Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Aaaah wap, hamna loloteDaah aise jamaa kaula.. saivi atazichakata mpaka achoke. Maana wanawake watamiminika kwake kutaka kujua ni kipi hasa alicho nacho mpaka apendwe kiasi hicho..! 😄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaah wap, hamna loloteDaah aise jamaa kaula.. saivi atazichakata mpaka achoke. Maana wanawake watamiminika kwake kutaka kujua ni kipi hasa alicho nacho mpaka apendwe kiasi hicho..! 😄
Wewe kitu gani umemfanyia mume wako au mpenzi wako?Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza....
Mapenzi ya kuutangazia ulimwengu si mapenzi ni maigizo
Mwanamke utaijenga nyumba kwa mikono yako na mikono yako itaibomoa nyumba... kumuweka mtu hadharani ni kwa ajili ya biashara sana sana sasa huyu amekuwa bidhaa
Lakini inategemea uzuri na ubovu wa bidhaa kupata wateja..
Ni kukosa uelewa na ni zaidi ya ushamba na ujinga
Sura sura jamani khe! Aibu unaona we mwingine
missyrose Nami nakutakia valentine day nzuri nimeona siku isiishe bila kusema chochote juu yako moyo wangu utaumia wewe ni moja Kati ya watu peace usio na maneno mengi, smart kichwani bila kusahau una busara Sana na hekima, hiv ni vitu muhimu Sana kwa mwanamke yoyote yule mwenye malengo ya kuolewa lazima awe navyo hongera kwa kuwa navyo na Mungu akusimamia usibadilike.Yes anamiliki garage
[emoji106]Kizuri chajiuza kibaya chajitembeza....
Mapenzi ya kuutangazia ulimwengu si mapenzi ni maigizo
Mwanamke utaijenga nyumba kwa mikono yako na mikono yako itaibomoa nyumba... kumuweka mtu hadharani ni kwa ajili ya biashara sana sana sasa huyu amekuwa bidhaa
Lakini inategemea uzuri na ubovu wa bidhaa kupata wateja..
Ni kukosa uelewa na ni zaidi ya ushamba na ujinga
Sura sura jamani khe! Aibu unaona we mwingine
Kwakweli mimi siwezi ukute huyo bwana leo yupo busy na kumtumia mchepuko tu sms.😂😂Mimi sio mtu wa drama namna hiyo...Haki siweziiii hata dunia igeuke siweziiiii ...We ngoja atakomeshwa na wenzie
Haki umensisimua na uandishi wako ktk kutafsiri picha, nmejitahd kuelewa ulichokiandka kina make sense coz hata bond yao haionekan kabsa. Una uwezo mkubwa kusoma lugha ya picha, big Up.Ninavyoisoma picha:-
1. Bwana yuko na hostility and very passive.
2. Mioyo yao haina connections hatakidogo.
3. Hiyo ndoa mama ndiye anaithamini zaidi, wakati upande wa pili ukiwa full irresponsible.
4. Hiyo sura ya mshangao kwa baba ni kwa drama lakini moyo wake wala hauko hapo.
5. Analazimisha kufurahi lakini he seems not to wish, hii ingetokea.
6. Analia kwa kushindwa kubeba deni analopowa na mke wake, kwa sababu hawezi kubadilika na kufanya anachotaka mama.
7. Mjukuu wangu wa kiume haonyeshi huba, lolote kwa mke wake. Ama hayuko romantic na kwamba anategemea kuwa provoked na mke wake ili angalau achangamkie love.
8. Mwanamme anaonekana kuwa na majuto makubwa sana ndani ya huo uhusiano.
9. Mama anajua yote nilyoyasema na zaidi ya hayoe mengine siwezi kuyaandika mtandaoni kwa heshima ya ubinadamu wa wahusika.
10. Anajua anaupinzani mkali lakini ameamua kulinda mhusiano yake kwa uvumilivu na gharama kubwa kwa sababu anaepusha madhara kujirudia.
11. Mama anatunza mahusiano kwa kulinda hadhi yake katika jamii na familia yake.
12. Anajua anapitika vipindi vigumu sana katka mahusiano yake lakini ameamua kujitoa dhabihu kwa hehsima yake na ama watoto au watu wanaomtegemea.
13. Mama kisaikolojia anajitegemea 14wala hategemei chochote kikubwa kutoka kwa huyo jamaa ambaye moyo wake uko mbali, isipokuwa jina na kulinda aibu yake.
14. Hiyo picha hajapeleka ili kuonyesha namna gani anampenda mme, wake bali ni kuwathibitishia wapinzani wake kwamba yeye zaidi, na kutaka kumrejesha mme wake pengine akiona kama anajali, ataplay nafasi yake.
15. Mwanammen anadeka lakini pia hana hakika na uaminifu wa mke wake.
16. Mama anajitahidi kuonyehs moyo wake kwamba ni mweupe na sababu yoyote anayotumia yule baba kujustify, kutokuwa naye ki-moyo, si ya kweli.
Ninaona mengi sana kwenye hii picha lakini ujumbe wangu.
Naona naanza kupata hasira, acha niishie hapa. lakini hii siyo tangazo la furaha katika mahusiano wala tangazo la upendo, bali ni sauti ya mwanamke, baada ya kulia sana katika utumwa wa mapenzi, sasa anakata rufaa kwenye mahakama iitwayo dunia. Dunia ione, dunia iwe shahidi, dunia isuluhishe, dunia ifurahi, dunia icheke, dunia ijifunze, iamue na lolote litakaloendelea, baada ya hapa, "mama kanawa", ingawa kwa huzuni kubwa.
Wanawake acheni kuolewa na wanaume wasioonyesha kuwapenda, haijalishi umepitia mahusiano mangapi, haijalishi watu watakuonaje, lakini afadhali kuchelewa na kupata mme atakayekupenda na kujali upendo wako, kuliko kuwa mtumwa wa mapenzi na mwanamme asiyejali thamani yako. Matokeo yake ndiyo haya.
BANGO LIKO KWENYE PUBLIC DOMAIN, NA NDIYO NGUVU YANGU YA KUANDIKA NILIYOYAONA KWENYE PICHA ILE.
Hata wale wa RIVERSIDE UBUNGO nao wanao Valentines wao
Tabu inaanzia hapo. Ndo maana makasiriko ni mengiWanaume wenzangu wengine Wana wivu kwasababu hawafanyiwi na wapenzi wao ndio maana wanaponda
Wapate watu wanaowapenda vizuri na wanaweza kutumia pesa zao kuonyesha upendo watapunguza hasira ndogo ndogoTrue,watu wengi wana wivu sana
HakikaKuna. Mtu kaanzisha uzi kule kumuweka bango mpenzi wako siku ya valentini ni ulimbukeni, atakuwa moja ya michepuko wa zamaradi nini?
Kwa bango hilo. Aisee ntakupenda zaidi jana wala tusiwe wanafiki, mwanamke kaonesha matumizi sahihi ya pesa, sio wengine ni sina hela kila siku.
Wakapendwe vizuri kwanza ndo wataelewaSahihi kabisaa!kuna watu wana stress za hubaa mpk wanatamani kila mtu apitie stress zao
Kesho itajihangaikia. Mkweo nataka nikampost pale Salender panapokuaga na kideo.Kabusaaa acha tuishi Leo kesho hatuijui!
Mimi nikikupenda halafu niwe na hela kama za Zama tegemea kujikuta mpaka kwenye vipeperushi.Mtupende basi na sisi
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ova