Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Zamaradi Mketema wa kukosa Tsh 200,000/= kweli. Malipo kwa wafanyakazi

Huyo dogo ashapiga hapo ndo mana kakomaa nae hivyo,hamna deni wala chochote.kanyimwa kuendelea kula mbususu ndio anaharibu.
Ustaadhi Shabani kule anawekewa bango anachekacheka tu.
 
Zama Kwa muonekano wa nje ni mtu safi,ila Kwa ndani Kuna matatizo maana mabestfriend wake wote haongei nao kuanzia,Dina Marioss,Faiza Ally,Shamsa Ford,Irene Paul wote wanasema aliwafigisu

Siwasemi vibaya kina BETINA ila ukiona mdada wa kibongo ana Mipunga halafu mwili umemkataa wakati mimi namuona kila siku anapark vogue lake T3*6 EA* pale Open Kitchen anakula mapochopocho halafu bado yupo namba moja(hanenepi) basi ujue ROHONI hakunjuki(Roho Mbaya).
 
Nimjuavyo Dada Zamaradi Mketema Classmate wangu SAUT Mwanza Darasa letu la BAMC 2006 - 2009 ( japo hakuendelea tena Kusoma ) na Kujikita na Business Deals zake zingine si Mtu Mswahili na Mpuuzi wa Kushindwa Kumlipa huyo Mtu hiyo Pesa.

Sometimes ukiwa Tajiri au na Mafanikio ya Kimaisha Maadui zako hupenda Kukuharibia kupitia Watu wako wa Karibu wakiamini kwa Upumbavu ( Upopoma ) Wao kuwa Watakushusha wakati kumbe ndiyo wanazidi Kukupaisha tu Kiumaarufu.
Pumba..Kama pumba ..et ujuavyo hawazi kushindwa Kulipa...umjitambulisha ili ukuite akupe kazi au? Vp unamshobokea zamaradi badala ya kumtetea Huyo dogo.
 
Ni kweli nilisahau tu, mange alishawahi kumchamba Sana mwamvita. Nadhan ilikuwa kuhusu yule mumewe mzungu. reymage mwamvita alishawahi kuchambwa buana nikikumbuka vizuri ntakusimulia [emoji23][emoji23]
Walichambana Mwamvita akavujisha chati za Mange alizokua anamtumia alivokua anacheat na jamaa mmoja hivi akawa anamsifia mpk akasema nusu ampe tigo
Ndoa yake ndo ikaanza kushake kuanzia Hapo Mange ndo akabeba mimbaa ya mtoto wa tatu
 
Back
Top Bottom