Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Toka kwanza huko ulikojifungia hiyo akili yako ndio utanielewa namaanisha nini.
 
Toka kwanza huko ulikojifungia hiyo akili yako ndio utanielewa namaanisha nini.
Kama haya ndio majibu yako bora nisikuelewe..., Knowledge yako baki nayo.... ila jaribu kupitia neno Hubrus au Jiulize kwanini Socrates alisema yeye ni Wisest Man Alive; ukijua hayo utakuwa umejisaidia sana - Huenda hujui kwamba hujui....
 
Umemaliza kila kitu mzee kama matahari yapo hasa akina Mwijaku na steve nyerere yamo humu yatakuwa yamekuelewa.
 
Toka waanze kufanya biashara zao sisi kama Taifa tulinufaika na nin zaidi ya ufisadi wenu... Bandarini
Hacha waendee huko akili ipanuke
 
Umewaza kijinga na kichoko sana.
 
Pamoja na yote ila Zambia hawawezi kuikwepa bandari ya Dar. Wanatapatapa tu.
 
Taja Kifungu cha Katiba kinachosema Tanzania lazima isafirishe Mizigo ya Zambia na Congo!
Hayo sio maswali ya kumuuliza mtu,na ww unaonekana hujielewi katiba haziongei hivyo hata siku moja.uliza maswali ya msingi
 
NAANDIKA KWA HERUFI KUBWA NA NIMEFUATILIA TATIZO LA BANDARI LINAANZIA KWA JAKAYA MRISHO KIKWETE NA KUNDI LAKE LA WAFANYABIASHARA AMBAO WAMEVAA KOFIA YA UCCM ILI MAMBO YAO YAENDE NA HAWATAKI KULIPA KODI KWA MIZIGO YAO YOTE INAYOINGIA KUPITIA BANDARI YA DAR ES SALAAM,NA NDIO WANAOPINGA BANDARI KUPEWA MWEKEZAJI.WATANZANIA TUNAZUNGUKWA SANA ISIVYO KAWAIDA NA CCM INAFANYA KAZI YA KUTUCHONGANISHA WATANZANIA HADI TUNAANZA KUINGIZA UDINI NA UKANDA KWENYE SUALA LA BANDARI.JK NA KUNDI LAKE NCHI IWAANGALIE KWA UKARIBU NA INASEMEKANA 2025 WANAMTAKA MTU WAO NA MAMA SAMIA HATAKIWI.NOTES THIS.
 
Huko Angola Libito nako yupo DP World?
 
Wewe ni jinsia gani
 
Safisha matako kwanza mpuuzi mkubwa
 
Kwakweli inauma Sana!
 
Mjinga mm yako K wewe
 
Mjinga na wajinga ni ukoo wenu
Kama ni uwekezaji mbona watanganyika waliukubali kipindi yote ya mkapa. Ine wakatae leo [emoji848]tena wameondoa tofauti zao ma kuungana
Wewe uliemjinga mwenye akili uoni kama kuna tatizo?
Kama umetumwa rudi tena Waambie wamegoma kuuzwa utu wao
 
Acha ikae tu mpaka tutakapo pata Viongozi wazarendo wa kuweza kusimamia Bandari na maliasili zetu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…