Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

Zamaradi Mketema aweka ujumbe wa siku ya Valentines kwa mumewe kwenye bango Morocco, Dar es Salaam

missyrose Nami nakutakia valentine day nzuri nimeona siku isiishe bila kusema chochote juu yako moyo wangu utaumia wewe ni moja Kati ya watu peace usio na maneno mengi, smart kichwani bila kusahau una busara Sana na hekima, hiv ni vitu muhimu Sana kwa mwanamke yoyote yule mwenye malengo ya kuolewa lazima awe navyo hongera kwa kuwa navyo na Mungu akusimamia usibadilike.
Asante Hziyech22 I'm humbled mkorea mwenzangu..nimebarikiwa sana na ujumbe wako happy Valentines day to you and yours[emoji7]
 
Ambao hatuna ela za mabango tubandike hata picha zao kwenye nguzo za tanesco
😂😂😂😂
 
Watu wa jf baadhi tuna makasirikio sana single mother hana haki ya kupendwa?!!!au dhambi!poleni sana!
Mnateseka na mapenzi ya Zamaradi ya kwenu hovyooo!!
Hakuna njia isiyo na kona...muacheni aiishi Leo zama wa watu!
Single mama wakati ana ndoa halali kabisaa inatambulika mpk kwa Mungu!endeleeni kuteseka na vichefuchefu wenu wanaowapa stress....mda wote mnaona mapenzi machungu

Ukihisi umeumia na Zamaradi alichokifanya jua wewe unachembechembe za kichawi na ukizerrka utakua mwanga!
Muacheni Dada wa watu hajaomba mumchangie pesa ya tangazo na Mungu amlinde Zamaradi na kizazi chake na hasadi zenu wajaa!
Wangefanya wazungu mngesifia[emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57][emoji57]wanaafiki
Uoe singo mama mwenye watoto wawil na ana maradh yake tena yanajulikana public aisee..yule mwamba kwelkwel..hata mim ningempa tuzo..ndomana zamarad kaona ampende tuu mwamba....wee huon nandy anavyomganda nenga....sabab anajua..nenga kajitoa sadaka pale..hahahah...sis tuwe na makasiriko na zamarad kwa kipi hasa dada angu ..wanawake wapo tu..twawala twaacha...hakuna kipya..sanasana labda mdada thaman inapoisha kabisa na akajua..lazima jeur na mabega hushuka na kutulia...so hakuna kipya hapo..ni yeye tu kajitoa ufaham..kwamba ndo kapeeenda...then what....au la anatafta publicity...na hiv anataka aje na reality tv show yake ..bas anawaanda kisaikolojia..
 
Wadada mnakuaga wagum sana kuamin mambo..unaambiwa kabisa yule bwana ana ngoma achana nae husikii..mwisho wa siku unayavagaa unalaumu..aisee...mim huyo dada namjua kuliko unavyodhan..niishie hapa..na huyo jasiri muongoza way..nishafanya nae had kazi fulan fulan..so nawajua fika..na the whole industry ya entertainment inajua ...wako kimya tu..ni wewe tu dada angu ndo hujui...au useme kama unataka umbea(in warumis voice...RIP).. sawa..hahaha
Mimi nina umbea wenyewe kuliko wako. Tatizo lenu mnaamini sana vya kusikia. Unajua mtu akiwa kaungua akitumia dawa vizuri haambukizi? Hao mnaowaongelea lazima wako huko so kutembea na mtu alieathirika haiwafanyi na wao kuwa waathirika. Kwani mtu akiathirika ndo anakosa haki ya kupendwa? Mbona wewe hujaathirika hujapostiwa kwenye bango?
 
Mzigua90 Kuna vitu Unaweza kukuta huyo jamaa anavifanya kwa Zamaradi vinavyofanya Zamaradi azidi kumpenda jamaa Mfano mzuri Mimi kusema ukweli binafsi ni wakawaida sana na wala Sina fedha lakini wanawake niliobahatika kuingia nao kwenye mahusiano kipindi tofauti tofauti wananipenda ile mbaya mpaka najishangaa wengine Wananiona ni handsome lakini binafsi nikijicheki najiona wakaiwaida hata Wanaume wenzengu Wananiona kama navyojiona Mimi lakini nikaja kugundua personality ya upole, hekima, busara niliyonayo na maneno ya kimahaba ninayowaonesha ndio vinawa zinawavutia kingine na kikubwa zaidi ambacho wanawake wengi hawaongei ni kwenye sita kwa sita na mimi kwenye Hili eneo nipo vizuri Sana asilimia kubwa nawaridhisha ndio maana wananikubali.So huyo jamaa anaweza akawa na silaha ambazo kwa jicho la mtazamaji haoni lakini mwenye mali yake ndio anaona vizuri
Mkuu mwanamke akikupenda atafanya lolote kukufanya uwe na furaha. Kama mtu hujWahi kupendwa huwezi elewa ndo kinachosumbua kaka zetu wengi huku
 
Uoe singo mama mwenye watoto wawil na ana maradh yake tena yanajulikana public aisee..yule mwamba kwelkwel..hata mim ningempa tuzo..ndomana zamarad kaona ampende tuu mwamba....wee huon nandy anavyomganda nenga....sabab anajua..nenga kajitoa sadaka pale..hahahah...sis tuwe na makasiriko na zamarad kwa kipi hasa dada angu ..wanawake wapo tu..twawala twaacha...hakuna kipya..sanasana labda mdada thaman inapoisha kabisa na akajua..lazima jeur na mabega hushuka na kutulia...so hakuna kipya hapo..ni yeye tu kajitoa ufaham..kwamba ndo kapeeenda...then what....au la anatafta publicity...na hiv anataka aje na reality tv show yake ..bas anawaanda kisaikolojia..
[emoji3][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji16]kaka kwani yule wii yetu mwenye tattoo hajakuletea zawadi ya Valentine[emoji2]
 
Mimi nina umbea wenyewe kuliko wako. Tatizo lenu mnaamini sana vya kusikia. Unajua mtu akiwa kaungua akitumia dawa vizuri haambukizi? Hao mnaowaongelea lazima wako huko so kutembea na mtu alieathirika haiwafanyi na wao kuwa waathirika. Kwani mtu akiathirika ndo anakosa haki ya kupendwa? Mbona wewe hujaathirika hujapostiwa kwenye bango?
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji2][emoji2][emoji23][emoji23][emoji23]jamani ma mkwe uko sahihi kabisaa dear!kuugua sio kufa wanakufa wazima daily wanabaki hao wanaoambiwa wana ugonjwa. In short ni wivu tuu!
 
Mimi nina umbea wenyewe kuliko wako. Tatizo lenu mnaamini sana vya kusikia. Unajua mtu akiwa kaungua akitumia dawa vizuri haambukizi? Hao mnaowaongelea lazima wako huko so kutembea na mtu alieathirika haiwafanyi na wao kuwa waathirika. Kwani mtu akiathirika ndo anakosa haki ya kupendwa? Mbona wewe hujaathirika hujapostiwa kwenye bango?
Inataka exposure kuuuubwa mno kwaa sisi ngoz nyeus et kujua kabisa mtu kaathirika halaf namim nikajichomeke...yaan tena mim ndo kabisaa siwez...mim had navaaga 3 sometime..mchezo...hahhaahha
 
Mkuu mwanamke akikupenda atafanya lolote kukufanya uwe na furaha. Kama mtu hujWahi kupendwa huwezi elewa ndo kinachosumbua kaka zetu wengi huku
Yaani Sanamu lako tuliweke wapiii?!!Posta Au Sinzaa...!!![emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Sema hujapata wa kukufanyia mambo ya ngwengwe mnasema nyiee madokta wa mtaani. Msimseme mtu hali yake ya afya wakati hujampima na huna majibu yake. Sana sana mnakua mnamuonea wivu jamaa kupendwa. Maana Zama akitaka bwana wa maana zaidi anampata vizuri tu ila ndo kampenda fundi garage wake.

Jikazeni kina kaka na nyie mtakuja mpate kina Zama
Wanateseka kaka zetu wanapata vishkwambi wamepewa sana pipi tena kaikuta kwenye mkoba wa demu!
For sure Zamaradi atabadili kitazamo ya wadada wengi...kwenda extra ordinary!
Maana wanawake tunaamini ktk kupewa na sio kutoa vya kwetu!
Mi nimefurahi kama kafanyiwa kaka angu!au na mie Niko in love!
Mwanaume wa bongo zawadi anayojua kukatiwa kiuno tuuu kitandani
 
Back
Top Bottom