Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.
Vitisho hivi ndio mmevitumia miaka yote kuiba kura Sasa watanzania ndio hawaoni Nuru kupitia kura wanatumia short cut tutaheshimiana.Sawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age.
Leo na kesho, Askari wa usalama wakianza kutumia chuma, serikali inaanza kuonekana ina matatizo na wananchi wake.
Wananchi Msijaribu kucheza na vyombo vya usalama na askari wake pasipo na sababu ya msingi.Tutawaumiza.
Wapumbavu kama wewe bora mngekufa pale tokaondokana na fitna zenu na mabalaaNashauri patokee Vita basi. Sioni dalili ya kuheshimiana nje ya vita
Wazanzibar sio waoga hata kidogo kama ulikuwa hujui wao ni tofauti na watanganyika....Sawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age.
Leo na kesho, Askari wa usalama wakianza kutumia chuma, serikali inaanza kuonekana ina matatizo na wananchi wake.
Wananchi Msijaribu kucheza na vyombo vya usalama na askari wake pasipo na sababu ya msingi.Tutawaumiza.
Kama ni hivi, itakuwa busara kuzima mitandaoKuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.
Wewe mwoga endelea kukuta kachumbari waache wazanzibar waendelee kudai UHURU kamili wa nchi YaoSawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age.
Leo na kesho, Askari wa usalama wakianza kutumia chuma, serikali inaanza kuonekana ina matatizo na wananchi wake.
Wananchi Msijaribu kucheza na vyombo vya usalama na askari wake pasipo na sababu ya msingi.Tutawaumiza.
Je! Nani amefaidika Libya kwa Gadaffi sasa? Jiulize!Wakishafungua kila kitu kitawekwa wazi na huo inawezekana ikawa ndio mwanzo wa CIVIL WAR .... Hata kwa Gadaffi yalianzia kama hivyo lakini mwisho hata Jeshi lilishindwa
Safi sana Wazanzibari. Tumeshasema uonevu sasa baasi!! Kama kutuua watuue wote tuone watafika wapiKuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Jiulize pia Ghadafi amefaidika nini na udhalimu wake??? Acheni udhalimuJe! Nani amefaidika Libya kwa Gadaffi sasa? Jiulize!
Hata Bara CCM hawashindi mwaka huu. Lolote liwe tuCCM fanyeni wizi bara huku sisi poa tu ila wa Zanzibari wapeni haki yao yakuamua sababu wako wachache wizi wa kura ni changamoto kidogo wanajuana. waacheni wachague wanachotaka serikali ya muungano sababu imeshika wizara muhimu wala hakuna tatizo lakini tusivunje amani...
Wapo wanaomtaka na wapo wasiomtaka kura ipigwe kwa amani apatikane mshinde nchi iendelee kuwa na amaniHusein mwinyi hawamtaki Zanzibar
Zanzibar wanafahamiana. Polisi pia wana akili na wametumia busara sana kuondoka.Polisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo had I wakumbuke bibi zao waliofariki...
Nyinyi Ni wajinga wachache ndani ya Africa hii na dunia kiujumla, mpuuzi Sana wewe.Jiulize pia Ghadafi amefaidika nini na udhalimu wake? Acheni udhalimu
Pole mno mwaka huu lazima tuwaoneshe sisi si wajingagaidi wewe safari HII jiandae kuozea ndani ukaungane na wale magaidi mashehe
We jamaa una ROHO MBAYA SANA ,Mbona Kuna nyuzi unajipambanua mkristo tena mlokole unayechukia Ukatoliki!Look yaani wameshindwa kuondoka hata na mtupa Mawe mmoja tu wakamwonyeshe cha mtema kuni? Hapo ilitakiwa waondoke na sampuli moja tu...
Wanajeshi sio wajinga kupiga Raia.JWTZ ni jeshi la wananchi mwananchi mkorofi hawezi kulishinda
Mawe ndo silaha ya mnyonge,haki Siku zote huwa haiombwi.unaipata kwa maumivu makali .Sawa..waache waendelee kutumia silaha zao duni za stone age...
PandikiziZanzibar wakikinukisha itakuwa funzo kubwa kwa Tanganyika lazima mtukufu Mkoloni kaburu mweusi adate