zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Ali kibao alikua anaandamana? Deus Soka alikua anaandamana? Kuna comment huwa mnaandika recklesslySasa wapinzani wanaandamana sirini au hadharani, utekaji unafanyika hadharani kama watu wanatangaziwa leo tunakuja kufanya utekaji?