Nani kakuambia kuna mauaji.Kwenda zako na mawazo yako ya kishetani, hafi mtu ila ushindi kwa ccm ni dhahiri, mmeishiwa hoja mnategemea mauaji, eti ili kuwepo na serikali ya kitaifa nanyi muwemo .NYOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOO, ZANZIBAR NI MWINYI NA BARA NI MAGUFULI.MJIPANGE 2025Kuna hatari mitandao kuzimwa ili kuficha mauaji makubwa na kutisha kuanzia wakati wowote.
Wewe unajua Umuhimu wa kuwa na mfumo thabiti wa kusimamia Maendeleo ya mji!?Usitoe mifano ya watoto.kama huna na ijulikane huna lkn sio haki zao hazipo ila za kukufurahisha au kuwekeza kwenye miradi ili upate sifa zipo hapa lzm msuguano utokee.Serikali za kisasa zote zinasikiliza watu thus huwezi sikia mikwaruzano Kati ya watawala na watawaliwa
hAKUNA MKATE MGUMU KWA CHAI.FUATA SHERIA ACHA KUHAMASISHA MAAFA UTAFIA JELA KIJANA. HIZI TAHARUKI ZENU ZIMEFELI, KAMA MMEFELI KUWASAHWISHI WANANCHI IMEKULA KWENU. MAGUFULI ANAKWENDA KUWAFUNDISHA DEMOKRASIA NA KULE MWINYI ANAWAPA MASWALI MAGUMU YA KIDEMOKRASIA SAFARI HII MPAKA MUOMBE POO
Jeshi lomeapa kulinda nchi na raia. Na raia wanahaki zao kwa mujibu wa katiba tuliojiwekea na sheria zetu. Inakuaje Majeshi haya yashindwe kutii maamuzi ya wananchi kwa umakini. Kwani kama kuwa na vyama vingi ni danganya toto kwanini msipeleke mswada kupiga vita vyama tuone kama mtaishi kwa furaha ? Kwa mtu mwenye kufikili mandamano ni Sahihi kuleta ujumbe kwa mamlaka.kwanini majeshi yasitimize wajibu kulinda raia? Kwani mamlaka ya kushika nchi hii ni ya Kikundi cha watu tu fulani? Ebu fikilieni nchi sio matumbo yenu tendeni haki ili Taifa liinuke!!
Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Mawe ni silaha ya mnyonge hata Mfalme Daudi aliitumia baada ya kuonewa na manyanyaso ya Goliathi
Mawe yamebarikiwa na yameziondoa Tawala nyingi za kidhalimu Mawe hayahitaji ujuzi wala unifomu
HAKI! HAKI! HAKI!
Sasa hao waliovaa kiraia watakuwa salama?, Watachomwa moto na raia wenye hasira kali mchana kweupePolisi ongezeni askari wasio na uniform mitaani hapo mbona ilikuwa rahisi tu kuwadaka hao watupa mawe sio lazima wadakwe wote mnakamata wachache tu katika wengi wanaotupa mawe halafu mnawabana korodani na koleo hadi wakumbuke bibi zao waliofariki
Tatizo hapo in kutokuwa na askari wasio na uniform mitaani.Chukueni makomandoo wavalisheni nguo za mitaani waingie mitaani
Zanzibar mitaa mingi imebanana nyumba kuwadaka hao wahuni kazi ndogo mno sababu vichochoro vichache na vidogo rahisi kuwazingira pande zote na kuwabana kati
Sehemu korofi shusheni makomandoo wavalisheni hata hijabu na kanzu
THIS IS VERY DANGEROUS huu mtihani MAGUFULI atauweza kweli?Kuelekea uchaguzi mkuu tarehe 27 na 28 Zanzibar. Askari wa Usalama washambuliwa kwa mawe
View attachment 1612185
Hapana! Doto James ni mstaarabu sana, yeye Hana muda wa maneno maneno ya kipuuzi, anahangaika na mihela tu. Huyu anaeza kuwa ni yule M-UVCCM mwenye msimamo wa Ukichaa sijui wanamwita Kheri?Inaonekna wewe ni Magufuli mwenywe ama Dotto James. Kuja kufika 29 Okt mtakuwa mmevaa komati wenyewe.
Eti sketi za polisiccm [emoji3][emoji3][emoji3]Punguza hasira jombaa unarusha povu la kufa mtu.
Mapolisi na wanajeshi wamechoka kuwapigania wahuni wa ccm kwa ujira kiduchu na manyanyaso.
Kama mna uchungu sana na madaraka mje barabarani na mashati yenu ya kijani tuzichape uso kwa uso.
Mwaka huu hakuna kujificha kwenye sketi za polisi.
Tunaomba mapolisi na wanajeshi wakae kando watuachie hawa mafisi wa kijani tudili nao perpendicularly.
Hukuona baba yako Mkapa amekufa huku analialia kwa dhambi aliyoitenda huko Zanzibar? , sasa safari hii wahusika lazima wafikishwe the Hague, hakuna atakayeachwa salama wakiua mwananchi hata mmoja wa Zanzibarkama 2000 ulikuwa ni katoto/kavulana kadogo unaweza ona hawa jamaa wanafanya jambo la ajabu kweli kweli.
ila kimsingi hawa nao kuna kitu wanatamani kujifunza.ili waache mihemko kwa miaka 20 ijayo.
Wewe unajua Umuhimu wa kuwa na mfumo thabiti wa kusimamia Maendeleo ya mji!?
I can guarantee you hujui! Na ikitokea serikali imeamua kutumia mabilioni kujenga mifumo hii utakuwa wa kwanza kupinga maana haina direct effect na Uchumi wako!
My point is... You need trained minds to make decisions...the level at which decisions are made ...sio level ya uelewa ya kila mtanzania ..yet unataka tusikilizane tutaelewana!?
Sasa ikiwa unataka kinachoombwa na wananchi pekee ndicho kifanyike kuna haja gani ya kuwa na viongozi!!?
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hukuona baba yako Mkapa amekufa huku analialia kwa dhambi aliyoitenda huko Zanzibar? , sasa safari hii wahusika lazima wafikishwe the Hague, hakuna atakayeachwa salama wakiua mwananchi hata mmoja wa Zanzibar
Waathirika wa vikwazo ni sisi wananchi na sio watawala,waadhibiwe watawala ikiwezekana physical na sio sisi wananMPAKA SASA NAMJUA MGOMVI NI NANI MKIANZA KUMWAGANA DAMU NAMPIGIA TRUMP SIMU ILI ASHUSHE VIKWAZO VYA KIUCHUMI KAMA ZIMBWABE
very seriously