ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
ElaborateSoma mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ElaborateSoma mada
Tena kwa kasi, ari na nguvu kubwa zaidiAlipoishia Magu mama anapaendeleza hapo hapo.
Tena kwa kasi, ari na nguvu kubwa zaidi
Kwa hiyo legacy zingine mbaya mbaya kama kukataa chanjo ya corona,kuzorotoshe mahusiano ya kidiplomasia,kupora hela za watu kwenye mabenki aliweza kuzifuta... Ila hii legacy ya kuuwa watu ovyo ovyo na kutekana tekana ndio ameshindwa kuzifuta?? Mbona watu mna utetezi wa kipumbavu hivyoo???kuna kitu kinaitwa legacy au urithi.
Aliokuwa nao wapo..!!!JPM alisingiziwa mabaya mengi sana
Obvious Ako ni katoto kadogo kaliko anza kufuatilia siasa za nchi kipindi Cha awamu ya Tano, na hakajui chochote kuhusu awamu zilizopita huko nyuma... Sidhani kama hata kanajua chochote kuhusu like sakata la Mwangosi na Dokta Ulimboka, yeye anaamini siasa za kimafia zimeanzia kwenye awamu ya Tano... Vijinga sana hivi vilamba asaliKwamba enzi za Kikwete kurudi nyuma hapakuwa na haya mambo? Au ulikuwa bado mdogo?
Just use your brain critically.Kwa hiyo legacy zingine mbaya mbaya kama kukataa chanjo ya corona,kuzorotoshe mahusiano ya kidiplomasia,kupora hela za watu kwenye mabenki aliweza kuzifuta... Ila hii legacy ya kuuwa watu ovyo ovyo na kutekana tekana ndio ameshindwa kuzifuta?? Mbona watu mna utetezi wa kipumbavu hivyoo???
Nyie CCM mtakuwa mumemuuaChama jipya Cha Sisimizi
Kwanini ndugu wa viongozi wa CCM/serikali hawa uwawi? kazi ya serikali ni kulinda raia wake, je hapo ametimiza wajibu wake na wakati ameapa kulinda?Watu humu wanacomments as if rais mwinyi ndio katoa go ahed kuwa huyo kijana auliwe.!
Watu wasichokijua kuwa sasa hivi ni ulimwengu wa propaganda zaidi kuchafuana ni hali ya kawaida usikute tu kuna mtu nyuma Katuma watu kufanya tukio kama la aina ya Ali kibao ili kuleta tu taharuki.
Huyo jamaa hakuwa na impact yeyote ile eti serikali ipange kumuangamiza.
Sitetei mauaji ila sio kila mauwaji tunapeleka lawama kwa gvt ndio imeua.
Lawama ziende kwann watu wanauliwa na wao wamekaa na vitambi ofisin .Alafu mpaka watu wanachukuana mchana kweupe na kuenda muua mtu bila kutafutwa na wao kuchukuliwa hatua nzito wao na mtandao wao.
Ndio maana raia wanaona serikali inahusika kwasababu hawana uchungu na kinacho endelea.
Ukiangalia kwa haraka haraka tu utaona wanaosema hivyo kwamba awamu za maustadhi na ustadhati huwa Zina neema ni kwa sababu ndio awamu ambazo mara nyingi kunakuwepo na ufisadi uliokithiri kutokana na udhaifu wa viongozi waliozishika awamu hizo.Kuna wakati fulani kuna Watu mlisema uzoefu unaonesha kuwa awamu zote za uongozi wa Supremę leader kuwa Islam umeonesha kuwa na Neema na baraka hadi kwa mwananchi wa chini ukilinganisha na awamu ambazo Viongozi walikuwa wakristo,
Mlikuwa mnasema awamu za Viongozi wakristo kulikuwa na shuruba shuruba fulani hivi na ugumu wa maisha,
Je bado mtaendelea kusema hivyo tena au imeshakuwa irrelevant to compare in such a way ?
Kwenu wachambuzi wa mambo hebu semeni basi 😆😆😆
Nyie CCM mtakuwa mumemuua
"Kuna kitu kinaitwa legacy au urithi"Just use your brain critically.
Nimekuandikia kifupi, wewe unatandaza ujinga.
Nyerere alipolalamikia maRais waliomfuatia kuchukua mambo yake mabaya na kuacha mazuri unafikiri alikuwa mpumbavu?
Weeeeee!!!Huku mafwele huku abdul 😁 huyo jamaa asije kuwa ameingilia line ya bwana ABDUL THE KILLER...ole wake mtu usimame kwenye njia ya bwana abdul mtoto wa mjalaana aliye laaniwa yeye na mama yake .
JK amepuuzwaKimsingi awali nilidhani JK atakuwa Mentor wa Maza kwa hiyo nikajua walau kunaweza kuwa na hali fulani ya wastani ya hewa,
Lakini kadiri siku zinavyoenda inathibitika kiwa sivyo kabisa.
Ina maana JK hashauri au ushauri wake unapuuzwa kwa mambo ya kiusalama kuwa shakani ilivyo?
JK umebaki peke yako, hebu mrejee Mwenyezi Mungu kwaajili ya haya yanayoendelea.
Hebu tafakari mzee.