Zambia: Rais Hakainde Hichilema awataka Watumishi wa Serikali wanaotaka VX wajinunulie kwa pesa zao

Sheria zitabadilishwa Mzee shida yako ni ipi hasa? Ndio maana serikali ilitangaza hilo Bungeni,we subiria utapata majibu.
 
Kununua V8 inayotumia mafuta mengi kwa nchi maskini ni kuounguza umaskini kwa Taifa,au ni kuongezea umasikini?
 
Haleluya haleluya Magufuli kafufuka Zambia
 
Magufuli ameibuka pengine
Magu hakuwahi kudhibiti matumizi ya pesa bali ali channell pesa kwa watu wake ,
Ndo mana watu wa kanda yake kila siku ni vilio humu ,
 
Your browser is not able to display this video.

Badala ya kusimamia kauli mbiu za Anaupiga mwingi au Mitano tena kwa hawa Marais wetu ni vema tukawaambia waende Zambia mheshimiwa HH akawape semina elekezi jinsi ya kuhudumia jamii kwa resources tulizo nazo.

Huyu Rais wa Zambia ni mfano bora kabisa wa kiongozi, aigwe.
 
Agreed 🇿🇲 wapo safi, na kitendo cha kuimarisha barabara na kuondoa utitiri wa road blocks, kudos kwao na ukarimu wa wanajeshi wao kwenye check points zao ni safi sana(hizi ndizo pit stops salama kabisa, yaani unalala kwenye check points ya wanajeshi!)
 
Kwa kweli mmh !!!
 
Haya mambo juzijuzi tu Chadema walikuwa wanayapinga,
 
Hili jambo ni gumu sana.

Hivi kwani wale macho madogo watakubali huu ulaji uwaponyoke??

Manunuzi na maintenance za kila mwezi.

Ni bilions za pesa ya Nyerere.
Haiko relevant angalia Taifa kubwa kama Uk magari wanayotembelea viongozi wao.
 
Zambia wamepata Rais,Ila Malawi wamepata taaaaaahira kabisa.
 
Sasa nikuulize baada ya Dikteta kutoka nini kimefanyika hii Nchi.
 
Kununua V8 inayotumia mafuta mengi kwa nchi maskini ni kuounguza umaskini kwa Taifa,au ni kuongezea umasikini?
Kati ya 2010 hadi 2017, Ugiriki waliweka Austerity measures (hatua za kubana matumizi) lakini hazikusaidia kufufua uchumi wao uliokuwa umetikisika kutokana na madeni.
So wakaamua kuachana na sera hizo.
 
Haiko relevant angalia Taifa kubwa kama Uk magari wanayotembelea viongozi wao.
Ndio maana nimekuwa nikiandika humu kwamba kwa mtindo huu wanaouita Kazi na Bata maendeleo ya kweli hayatapatikana ng’o !! Hata mataifa yote yaliyoendelea tunayoyaona sasa huko zamani walijifunga mkanda kweli kweli ndio hayo maendeleo yakapatikana !!
 
Unapoona mshahara unaingia kwenye akaunti yako ya benki kumbuka ni Mama Mjane amenilipa mshahara huu kwa hiyo kabla ya kuomba nyongeza jiulize vipi kuhusu yule anayekulipa mshahara wako wa sasa? Mtoto wake anakaa chini darasani.” Hakainde Hichilema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…