Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Tuna chuki ya muda mrefu. Hii haikuanza leo. Uonevu wao na kujipambanua kuwa wako CCM huku wakikata mauno kwenye clips. Hatuna urafiki nao. Nina ndugu zangu wa damu ambao ni maaskari. Sina mpango nao. Wako upande wa CCM kama kawaida yao.
Mnafurahia raia kurushia polisi mawe. Wakati huohuo mnachukia polisi kupiga raia virungu.
Hii ndio haki inayopiganiwa!
 
Polisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo hadi wakumbuke bibi zao waliofariki.

Tatizo hapo in kutokuwa na askari wasio na uniform mitaani.Chukueni makomandoo wavalisheni nguo za mitaani waingie mitaani.

Zanzibar mitaa mingi imebanana nyumba kuwadaka hao wahuni kazi ndogo mno sababu vichochoro vichache na vidogo rahisi kuwazingira pande zote na kuwabana kati.

Sehemu korofi shusheni makomandoo wavalisheni hata hijabu na kanzu.
 
Mtahangaika sana mwaka huu. Hakuna jeshi lililowahi kushinda nguvu ya umma. Misri ina jeshi kubwa na lenye nguvu kuliko letu lakini Mubaraka aliondoka. Yaani CCM mko kwenye ndoto.

Mnafikiri vifaru, mizinga na ndege za kivita vitawasaidia. Hata Magufuli ana mawazo ya kitoto kama yako. Ndio maana akapeleka vifaru Zanzibar kana kwamba Zanzibar imevamiwa na nchi nyingine!
 

Toooba!!
Heko police kwa kutumia busara - msakila nisingekubali
Look yaani wameshindwa kuondoka hata na mtupa Mawe mmoja tu wakamwonyeshe cha mtema kuni? Hapo ilitakiwa waondoke na sampuli moja tu.

Polisi wa bara wapelekwe Zanzibar kudhibiti huo uhuni askari hawezi.kimbia RAIA mtupa mawe akashindwa kuondoka nao hata wawili tu wa kuwafungulia kesi ya ugaidi waozee ndani miaka huku wakiwa wametiwa vilema vya maisha.

IGP omba maelezo ya kueleweka kama hawakuondoka na gaidi hata mmoja hapo.

Hao ni magaidi wakidakwa hiyo ndio kesi yao ni vikosi vya kigaidi vikishambulia vikosi vya serikali.Kusiwe na huruma hata chembe kwenye hilo.
 
Polisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo had I wakumbuke bibi zao waliofariki..
Askari wote wa Zanzibar wanajulikana hata wawavishe gunia watu wana wajua

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Sawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age.

Leo na kesho, Askari wa usalama wakianza kutumia chuma, serikali inaanza kuonekana ina matatizo na wananchi wake.

Wananchi Msijaribu kucheza na vyombo vya usalama na askari wake pasipo na sababu ya msingi.Tutawaumiza.
Hamna jeshi linaloweza kuwashinda wananchi
 
Wazanzibar tumejipanga vyema sana safari hii. Tunakwenda na mdundo, wakiweka Reggie tutacheza, wakiweka sebene tutacheza. Wakija na busara tutakwenda na busara, wakija na nguvu nasi tutakuja na nguvu vile vile. Ni tit for tat.
 
Mkuu hakuna jeshi linaloweza kuishinda nguvu ya UMMA , halijawahi kutokea mahali popote pale duniani. Raia wakisema sasa basi si risasi mabomu na maji ya pilipili yatakayozuia dhumuni lao la kupambana na uonevu.
Magufuli, kwa uwezo mdogo wa kiutawala aliouonyesha mpaka sasa, na kutotumia busara/hekima/demokrasia nk.bali kupenda ubabe/chuki na visasi, huenda akaingia katika historia ya kuwa rais atakayeiingiza nchi hii kwenye civil war.
 
Mpaka sasa najiuliza kwa nini awamu hii imeamua kumwaga damu za watu kwa kiwango hicho?

Hivi Magufuli haoni kuwa wanaomzunguka wandanganya ? Hata kama atarudi kwa nguvu lakini atastaafu na kuishi kwa shida sana.
Kenneth Kaunda mpaka sasa Yupo Hai. Anaheshimika na anatambulika kama Baba wa Taifa la Zambia. Hakutaka kuingiza Taifa lake kwenye Umwagaji wa Damu kwa kutaka abaki madarakani. Alikubali kuwa Chama chake kimeshindwa na maisha yanandelea . Zambia hawajapigana vita kwa sababu walizingatia haki.

Sasa Naona kila dalili ya JPM kuwanufaisha wachache wenye uroho wa madaraka na Mali ndani ya CCM lakini yeye baada ya kustaafu atakuwa na wakati mgumu sana mana Tanzania CCM inazidi kupukutika kwa kadiri wanzanilishi wake wanavyozidi kuzeena na wengine kutangulia mbele za haki. Ukiangali kwenye mikutano mingi ya CCM wengi ni wazee lakini Upinzani wengi ni vijana wadogo ambao wanaonekana kuupenda uoinzani kwa dhati bila kupewa fedha wala vyeo kama ilivyo kwa CCM ambao wengi wapo kwa sababu ni Chama chenye maslahi yote ya nchi hii.

Hua naangalia hata kwenye magrup ya kijamii wengi wanaoiunga mkono CCM ni wazee na watu wenye nafasi za madaraka au wanaonufaika kimadaraka moja kwa moja au ndu zao.

Hivyo ningekua ni Mimi ndio JPM nisingevuruga Mwafaka uliofanywa na watangulizi wake na kuifanya Zanzibar kuwa moja na kutulia kabisa .
Nisingedharau Katiba mpya iliyoanzishwa na mtangulizi wake kwa gharama kubwa sana.
Nisingevuruga Demokrasia iliyoasisiwa na watangulizi wake.

Kuvuruga Mwafaka wa Zanzibar, kuvuruga Katiba ya warioba ,Kuvuruga Demokrasia ni wazi kabisa kuwa Awamu hii haiwajali wananchi moja kwa moja na mahitaji ya mioyo yao zaidi ya kuwafanya kama watumwa kwenye nchi yao kwa sababu hayo ndiyo mambo yanayowafanya waishi kama watu waliostarabika.
Tunaletewa maendeleo Kikaburu kwa mitutu ya Bunduki .

Awamu ya Tano itampa wakati mgumu sana Rais wa awamu ya Sita hata kama atatoaka ndani ya CCM . Kama Ufisida uliofanywa na awamu zilizopita ulivyoisumbua awamu hii ndivyo pia na uvuniifu wa haki za watu na mauaji vitakavyoisumbua awamu ya sita. Awamu ya sita ikijaribu kurejesha muafaka itajikuta inatengeneza vikundi vya kulipa visasi,vinginevyo tuwe tumeamua rasmi kuwa Tanzania tunaendelea kutawaliwa Kwa mkono wa Chuma daima.

Awamu hii imeturudisha nyuma sana na itakuwa ni vigumu sana kuirejesha Tanzania kwenye umoja na mshikamano mana kuna watu wametumia miaka mitano yote kuhubiri mauaji kama alivyofanya Musiba na Kheri. Sasa watu wa vyama vingine nao wakaamua kuhamasishana na kupinga kuuawa wao tuu na familia zao kubaki zinateseka huku familia za wauaji ndani ya CCM zikipeta na kula raha kana waliomuua Alfonsi Mawazo ambao hawajakamatwa mpaka Leo. Hali inayosababisha watu wahisi kuwa hakuna Haki kwa wapinzani.

Rais wa awamu ya Tano amekua zaidi kama Mwenyekiti wa CCM kuliko Rais wa nchi kwa muda wote hata maendeleo ameyatoa kama vile wakoloni walivyotoa kwa malengo ya kwao huko Ulaya naye ametoa kwa baadhi ya maeneo kwa mikakati ya kushika dola tu na kujenga Chama chake lakini sio kama Jukumu la Rais na serikali inayochukua kodi kwa wananchi.

Kuna changamoto kubwa sana inayotunyemelea chini ya Awamu hii iliyojaa wapenda madaraka na watu katili wabinafsi wanaojiona kuwa hawana Mwisho wa kuishi duniani baada ya kuona mifuko yao imejaa mapesa na mali zimewazunguka kila kona na benki kuu ni Mali ya familia zao.
 
Maalim amelala ndani kwake,watoto wa watu wanawarushia mawe askari wenye silaha.. Hotba zake kampeni ni shari shari,,The Hague itamhusu
 
Back
Top Bottom