Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Zambia na Congo zaanza kutafuta njia mbadala kusafirisha mizigo yao

Uliishajiuliza ni lini Serikali iliwahi kuwa na ufanisi kwenye sejta yoyote? Tuna utendaji wa hovyo wa serikali kila mahali:

Bandari ufanisi hafifu
Elimu ufanisi hafifu
Utawala bora ufanisi hafifu
Mipango yetu ufanisi hafifu
Usafiri wa anga ufanisi hafifu
Usimamizi wa sheria ufanisi hafifu
Uheshimu wa katiba ufanisi hafifu
Huduma za reli ufanisi hafifu
Kilimo ufanisi hafifu
Uvuvi ufanisi hafifu
Viwanda ufanisi hafifu
Huduma za umeme ufanisi hafifu

Kama kila penye ufanisi duni, jibu ni kumleta DP, basi tumkabidhi Serikali nzima.

Ukweli ni kwamba kila mahali kuna ufanisi hafifu kwa sababi SERIKALI HAINA UFANISI. Siku zote ukitaka kutatua tatizo, nenda kwenye kisababishi, siyo kwenye matokeo.
Daah, nakazia hapa
 
Inaonekana uelewa wako una walakini mkubwa. Wewe unafikiri kila kilichouzwa ni lazima kuwe na shilingi.

Hivi unaelewa nini ukiambiwa kuwa Taifa fulani limeuza uhuru wake, au limeweka rehani utaifa wake?

Panua akili, usijifunge kwenye fikra ndogo.
Mkuu, wanafahamu sana tu, ni vile wamejitoa ufahamu, na kuwa mabuyu makavu, kutetea matumbo yao....Nafsi zao zawasuta ni vile tu tamaa yao yawatia kiburi
 
Bana weeeee..... don't take us for fools

DRC Congo imekataa kusaini mkataba na DP World kujengewa na kuendeshewa bandari yao ya Banana Port kule Atlantic Ocean. Mpaka DP World wamelalamika kwamba Congo imewasainisha MOU halafu ikawapotezea... DRC Congo walishtuka


Cheki hapa chini:


Sasa kama Congo wamekataa kusogelewa na DP World kwa nini sisi ndio tujitwike zigo la DP World kuwanufaisha DRC Congo ?????
Mkuu, inasikitisha kweli....binafsi, hii issue inaniuma sana,
 
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Mjinga wa kwanza ni wewe mtoa mada ambae hujui wanaopinga wanapinga kitu Gani?

Mkataba utaisha lini?
Tz faida tutapewa asilimia ngapi?

Ukinipa majibu hayo tutajadiliana Ili nikuonyeshe na wewe ulivyomjinga kama hao wengine uliowaita wajinga.

Sent from my CPH2385 using JamiiForums mobile app
 
Lord denning kwann unajitoa akili kisa posho? Ni mtanzania yupi hataki uwekezaji? Kwann mnapotosha kua watanzania hawataki uwekezaji wa DP world? Hoja za watanzania zipo waz kbs kuhusu some articles kweny mkataba zirekebishwe au ziondolewe!! Acha uzushi kisa posho.
Mkuu, hakika bila shaka hii ni posho, si kwa mgando wa namna hii
 
"""Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia""""

You speak as if wewe ni raia wa nchi nyingine...pathetic kabisa, hakuna Mtanzania anayekataa uwekezaji ulio na tija kwa Tanzania.
Una mentality ya kijinga na kipuuzi sana wewe..!

Hili linahitaji exposure ya aina gani iwapo Mungu kakupa akili na ufahamu wa kusoma na kuelewa baya na zuri kabla ya kufanya maamuzi.???

Au ndiyo nyie mliohongwa kwa kupelekwa Dubai na hao waarabu kushangaa robots ziki - operate mitambo ya kupakua makontena? Hiyo ndiyo exposure inayofanya muuze bandari zetu za Tanganyika? Kwanini tusiboreshe kwa sisi wenyewe kuinunua teknolojia hiyo?

Tundu Lissu katuambia leo hivi watu dizaini yako mnaoshabikia mkataba huu ni aidha wajinga hamna akili au mmehongwa kiasi cha hongo hiyo kuharibu kabisa mifumo yenu ya ufahamu na akili ya kuwawezesha kufikiri vyema..!. Nami nakubaliana naye 100% kuwa nyie na Samia wenu mmevurugwa, hamna akili..!!

Nani by the way, nani kakuambia kuwa huo mkataba uliosainiwa na "nani kama mama " ni uwekezaji?

Huo sio mkataba uwekezaji (investment agreement) bali ni mkataba wa viongozi wajinga na wapumbavu kuwakabidhi watu wa taifa jingine mali na rasrimali asili zetu...

Kama ni mkataba wa kibishara wenye lengo la kuleta improvements, ni wapi imeandikwa na kusemwa hivyo ktk mkataba huo? Na hebu tuambie, huyo ndugu yenu mwaarabu anawekeza nini na kiasi gani ili in return kituletee nini na kwa wakati gani sisi wenye nchi na mali yetu?

Kutumia akili yako ya kawaida tu kuelewa unahitaji exposure ya aina gani na ya wapi eti..??
 
Wakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.

Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!

Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Hiyo safi sana wala isikussubuwe kabisa, mimi naamini kwenye ushindani wa biashar ndipo kunazaa ubora wa huduma.

Sisi kwa upande wa Zambia, tumeliua wenyewe soko kuanzia bandarini, reli, barabara mpaka pale Tunduma,

Hao wametuheshimu sana kuvumilia yote hayo kwa miaka mingi sana. Ukiitazama TAZARA utafikiri imepigwa bomu, ukiitazama bandari hohehahe. Ukienda Tunduma kama nidereva wa kutoka nchi za nje basi huna hamu ya kurudia tena njia za Tanzania.

Ukija kutazama madereva wa IT wanaokuja kuchukuwa gari zao Dar. Hao ndiyo kabisa hawana hamu, wanacheleweshewa kutoa magari, yanaibiwa vifaa yakiwa bandarini, wanasumbuliwa na mapolisi njia nzima, kila sehemu kukaguliwa, na hakuna cha kukaguliwa bali ni lazima watowe posho ya kusafisha viatu.


Binafsi nawapongeza sana kwa uamuzi huo.

Kama wanavyosema wengine humu, kuwa mizigo yetu ya Tanzania tu inatutisha, ni heri tubaki kuwa omba-omba wa bajeti yetu kwa wazungu kuliko kuwa na sisi na ubora wa kuwaajiri wazungu.

Heko sana Watanzania wazalendo, tutapakia kwenye tazara mzigi wetu wenyewe. Tutatumia bandari yetu kwa meli zetu wenyewe. Kwani tataizo nini? Si wazungu wanatulisha? Waende zao haraka sana, wasitunyanyase.


Kwa upande wa Zambia na Congo nawaunga mkono, maana hapa mpaka shaba zenu zilikuwa zinaibiwa. Abiria chunga mzigo wako.
 
Watafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Umeona eeh. Bandari yetu waituwe na waikome. Si ipo bandari ya Mombasa, ipo bandari ya Unguja pia, waende huko.
 
Mkuu, inasikitisha kweli....binafsi, hii issue inaniuma sana,
inamuuma kila mtu ninaongea nae inamuuma personally ...

Kule upande wa pili wa DRC Congo kuna bandari, Dubai walikuwa wanaimezea mate, Congo wameshtuka wamekataa kusaini mkataba.


Sasa yule mwanasheria aliyesema yeye ndio ame negotiate huu mkataba amesema eti ilibidi tuwahi kuwadaka DPW kwa saab wanatakwa na majirani zetu.

Kumbe uongo mtupu kwa sababu DPW na wenyewe wana anjia biashara, wana lobby, wanalalamika wakinyimwa tenda kama kampuni nyingine yoyote. Wao DPW ndio wamebembeleza biashara ya kujenga bandari Congo, wamekataliwa, wamelalamika. Halafu wamefukuzwa Djibouti. Kwa hiyo si kweli kwamba DPW ni hot cake ambayo kila mtu anaitamani kwa gharama yeyote. Serikali imeongopa.
 
inamuuma kila mtu ninaongea nae inamuuma personally ...

Kule upande wa pili wa DRC Congo kuna bandari, Dubai walikuwa wanaimezea mate, Congo wameshtuka wamekataa kusaini mkataba.

Sasa yule mwanasheria aliyesema yeye ndio ame negotiate huu mkataba amesema eti ilibidi tuwahi kuwadaka DPW kwa saab wanatakwa na majirani zetu.


Kumbe uongo mtupu kwa sababu DPW na wenyewe wana anjia biashara, wana lobby, wanalalamika wakinyimwa tenda kama kampuni nyingine yoyote. Wao DPW ndio wamebembeleza biashara ya kujenga bandari Congo, wamekataliwa, wamelalamika. Halafu wamefukuzwa Djibouti. Kwa hiyo si kweli kwamba DPW ni hot cake ambayo kila mtu anaitamani kwa gharama yeyote. Serikali imeongopa.
Roho inauma huyu mama sijui hana moyo? Hivi siku ikitokea katiba imebadilishwa hakuna kinga ya viongozi hawawazi kabisa yatakayojiri? Na he ijabu kabisa hata aibu tu haoni yaani daaah!!!

Sent from my CPH2385 using JamiiForums mobile app
 
Mimi Mkenya hapa, hili suala la bandari yenu nafuatilia kimya kimya ila nakosa kupata kuelewa nini haswa, maana kila mmoja ana hoja zake, au kasoma mkataba na kuelewa kivyake, mara bandari inauzwa, mara inakodishwa, mara ni ubia, mbona msiwe na lugha moja ambayo hata mama nitilie mtaani ataielewa?

Mnatupiana maneno hadi basi, utadhani ubishi wa Simba/Yanga wakati ni raslimali muhimu sana ya taifa......
huu ugomvi niwa kifamilia ww uwe mtazamaji tuu!! Tena nyny wakenya ni wezi kweli , kila zuri la Tanzania mnataka liwe lenu , juzi rais wenu anasema eti binadamu wa kwanza aliishi Kenya "" kwa maana nyingine lile fuvu walilogundua akina dr. like lilifumbuliwa Kenya na sio Olduvai gorge Tanzania !! [emoji44][emoji28]
 
huu ugomvi niwa kifamilia ww uwe mtazamaji tuu!! Tena nyny wakenya ni wezi kweli , kila zuri la Tanzania mnataka liwe lenu , juzi rais wenu anasema eti binadamu wa kwanza aliishi Kenya "" kwa maana nyingine lile fuvu walilogundua akina dr. like lilifumbuliwa Kenya na sio Olduvai gorge Tanzania !! [emoji44][emoji28]

Ugomvi wa kifamilia ila makelele yanatukuta hatulali, ukimdunda mkeo hakikisha huwasumbui majirani, kuhusu binadamu wa kwanza hukujua kaanzia kijijini kwetu?
 
Hiyo safi sana wala isikussubuwe kabisa, mimi naamini kwenye ushindani wa biashar ndipo kunazaa ubora wa huduma.

Sisi kwa upande wa Zambia, tumeliua wenyewe soko kuanzia bandarini, reli, barabara mpaka pale Tunduma,

Hao wametuheshimu sana kuvumilia yote hayo kwa miaka mingi sana. Ukiitazama TAZARA utafikiri imepigwa bomu, ukiitazama bandari hohehahe. Ukienda Tunduma kama nidereva wa kutoka nchi za nje basi huna hamu ya kurudia tena njia za Tanzania.

Ukija kutazama madereva wa IT wanaokuja kuchukuwa gari zao Dar. Hao ndiyo kabisa hawana hamu, wanacheleweshewa kutoa magari, yanaibiwa vifaa yakiwa bandarini, wanasumbuliwa na mapolisi njia nzima, kila sehemu kukaguliwa, na hakuna cha kukaguliwa bali ni lazima watowe posho ya kusafisha viatu.


Binafsi nawapongeza sana kwa uamuzi huo.

Kama wanavyosema wengine humu, kuwa mizigo yetu ya Tanzania tu inatutisha, ni heri tubaki kuwa omba-omba wa bajeti yetu kwa wazungu kuliko kuwa na sisi na ubora wa kuwaajiri wazungu.

Heko sana Watanzania wazalendo, tutapakia kwenye tazara mzigi wetu wenyewe. Tutatumia bandari yetu kwa meli zetu wenyewe. Kwani tataizo nini? Si wazungu wanatulisha? Waende zao haraka sana, wasitunyanyase.


Kwa upande wa Zambia na Congo nawaunga mkono, maana hapa mpaka shaba zenu zilikuwa zinaibiwa. Abiria chunga mzigo wako.
Miaka yote hiyo CCM ndio inatawala na unakubali soko la Zambia limeharibiwa.


Malaya ni malaya tu
 
Miaka yote hiyo CCM ndio inatawala na unakubali soko la Zambia limeharibiwa.


Malaya ni malaya tu
Naam inatawala CCM. Hilo linajulikana sana. Kwani hao waliovianzishvyama vya upinzani si walikuwa CCM wote? ?

Ukiona mtu anatukana elewa kuwa hana jibu ya hoja uliyompa na imemuingia vizuri.
 
Naam inatawala CCM. Hilo linajulikana sana. Kwani hao waliovianzishvyama vya upinzani si walikuwa CCM wote? ?

Ukiona mtu anatukana elewa kuwa hana jibu ya hoja uliyompa na imemuingia vizuri.
Nyie dawa yenu ni kujibiwa kilofa na kihuni tu maana hoja hamuelewi Tena ...

We peleka Hilo maku lako Kwa bwana wako akalioshe Mimi siingizi Mashine Kwa takataka chafu Tena ajuza Kama wewe
 
hii issue yote ni kagame amepiga udalali, Haikande alikuwa rwanda juzi tu hapa atakuwa amekubaliana naye ili ajifanye anataka kubadilisha route ya mizito ili kuwastua watanzania wakubaliane na dp world ambayuo pia imeweka bandari kavu kigali. mambo ya intelijensia ya uchumi kama haya sisi wengine tunayajua sana.
Corridor ya Lobito ilikuwa operational kabla ya miundombinu kuharibika kutokana na vita vya wenyewe kwa wenyewe (Wa-Angola). Kuharibika kwa miundombinu ndiko kulikoipelekea Zambia kutumia reli ya TAZARA na bandari ya DSM kama m'badala wa kusafirisha bidhaa zake.

Kumekuwa na mipango ambayo hayajatekelezwa ya kuifufua hiyo corridor kwa muda sasa. Mara ya mwisho walikubaliana kuanza utekelezaji mwaka 2017 kwa matarajio ya kumaliza mwaka 2024.

Ni kweli unaweza ukawa unajua intelijensia ya kiuchumi ila kwa hili la kumhusisha Kagame na DP World halina uhakika sana.

Ahsante.
 
Nyie dawa yenu ni kujibiwa kilofa na kihuni tu maana hoja hamuelewi Tena ...

We peleka Hilo maku lako Kwa bwana wako akalioshe Mimi siingizi Mashine Kwa takataka chafu Tena ajuza Kama wewe
Wahi tu milembe! Au subiri ban kutoka kwa moderators
 
Back
Top Bottom