Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatari.Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Wakishafungua kila kitu kitawekwa wazi na huo inawezekana ikawa ndio mwanzo wa CIVIL WAR .... Hata kwa Gadaffi yalianzia kama hivyo lakini mwisho hata Jeshi lilishindwaKuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.
Wakishafungua kila kitu kitawekwa wazi na huo inawezekana ikawa ndio mwanzo wa CIVIL WAR .... Hata kwa Gadaffi yalianzia kama hivyo lakini mwisho hata Jeshi lilishindwa
Mambo 🔥🔥🔥🔥🔥Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Kwani watazima na camera za simu?Kuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.
Zanzibar wakikinukisha itakuwa funzo kubwa kwa Tanganyika lazima mtukufu Mkoloni kaburu mweusi adateNashauri patokee Vita basi. Sioni dalili ya kuheshimiana nje ya vita
Atajijua mwenyewe muda wa mbeleko naona unaelekea kuishaHusein mwinyi hawamtaki Zanzibar
Hiyo ndiyo inayoitwa People's PowerWazanzibari - kofia kwenu. Shikilia hapo hapo. Bado kitambo tu, kutapambazuka. Mbarikiwe sana kwa ujasiri wenu. Na hawa waoga wa Bara watajifunza kitu toka kwenu.