Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Mkuu umeandika kwa hisia saaaana hii comment daaaah

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wale wenye wapenzi wanaotembea kwa miguu aka TZ 11 ,sio mbaya mkabandika picha hata za black and white kwenye njia wanazopita unahakikisha ile mistimu au minazi iliyokuwa njiani unabandika picha yake.

Mimi wangu ameniambia nitembelee bango lilopo kwa m/kiti wa serikali ya mtaa au kwa mjumbe wetu nitajiona.
 
Narudia

KAMA HUMFIKISHI KILELENI kiasi aka Squirt KAMWE USITEGEMEE KUPENDWA.

OVA
 
Dia wewe unaweza mtundika mmeo bangoni? Kimbuka adui wa mme ni rafiki zako siku moja watakuonesha kuwa kumtundika bangoni sio kupendwa
Mimi sio mtu wa drama namna hiyo...Haki siweziiii hata dunia igeuke siweziiiii ...We ngoja atakomeshwa na wenzie
 
sisi tulioweka watoto wa watu profile pic whatsapp tuchanganye comments hapa pia ?
 
Tuteseke sisi kisa bango?hebu kuwa mkubwa kwanza ndio urudi tuzungumze....maana naona unapanic panic tu
 
Acha ibaki hivyo. Tuone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…