Zanzibar: Aliyechukuliwa na Polisi kwa ajili ya Mahojiano akutwa ameuawa

Use your brain.

Kupayuka wakati hujaelewa kitu ni ujinga mkubwa sana mithili ya upumbavu. Ungeuliza ningekuelewesha vizuri tu.
 
Intelijensia ya polisi hapa imefeli.Ila ingegundua haraka sana CDM kuandamana
 
Uzi una likes 11, watu wanaroho ngumu sana.
 
“Tukio hilo lipo uchunguzi bado unaendelea, tukikamilisha tutaeleza zaidi,” amesema Mchomvu.

Mwananchi
Ni taarifa hii iliyo fanya na wao Mwanachi wafungiwe, au kuna mengine?

Hawa ndugu hawaelezi chochote, wanalia tu. Huyo ndugu yao alikuwa akijihusisha na mambo gani ambayo pengine ndiyo yaliyo sababisha mkasa huu umpate?
 

Kuna taasisi zinahitaji reforms. Hii inazidi kuonyesha uozo na kujiondolea uhalali wa kufanya kazi ambazo kisheria wanatakiwa kuzifanya
 
Ni taarifa hii iliyo fanya na wao Mwanachi wafungiwe, au kuna mengine?

Hawa ndugu hawaelezi chochote, wanalia tu. Huyo ndugu yao alikuwa akijihusisha na mambo gani ambayo pengine ndiyo yaliyo sababisha mkasa huu umpate?

Kuuwawa na baadae mwili kuokotwa! Hiyo kisheria kuna taasisi yoyote inayoruhusiwa kufanya hivyo? Tena baada ya kukamatwa? Ukishakamatwa, halafu ukaokotwa umeuwawa, inaleta ukakasi.
Kwa lolote lile alilokuwa analifanya, kwanini akamatwe na baadae kuuwawa. Labda waliomkamata ni yale magenge ya kihalifu ya Haiti
 
Ni taarifa hii iliyo fanya na wao Mwanachi wafungiwe, au kuna mengine?

Hawa ndugu hawaelezi chochote, wanalia tu. Huyo ndugu yao alikuwa akijihusisha na mambo gani ambayo pengine ndiyo yaliyo sababisha mkasa huu umpate?
Hatujui, bali kila mhalifu anapaswa kufikishwa Mahakamani, hii ni kwa mujibu wa sheria za Tanzania
 
SSH tafadhali warudishe gerezani wale masheikh magaidi.
 
Huyo marehemu alikuwa anajishugulisha na nini??
Au naye alikuwa mwanaharakati

Ova
 
Kizimkazi kamwambukiza na mwinyi kuteka na kuua.
 
Mimi sijatetea chochote hapo kuhusu yaliyo tokea; sasa sijui wewe umenielewaje hadi kuandika haya.

Hivi taarifa inaeleza kakamatwa na akina nani mkuu 'Tangawizi', unajuwa?

Kama ndugu, ama wengine wanao mfahamu marehemu wange dokeza tu aina ya shughuli zake au msimamo wake katika baadhi ya maswala, kidogo ingesaidia kujuwa tatizo lilipo, hadi kusababisha kupoteza maisha, tena kikatiri vile; na wanaotiliwa mashaka katika tukio hili wangeanza kudhaniwa.

Lakini pamoja na hayo yote, serikali na vyombo vyake vina wajibu wa kulinda usalama wa kila raia; na kama raia anayo makosa kuna sheria zinazotakiwa kufuatwa kumtia hatiani, na siyo kuondoa uhai wake.

Kinacho onekana wazi katika matukio ya namna hii kipo wazi. Ni jitihada za kuwatia hofu na woga wananchi; wasihoji chochote kinacho fanywa na serikali.
Ni maandalizi ya kuchukua madaraka kwa nguvu hiyo 2025.
 
Hatujui, bali kila mhalifu anapaswa kufikishwa Mahakamani, hii ni kwa mujibu wa sheria za Tanzania
Na wewe bado unaamini kuwa kuna sheria zinazo heshimiwa na serikali ya Tanzania?
Uwepo wa maandamano, hakuna sheria inayo ruhusu jambo hilo?

Mkuu 'Erythro' mbona unanishangaza kwa maneno yako haya!

Sheria pekee iliyo baki, ambayo serikali na Chama chake wanayo ifuata sasa hivi ni kuhakikisha 2025 wanaendelea kuwepo madarakani. Kama wewe hili bado hulioni, utakuwa umebaki nyuma sana.
 
Hili jambo la kutekana nahisi linawahusu wafanya biashara za madawaya kulevya. Polisi wanasingiziwa tu na wanasiasa wanadakia kufaidika na siasa zao za upinzani. Wanaotekwa wala sio wanasiasa wakubwa wa upinzani hadi wapinzani kurukia eti wanatekwa watu wao. Kanuni ya washiriki wa biashara ya madawa ya kulevya ukidhulumu au kutoa siri wanakula kichwa chako. Vinginevyo huu ni mzimu gani wa kutekana? Kule DRC kuna ADF kinajidaini chama cha kidini kueneza uislaam kwa nguvu lakini kwa hakika ni wauaji kwa biashara za madini na magendo. M23 nao ni wavamizi kuteka maeneo ili waibe madini. Nachotaka kusema vyombo vya usalama viwajibike maana kama wao wanatumiwa na wahalifu nchi itavurugika kabisa jambo ambalo pengine ndio nia ya adui zetu kama taifa.
 
Nakuelewa sana lakini na wewe uwe unanielewa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…