ITEGAMATWI
JF-Expert Member
- Jan 26, 2012
- 5,340
- 4,086
Nchi ngumu sana hii, kwamba bandari ni kwaajili ya mizigo ya watanzania. Kazi ipoWatafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Wajinga ni watawala wa CCM na selikali, sababu miaka 60 ya uhuru mpaka leo hawajui wafanye nini kutuletee maendeleo, zaidi ya kipaumbele chao kufikilia kuiba kura ili waendelee kubaki madarakani, na kupeana vyeo kifamilia, mama mbunge, mtoto naibu waziri na baba alikuwa rais, sasa hapo kuna maajabu gani ya kutuletea mendeleo? Bado sembuse huko bandarini walikopeana vyeo kinduguWakati wajinga fulani nchini Tanzania wakipigana kufa na kupona kuzuia jitihada za Serikali kuifanya Bandari ya Dar es Salaam kuwa na ufanisi ili kukamata soko la Afrika Mashariki na Kati huku Serikali ikiendelea kupata shida kutokana na wajinga hao kuendelea kusisitiza ujinga wao, mataifa yaliyokuwa yanategemea Bandari ya Dar es Salaam sasa yameanza kuchukua hatua za kuondokana na Bandari hiyo ambayo imekuwa ikisifika kwa kutokuwa na ufanisi na kuchelewesha mizigo.
Jana Marais wa Zambia na Congo wamekubaliana kutumia Bandari ya Lobito ya nchini Angola huku wakitengeneza corridor mpya ya usafirishaji ijulikanayo kama corridor ya Lobito!
Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia
View attachment 2678928
Ndio ikodishwe milele?TICTS wamekuwa pale kwa miaka 22, CCM hawajashindwa kuiendesha bandari.
Inakodishwa na sio vinginevyo. Zinakuja tafsiri nyingi za upotoshaji zenye malengo ya kisiasa.
Mwisho wa haya yote huwa malalamiko ya mbona bandari yetu haina tija kwenye uchumi mkuu?, Hili swali linakuwa katika mfumo wa lawama.
Ni wakati huu wa kufanya maamuzi yenye lengo la kuimarisha hali ya uchumi kwa kutumia bandari kama chanzo cha mapato.
Wapuuzi kama huyo ndio wamejaa kwenye hiii mijadala ya bandari, safari bado ni ndefu.Nchi ngumu sana hii, kwamba bandari ni kwaajili ya mizigo ya watanzania. Kazi ipo
Umefunga kazi MkuuWajinga ni watawala wa CCM na selikali, sababu miaka 60 ya uhuru mpaka leo hawajui wafanye nini kutuletee maendeleo, zaidi ya kipaumbele chao kufikilia kuiba kura ili waendelee kubaki madarakani, na kupeana vyeo kifamilia, mama mbunge, mtoto naibu waziri na baba alikuwa rais, sasa hapo kuna maajabu gani ya kutuletea mendeleo? Bado sembuse huko bandarini walikopeana vyeo kindugu
Nini kifanyike, hapa siyo kubinafsisha bandari, bali ni kuibanafsisha CCM kwa chama kingine,
Kwani Loliondo iliuzwaje??Bandari imeuzwaje?
Tangu akishalambishwa asali.Tangu lini mngoni wa Songea akawa Mzanzibari?
Bandari imeuzwa shilingi ngapi? Nyie ndio wajinga wenyewe mnaozungumziwaWatafute tuuu, huwez kuuza bandari kisa Una mamlaka, hiyo haipo, alaf bandari ni Kwa ajili ya Watanzania Kwanza then hao jamaa wengine badae..!!
Hakuna mtu aliyekataa uwekezaji bali mikataba ya ki Carl Peters yaani magumashi magushi vifungu vya kihuni huni kana kwamba wanasheria hatuna nchi nzima."""Tukisema watanzania tafuteni exposure muondokane na ujinga mtuelewege jamani! Sasa endeleeni na tantalia zenu kukataa uwekezaji wa kufanya mabadiliko ya kweli bandarini huku wale wateja mliokuwa mnawategemea wakizidi kuwakimbia""""
You speak as if wewe ni raia wa nchi nyingine...pathetic kabisa, hakuna Mtanzania anayekataa uwekezaji ulio na tija kwa Tanzania.
Kama mmeshindwa kuendesha hiyo bandari hadi mnawapa wajomba zenu hamuoni kama nyie ndio wapumbavu?Imeuzwaje?
Hata kusoma unajua ?!!!
Uendeshaji wa bandari unahitaji teknolojia na mtaji kwa sasa hapa tulipo kwenye hili ni sawa na migodi ya dhahabu tu magufuli alivowapa mabeberu wachimbe uwezo wetu mdogo lazima tukubali hili mtaendelea kuwalaumu viongozi bure.Kama mmeshindwa kuendesha hiyo bandari hadi mnawapa wajomba zenu hamuoni kama nyie ndio wapumbavu?
Sikia uwezi kuuza kitu pasipo makubaliano yoyote labda iwe biashara ya mabadilishano exchange goods for goods sasa ninyi mnasema bandari imeuzwa kwa misingi ipi?Inaonekana uelewa wako una walakini mkubwa. Wewe unafikiri kila kilichouzwa ni lazima kuwe na shilingi.
Hivi unaelewa nini ukiambiwa kuwa Taifa fulani limeuza uhuru wake, au limeweka rehani utaifa wake?
Panua akili, usijifunge kwenye fikra ndogo.
Hivi wewe unajielewa au unaongea tu ilimradi? Nani amekwambia tunapinga private investors? Hapo uliponiquote nimemkataa mwarabu au nimesema yafanyike masahihisho ya vifungu vya ule mkataba. You're such a hypocriteMnapigia kelele eti Serikali isimpe private operator na hasa Waarabu Sasa sijui mnamaanisha nini..
Mwisho nawakumbusha tuu bila Zambia na DR Congo ,Dar Port ni tembo mweupe la sivyo tukuze sana uchumi wa ndani.
Will be economic downfallHapana ila sio kuwapotez wateja wa muda mrefu ambao wana mchango mkubwa sana kakita mapato hivi nchi tatu zote zikiacha kutumia bandari ya Dar what next?
Umesoma mkataba na kuuelewa? Umesikiliza hoja za wansheria waliofungua kesi Mahakama kuu kanda ya Mbeya? Umezielewa hoja zao?Imeuzwaje?
Wee Ni mpumbavu Sana enzi na enzi bandari ya DSM ndio utakuwa lango kuu kwa nchi za Zambia na Congo ,burund,rwanda ,malawi kupitisha shehena zao ,kwa kifupi bandari hi haikwepeki kwa wao watazunguka wataenda watarudi tu Happ Happ DSMOna huyu nyumbu,si ajabu mtoa mada amewaita wajinga..
Sasa Kwa taarifa Yako tuu ni kwamba Angola inaendelea na upanuzi mkubwa wa Bandari yake ya Lobito ambayo ni route fupi kufika Zambia kuliko Dar.
Pili Msumbiji inaendelea na maboresho ya miundombinu ya usafirishaji ambayo itawezesha Bandari yake kutumika zaidi na DRC Congo upande wa Lubumbashi ambayo nusu ya mizigo inakwenda huko kutoka Dar Port..
Ukiacha hayo Zambia wanajenga bomba la mafuta kutoka Angola na kutoka Namibia Ili mafuta yote yapitie Kwa bomba Sasa tankers zenu tafuteni kazi ya kufanya..
Hii ni Dunia ya ushindani na ujinga mliojilisha kudhani eti Tanzania haiepukiki mnajidanganya sana bwashee..
Muda ni Mwalimu mzuri,endeleeni na habari za ujamaa mbuzi.
So kipi ni Bora kufanya?Will be economic downfall