Zamu yangu leo hii kitu ilinishindaga

Zamu yangu leo hii kitu ilinishindaga

Umri ukiwa mdogo ni sahihi kuongea hivo,tuwaulize waliofikisha miaka 38 bila ndoa na tuwaulize wajane vijana ndo tutaelewa why watu wanakubali wanaolewa mke wa pili watatu had wanne.
 
Hawa wanawake hawataweza kuelewa ukweli kwamba mwanaume mwanamke mmoja hatoshi.

Wangejua tunavojizuia na kuwalindia heshima kugonga hio michepuko miwili mitatu wasingelalama hivi

Siku mwanamke mmoja aamke mwanaume akiona izo genye zenye tupo nazo mda ote
 
Jamani nilifanikiwa enzi za miaka 22 kupata mwanaume nauwezo wake wa kumiliki biashara za kutosha.

Huyu bwana aliitwa Salimu kijana mzuri wa sura na mwili pia mkarimu na anaheshima kwa kila mtu. Utampenda kwa kujali dini yake na kila mara anasaidia masikini. Anajua kutunza sana sana .

Hapendi kukuona unateseka mpenzi wake na anaweza kusaidia.
Imefikia siku moja akadai anataka ndoa na pia anataka kunihalalisha.
Nikaona sawa tukaanza mipango ila nikampata mtu mmoja mwanamke makamu akawa ananifunda sasa weeh nikaona hapana .

Tatizo kubwa nikushare mume eti mnapangwa kuliwa kha😂😂🤣🤔😎 na hii nikitu sio fresh kabisaa .
Yaani wapo watu hata kuvuliwa boxer ni ajabu wewe unapangwa na saliim anawake watatu wote wanapeana zamu .

Nikaona shida isiwe shida nilikuwa nafanya kazi mahali kipindi hichoo .
Nikaanza kukusanya pesa za watu nikaona nirudishe .
Akaikataa na akakubali kusitisha urafiki na uhalalishwaji .

Mimi kupeana zamu ili nishinda kabisaa isitoshe ukiwa unajuwa kuwa mko wanne na mume mmoja hii ni aibu.
Sasa siku moja simu ngeni ikapigwa nikaasutwa nikaambiwa hivi anaoa mke wa nne .

Nikasema hiyo ni heri msije mkanipange kama vifurushi vya michele kisa mume .

Yakaishia hapo nikasonga akasonga hata kama umechoka maisba usikubali kushare kisa nini halafu ni umeolewa nafuu unaiba kuliko kuhalalishwa kwenye timu ya ujinga .

Mpaka mapepo mnarushiana .
Kosa ni kuoelewa na cha wote .

Siku njema
Meseji nzuri sana 🥳
 
Haya tufahamishe
Umempata wa peke yako??!

HAKUNA huyo mwanaume

Kushare kunapunguza stress
Sio kila leoo kuunga maji ya kuoga na kupika three course..

Once in a while u get to relax

Ila yataka moyo
Mtarogana hadi mtie akili
Ni kweli kabisa Ms Kate huwa hatutosheki na mwanamke mmoja

Wanawake wote wakianza kutambua hili na kuwa na uelewa kama wako dunia itakuwa sehemu salama [emoji39]
 
Hawa wanawake hawataweza kuelewa ukweli kwamba mwanaume mwanamke mmoja hatoshi.

Wangejua tunavojizuia na kuwalindia heshima kugonga hio michepuko miwili mitatu wasingelalama hivi

Siku mwanamke mmoja aamke mwanaume akiona izo genye zenye tupo nazo mda ote
Hujaelewa mada elewa mada hapo upo nje ya mada
 
Jamani nilifanikiwa enzi za miaka 22 kupata mwanaume nauwezo wake wa kumiliki biashara za kutosha.

Huyu bwana aliitwa Salimu kijana mzuri wa sura na mwili pia mkarimu na anaheshima kwa kila mtu. Utampenda kwa kujali dini yake na kila mara anasaidia masikini. Anajua kutunza sana sana .

Hapendi kukuona unateseka mpenzi wake na anaweza kusaidia.
Imefikia siku moja akadai anataka ndoa na pia anataka kunihalalisha.
Nikaona sawa tukaanza mipango ila nikampata mtu mmoja mwanamke makamu akawa ananifunda sasa weeh nikaona hapana .

Tatizo kubwa nikushare mume eti mnapangwa kuliwa kha[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji848][emoji41] na hii nikitu sio fresh kabisaa .
Yaani wapo watu hata kuvuliwa boxer ni ajabu wewe unapangwa na saliim anawake watatu wote wanapeana zamu .

Nikaona shida isiwe shida nilikuwa nafanya kazi mahali kipindi hichoo .
Nikaanza kukusanya pesa za watu nikaona nirudishe .
Akaikataa na akakubali kusitisha urafiki na uhalalishwaji .

Mimi kupeana zamu ili nishinda kabisaa isitoshe ukiwa unajuwa kuwa mko wanne na mume mmoja hii ni aibu.
Sasa siku moja simu ngeni ikapigwa nikaasutwa nikaambiwa hivi anaoa mke wa nne .

Nikasema hiyo ni heri msije mkanipange kama vifurushi vya michele kisa mume .

Yakaishia hapo nikasonga akasonga hata kama umechoka maisba usikubali kushare kisa nini halafu ni umeolewa nafuu unaiba kuliko kuhalalishwa kwenye timu ya ujinga .

Mpaka mapepo mnarushiana .
Kosa ni kuoelewa na cha wote .

Siku njema
Hakuna kitu napenda kama hicho..... Binadamu tupo tofauti sana
 
Jamani nilifanikiwa enzi za miaka 22 kupata mwanaume nauwezo wake wa kumiliki biashara za kutosha.

Huyu bwana aliitwa Salimu kijana mzuri wa sura na mwili pia mkarimu na anaheshima kwa kila mtu. Utampenda kwa kujali dini yake na kila mara anasaidia masikini. Anajua kutunza sana sana .

Hapendi kukuona unateseka mpenzi wake na anaweza kusaidia.
Imefikia siku moja akadai anataka ndoa na pia anataka kunihalalisha.
Nikaona sawa tukaanza mipango ila nikampata mtu mmoja mwanamke makamu akawa ananifunda sasa weeh nikaona hapana .

Tatizo kubwa nikushare mume eti mnapangwa kuliwa kha[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji848][emoji41] na hii nikitu sio fresh kabisaa .
Yaani wapo watu hata kuvuliwa boxer ni ajabu wewe unapangwa na saliim anawake watatu wote wanapeana zamu .

Nikaona shida isiwe shida nilikuwa nafanya kazi mahali kipindi hichoo .
Nikaanza kukusanya pesa za watu nikaona nirudishe .
Akaikataa na akakubali kusitisha urafiki na uhalalishwaji .

Mimi kupeana zamu ili nishinda kabisaa isitoshe ukiwa unajuwa kuwa mko wanne na mume mmoja hii ni aibu.
Sasa siku moja simu ngeni ikapigwa nikaasutwa nikaambiwa hivi anaoa mke wa nne .

Nikasema hiyo ni heri msije mkanipange kama vifurushi vya michele kisa mume .

Yakaishia hapo nikasonga akasonga hata kama umechoka maisba usikubali kushare kisa nini halafu ni umeolewa nafuu unaiba kuliko kuhalalishwa kwenye timu ya ujinga .

Mpaka mapepo mnarushiana .
Kosa ni kuoelewa na cha wote .

Siku njema

Dini inasemaje?
 
Wanawake sasa hv mnatuzidi idadi karibu mara 3 halafu unataka mme wa peke yako?zinakutosha kweli
 
Ni kweli kabisa Ms Kate huwa hatutosheki na mwanamke mmoja

Wanawake wote wakianza kutambua hili na kuwa na uelewa kama wako dunia itakuwa sehemu salama [emoji39]
Ndo muwaoe sasa
Muache kuchepuka

Ijulikane kabisa una wake 2/3
Unajificha nini ?
Unamuogopa nani
 
Ndo muwaoe sasa
Muache kuchepuka

Ijulikane kabisa una wake 2/3
Unajificha nini ?
Unamuogopa nani
Tatizo tunakwepa majukumu mkuu... mke lzma uhudumie kila kitu ila michepuko tunahudumia kadri itakavyotupendeza
 
Tatizo tunakwepa majukumu mkuu... mke lzma uhudumie kila kitu ila michepuko tunahudumia kadri itakavyotupendeza
Sasa uanaume wako uko wapi iwapo unakwepa majukumu?utaheshimika kweli?!

Ndio maana hata uislamu unashauri uwepo usawa km unataka wake 2
Vinginevyo ridhika na mkeo

Someni biblia muone kwa siku Sulemani alilisha watu kiasi gani kabla hamjasifia wake zake 700
 
Jamani nilifanikiwa enzi za miaka 22 kupata mwanaume nauwezo wake wa kumiliki biashara za kutosha.

Huyu bwana aliitwa Salimu kijana mzuri wa sura na mwili pia mkarimu na anaheshima kwa kila mtu. Utampenda kwa kujali dini yake na kila mara anasaidia masikini. Anajua kutunza sana sana .

Hapendi kukuona unateseka mpenzi wake na anaweza kusaidia. Imefikia siku moja akadai anataka ndoa na pia anataka kunihalalisha. Nikaona sawa tukaanza mipango ila nikampata mtu mmoja mwanamke makamu akawa ananifunda sasa weeh nikaona hapana .

Tatizo kubwa nikushare mume eti mnapangwa kuliwa kha😂😂🤣🤔😎 na hii nikitu sio fresh kabisaa .
Yaani wapo watu hata kuvuliwa boxer ni ajabu wewe unapangwa na saliim anawake watatu wote wanapeana zamu .

Nikaona shida isiwe shida nilikuwa nafanya kazi mahali kipindi hichoo .
Nikaanza kukusanya pesa za watu nikaona nirudishe .
Akaikataa na akakubali kusitisha urafiki na uhalalishwaji .

Mimi kupeana zamu ili nishinda kabisaa isitoshe ukiwa unajuwa kuwa mko wanne na mume mmoja hii ni aibu.
Sasa siku moja simu ngeni ikapigwa nikaasutwa nikaambiwa hivi anaoa mke wa nne .

Nikasema hiyo ni heri msije mkanipange kama vifurushi vya michele kisa mume .

Yakaishia hapo nikasonga akasonga hata kama umechoka maisba usikubali kushare kisa nini halafu ni umeolewa nafuu unaiba kuliko kuhalalishwa kwenye timu ya ujinga .

Mpaka mapepo mnarushiana .
Kosa ni kuoelewa na cha wote .

Siku njema
Duuh
 
Sasa uanaume wako uko wapi iwapo unakwepa majukumu?utaheshimika kweli?!

Ndio maana hata uislamu unashauri uwepo usawa km unataka wake 2
Vinginevyo ridhika na mkeo

Someni biblia muone kwa siku Sulemani alilisha watu kiasi gani kabla hamjasifia wake zake 700
 
Mwanaume hajaumbiwa mwanamke 1. Tatizo ni nyinyi wanawake kuendekeza roho mbaya mpaka mkarogana.
Toka zamani wanaume toka zama na zama duniani kote alikua akioa zaidi ya mwanamke 1. Hii ya mke 1 imeletwa tu na kanisa
Duuh
 
Back
Top Bottom