Che mittoga
JF-Expert Member
- Mar 28, 2017
- 12,658
- 16,205
Wamepewa Bandari zote za Tanganyika, kwa miaka yote, hadi shughuri za Bandari zitakapo koma. Bandari Za Bahari, Maziwa, Mito na zile Kavu.Kwanza wamepewa bandari ngapi? Kwa mujibu wa kifungu gani?
Nina hakika kifungu kipo indirectlyNani kasema Katiba inasema hayo?
Umekunywa chai kweli bwashee? Au umeamka na hangover?
niheri waongeze kodi kwenye miamala nabei yamafuta kufidia hilo kuliko kutapanya urithi wetuMuulize maswali yenye logic
Unajua ni hathari kiasi gani inaweza kutokea pindi tu wakiacha kutumia bandari ya tz?
ninyi nakijiwe chenu nimoja kati ya wahuni wachache wasio itakia mema nchi yetuHaya majinga majinga Huwa yanadhani Kila mtu ambae anasapoti Rais Samia au Bandari ni Mzenji,Kwa taarifa Yao Mimi kwetu Njombe na naunga mkono hoja..
Jana kwenye kijiwe na washakaji wengi walisema Bora Apewe Mwarabu kuliko watu wachache kuigeuza Bandari shamba la bibi harafu wajinga wanahemka.
Imeuzwa kwa bei ya kutupwaImeuzwaje?
Tuliza wengeWatafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Kwani Congo na Zambia wanapitisha mizigo kwa % ngap katika Dar Port?"""Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia""""
You speak as if wewe ni raia wa nchi nyingine...pathetic kabisa, hakuna Mtanzania anayekataa uwekezaji ulio na tija kwa Tanzania.
Huko Lobito nako wanakwenda kuweka mkataba kama ya Tanzania na DPW? Kama ndiyo, bora waendelee wao sisi tutawakuta mbele ya safari.Hii sio hadithi. Huu ndo ujasusi wa kiuchumi sasa.
Nyie endeleni ujinga wenu tu wakati wenzenu wako kikazi hawataki maneno mengi.
Mimi namshangaa, kutoka Dar hadi Guanzhou (China) ni masaa 11 kwa Air Tanzania. Tukianza kutumia ndege za mizigo kwa mikakati imara tunapiga faida. Sasa wajinga wanashindwa kuangalia namna ya kutatua changamoto ya kiutawala pale Port wao wanakimbilia kuiuza.Mizigo mingi ya congo inatokea china ambae ni super producers. Itakuwa ni gharama kubwa Kwa mizigo kutoka china Hadi Angola.
Bandari ya Dar ipo hapo kimkakati.
Kama bandari ya msumbiji iliyo Bahati ya Hindi imeshindwa kuichallenge Dar es salaam port ndio ije kuwa bandari ya Angola
Kupewa Mwarabu bila kurekebisha baadhi ya vifungu ni bora hao wachache waTanzania waendelee kuifanya Shamba la bibi.Haya majinga majinga Huwa yanadhani Kila mtu ambae anasapoti Rais Samia au Bandari ni Mzenji,Kwa taarifa Yao Mimi kwetu Njombe na naunga mkono hoja..
Jana kwenye kijiwe na washakaji wengi walisema Bora Apewe Mwarabu kuliko watu wachache kuigeuza Bandari shamba la bibi harafu wajinga wanahemka.
We nae ata nyumba yenyewe hauna, wapi uliona nyumba inadumu milele? Ongea vitu logical siyo kusema ujinga.Kuna mijitu nchi hii yanahitaji maombi, Mimi nyumba yangu natafuta mpangaji wa milele sio wale kila miezi 6 wamehama natafuta wa milele muhimu kodo naweka mimi...
Acha ujinga, kama kuendesha nchi tunashindwa sembuse kutengeneza mkataba isyokuwa na dosari. Acha kutetea ujinga. Yaani kutengeneza njia bora ya kuendesha mashirika na taasisi za serikali imetushinda alafu unakuja kueteta kuwa mkataba imekaa vizuri tena iliyotengenezwa na wajinga kama wewe.Hakuna kifungu kisichosawa katika huu mkataba. Zaidi ya upotoshaji ambao baadhi yetu tumeamua kwa makusudi kabisa kuwa wapinzani wa mipango yetu wenyewe, so sad.
Kwani Loliondo alikopewa waarabu tokea Enzi za Rais Mwinyi imekunufaisha ni nini? au unadhani madini ya Almasi na Dhahabu na Gesi Mtwara inanufaisha nchi zaidi ya Bandari inayoendeshwa na wabongo? Mkiwapa DPW kwa makubaliano ya terms zile nmeliwa zaidi ya bora ibaki tuendelee kuiendesha.Toka waanze kufanya biashara zao sisi kama Taifa tulinufaika na nin zaidi ya ufisadi wenu... Bandarini
Hacha waendee huko akili ipanuke
Wameanza kutafuta njia mbadala baada ya sisi kupiga kelele kuhusu DPW? Mbona siku zote DPW haikuwepo na hawakuwa wanatafuta njia mbadala?Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Duuh! Mkuu Nimekufwatilia sana response yako, naona ni walewale tu , hamna kitu, hujibu hojaHuo sio msimamo! Huo ni ujinga? Wapi pana ukakasi?
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Broo unatudhalilisha watu wa njombe Bora ungetaja hata Dar es salaam.Haya majinga majinga Huwa yanadhani Kila mtu ambae anasapoti Rais Samia au Bandari ni Mzenji,Kwa taarifa Yao Mimi kwetu Njombe na naunga mkono hoja..
Jana kwenye kijiwe na washakaji wengi walisema Bora Apewe Mwarabu kuliko watu wachache kuigeuza Bandari shamba la bibi harafu wajinga wanahemka.