myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
😂 😂Yuko sahihi His Excellency Hichilema. Kuna msafara wa Rais niliushuhudia mahali hadi leo naota maruweruwe kwa yale madude ya ajabu niliyoshuhudia.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂 😂Yuko sahihi His Excellency Hichilema. Kuna msafara wa Rais niliushuhudia mahali hadi leo naota maruweruwe kwa yale madude ya ajabu niliyoshuhudia.
Ni kweli alikosea sana ! Alitakiwa kwanza abadili sheria zilizokuwa zikiwalinda mafisadi na wabadhirifu !!Makosa haya aliyafanya habari Magufuli.
Huwezi kubadilisha mifumo bila kubadilisha Sheria zinazoongoza mifumo hiyo. Nyongeza za mishahara zipo kisheria otherwise ubadilishe Sheria kwanza ndiyo uzikatae. Bila kufanya hivyo TAYARI Ni ubabe, na ubabe unaweza kuzaa udikteta uchwara au udikteta KAMILI km ule wa Magu.
Ukweli ni ukweli tu hata ukiukataa bado utabaki kuwa ni ukweli tu !!Magufuli ameibuka pengine
Lini alifanya? Mtu anatembea na misafara ya magari mia huku juu helicopter mbili anabana matumizi huyo? Tena usimtaje kabisa huyoIla Magufuli alipokua akifanya mambo kama hayo mnamtukana.
Wanafiki tu.
Si rahisi rais kuuliwaHuyu Raisi awe makini anaweza kumalizwa na watu wake wa karibu kwani wamezoe kuishi kifahari.
Magufuli ameibuka pengine
nchi haijasimama inasonga mbele ktk nyanja zote kiuchumi,kisiasa,kijamii kwa uzuri kabisa. Mauaji,utekaji,unyang'anyi vimekoma.Angalao kwasasa hatuishi kwa hofu.Sasa nikuulize baada ya Dikteta kutoka nini kimefanyika hii Nchi.
sio kwelHaikande anatakiwa 'apelekwe' tuition.
Anatakiwa ajifunze kwa kina Nyerere kuwa ujima na ujamaa ulifeli.
Aache watumishi wa umma waishi kulingana na hadhi na stahiki zao.
Anaye stahili V8, aache stembelee V8.
Sera za dhiki na kuendekeza umaskini hazitamsogeza hata hatua moja katika utawala wake.
The World has moved out and away of austerity..
Hajui kwamba hata huko kwa matajiri wanaotufadhili pesa za bajeti zetu hawatembelei mavieite ??!! Tena huwa wanatushangaa !! Kwakweli kwenye bara hili watu wengi ni Selfish sana !!sio kwel
Watu ambao ni Selfish huwa hawajali watu wengine wanaishije !! Wao huwa wanaangalia maisha yao tu lakini ya wengine ni potelea mbali !! Hao ni watu Wabinafsi !! ( Selfish people )Kununua V8 inayotumia mafuta mengi kwa nchi maskini ni kuounguza umaskini kwa Taifa,au ni kuongezea umasikini?
Amesema magari ya kifahari wanunue wafanyabiasha na watu wengine kwa pesa zao, serikali isitumie pesa za walipa kodi kwa matumizi ya anasa?Haikande anatakiwa 'apelekwe' tuition.
Anatakiwa ajifunze kwa kina Nyerere kuwa ujima na ujamaa ulifeli.
Aache watumishi wa umma waishi kulingana na hadhi na stahiki zao.
Anaye stahili V8, aache stembelee V8.
Sera za dhiki na kuendekeza umaskini hazitamsogeza hata hatua moja katika utawala wake.
The World has moved out and away of austerity..
unataka mama yako akanye vichakani ili tukununulie wewe VX ? wajibu wa meya ni kutatua matatizo ya umma au gari ya kifahari ?Haikande anatakiwa 'apelekwe' tuition.
Anatakiwa ajifunze kwa kina Nyerere kuwa ujima na ujamaa ulifeli.
Aache watumishi wa umma waishi kulingana na hadhi na stahiki zao.
Anaye stahili V8, aache stembelee V8.
Sera za dhiki na kuendekeza umaskini hazitamsogeza hata hatua moja katika utawala wake.
The World has moved out and away of austerity..
huez tatua kila kitu kwa wakati mmoja lasivyo utaferi , mifumo iliyosimama kwa miaka 50 huez imaliza ndani awamu moja ya utawala chini ya miaka 6Na yeye asingetumia mabilioni kuwajengea marais wastaafu majumba ya kifahari. CCM ni ile ile.
kama unasubir rais ndo aliganie bas halitawezekana ila raia mkisimama basi inawezekanaHili jambo ni gumu sana.
Hivi kwani wale macho madogo watakubali huu ulaji uwaponyoke??
Manunuzi na maintenance za kila mwezi.
Ni bilions za pesa ya Nyerere.
kwa uchumi wa hz nchi za afrika ni aibu kuwanunulia viongoz magari ya kifahariMakosa haya aliyafanya habari Magufuli.
Huwezi kubadilisha mifumo bila kubadilisha Sheria zinazoongoza mifumo hiyo. Nyongeza za mishahara zipo kisheria otherwise ubadilishe Sheria kwanza ndiyo uzikatae. Bila kufanya hivyo TAYARI Ni ubabe, na ubabe unaweza kuzaa udikteta uchwara au udikteta KAMILI km ule wa Magu.
aelekeze pesa kwa wengine na sio kwa familia yake ? hata unapomchukia mtu jifunze kuchagua shutumaMagu hakuwahi kudhibiti matumizi ya pesa bali ali channell pesa kwa watu wake ,
Ndo mana watu wa kanda yake kila siku ni vilio humu ,