Kila mtu anafanya kitu kinachompa furaha yeye binafsi afterall mapenzi hayanaga kanuni.
Sawa na ule ujinga wanawake wanaambiwa kwamba mwanaume akikasirika usimjibu. Kwa wanaume wengine akiongea af ukakaa kimya anaona una kiburi hapo ndo unaharibu zaidi.
So jifunzeni kuishi mnavyotaka kulingana na aina ya mtu mlienae. Period.
dada kaona mume wake anapenda nini kampa anachopenda af nyie ndo mnateseka[emoji16][emoji16][emoji16]
Hahah umepanic kwasababu wewe ni mmoja kati ya wanaume mliopost hilo bango 🤣🤣🤣Kwan ukilipost unaota mbususu,wanaume msiokamili huwa mnajistukia sana kwann
@ERoni na Espy Eroni mnaitwa hapa.Me ndo imenichanganya zaidi ujue, mpaka nimeshindwa hata kumpa like
Imekuaje kwan mkuu, hebu muulize vizuri chemba
Dogo najua huna wivu wewe...hasa kwa braza wako! We elewa hivyo tu!!
Acha ibaki hivyo. TuoneMtangazaji Zamaradi Mketema ametrend sana kwenye mitandao ya kijamii kutokana na kukodi Bango na kuweka ujumbe wa mahaba kwa mume wake kama zawadi ya siku ya valentines.
Bango hilo liko maeneo ya Morocco Dar es Salaam ambayo ni barabara anayopita mumewe kila siku.
View attachment 2118894
Zama amesema kuwa mumewe Bwana Shabani alifurahi sana alipompeleka eneo la tukio hadi machozi kumtoka.
View attachment 2118895
Bango hilo litakaa kwa muda wa mwezi mzima.
Note: Madanga ya shemeji yetu yajipange pamoja na mke mkubwa (kama yupo) mwenzao kawazidi kete bango kuubwa kama tangazo la Condomu.
Kumbe "he's a garage man", safi sana!Na kupitia hilo bango mumewe atapata wateja zaidi kwenye garage yake..good business strategy