Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Ishu sio kuandamana, unaandamana ili iweje? Binafsi siwezi kuandamana kisa ulaji wa mwanasiasa.CHADEMA wakiandama mnawacheka
Maandamano kuipinga serikali yanapaswa kuendeshwa na wananchi bila kuhusisha wanasiasa na sio vinginevyo.