Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Uchaguzi 2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

Mkuu hakuna jeshi linaloweza kuishinda nguvu ya UMMA , halijawahi kutokea mahali popote pale duniani. Raia wakisema sasa basi si risasi mabomu na maji ya pilipili yatakayozuia dhumuni lao la kupambana na uonevu.
Watu wamechoookaaaa
Ameleta wajeshi kutoka nchi jirani
Itakuwa mmoja akihojiwa aongee lugha tofauti utakuwa ushahidi mzuri icc
Karibu kunakucha...
 
Look yaani wameshindwa kuondoka hats na mtupa Mawe mmoja tu wakamwonyeshe cha mtema kuni? Hapo ilitakiwa waondoke na sampuli moja tu

Polisi wa bara wapelekwe Zanzibar kudhibiti huo uhuni askari hawezi.kimbia RAIA mtupa mawe akashindwa kuondoka nao hata wawili tu wa kuwafungulia kesi ya ugaidi waozee ndani miaka huku wakiwa wametiwa vilema vya maisha

IGP omba maelezo ya kueleweka kama hawakuondoka na gaidi hata mmoja hapo

Hao ni magaidi wakidakwa hiyo ndio kesi yao ni vikosi vya kigaidi vikishambulia vikosi vya serikali.Kusiwe na huruma hata chembe kwenye hilo
Punguza hasira jombaa unarusha povu la kufa mtu.

Mapolisi na wanajeshi wamechoka kuwapigania wahuni wa ccm kwa ujira kiduchu na manyanyaso.

Kama mna uchungu sana na madaraka mje barabarani na mashati yenu ya kijani tuzichape uso kwa uso.

Mwaka huu hakuna kujificha kwenye sketi za polisi.

Tunaomba mapolisi na wanajeshi wakae kando watuachie hawa mafisi wa kijani tudili nao perpendicularly.
 
Wananchi wakiamua lazima busara itumike ,risasi haziwezi kuzuia nguvu ya umma ,utaua watu kadhaa lakini wananchi lazima wakugeuze kitoweo maana risasi zitaisha tu.
gaidi wewe safari HII jiandae kuozea ndani ukaungane na wale magaidi mashehe
 
Mrusha mawe ukidakwa unashambulia vyombo vya ulinzi na usalama hiyo ni kesi ya ugaidi utaozea ndani shauri yako
 
JWTZ ni jeshi la wananchi mwananchi mkorofi hawezi kulishinda
Unahangaika sana jombaa.

Majeshi ya nchi sio nyenzo ya kisiasa ya kuwapigania maharamia wa ccm waendelee kuitafuna nchi.

Kama unaumia sana hebu njoo barabarani na shati lako la kijani tuzichape uso kwa uso.

Acheni kuwasumbua mapolisi. Ninyi ndio wenye kiu na uchu wa madaraka kwahiyo njooni na mashati yenu ya kijani ili tuwang'oe meno vizuri on face to face basis.
 
Kuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.

Eti wanakubalika. Eti wametekeleza. Eti watashinda kwa kishindo.

Majizi makubwa. Acha wazime mitandao.

Kwani hadi sasa hatujui cha kufanya kujilinda na hata kupambania haki zetu?

Hatutishiki tena. Mkoloni mweusi umetuchosha.
 
kama 2000 ulikuwa ni katoto/kavulana kadogo unaweza ona hawa jamaa wanafanya jambo la ajabu kweli kweli.

ila kimsingi hawa nao kuna kitu wanatamani kujifunza.ili waache mihemko kwa miaka 20 ijayo.
 
kama 2000 ulikuwa ni katoto/kavulana kadogo unaweza ona hawa jamaa wanafanya jambo la ajabu kweli kweli.

ila kimsingi hawa nao kuna kitu wanatamani kujifunza.ili waache mihemko kwa miaka 20 ijayo.
Uchaguzi wa.mwaka huu ni wa kipekee....dunia ya mwaka.2000 ni tofauti na ya mwaka 2020....


Nikisoma saikolojia ya maandishi yako wewe bila kupepesa macho ni askari /Polisi
 
Uchaguzi wa.mwaka huu ni wa kipekee....dunia ya mwaka.2000 ni tofauti na ya mwaka 2020....


Nikisoma saikolojia ya maandishi yako wewe bila kupepesa macho ni askari /Polisi

unasoma saikologia mwaka wa ngapi huu kijana wangu!!!!

bado siku 1 tu.utaelewa nnachokwambia.
 
Back
Top Bottom