Zanzibar: Bawa la ndege laokotwa Kisiwani Pemba

Zanzibar: Bawa la ndege laokotwa Kisiwani Pemba

Ingekuwa enzi ya Jeikei hilo bawa sasa hivi ungelikuta lipo Ikulu Dar sababu jamaa huwa anatumiaga vizuri fursa kama hizi za kupiga picha na kuonekana kwenye vyombo vya habari vya kimataifa maana anajua Wazungu lazima waje tuu.
😀😀😀😀😀😀😀😀 Kweli wa TZ hatusahau kitu.
 
The piece of a plane wingairline found today in the Indian Ocean on the island of Kojani, Pemba - Zanzibar off coast of Tanzania.

It is believed to be Part of the Missing Malaysia Airlines Flight MH370 and investigation is ongoing.

Transport Minister Darren Chester said the Australian Transport Safety Bureau was seeking further information on the item, which was discovered on Pemba Island.

Several pieces of debris that authorities say are almost certainly from the plane have been recovered during the past year on the shorelines of South Africa, Mozambique, and Rodrigues and Reunion islands.

======

Bawa kubwa la ndege limeokotwa na wananchi leo katika Bahari ya Hindi kwenye Kisiwa cha Kojani, Pemba. Haijafahamika ni la ndege ya shirika gani.

Sehemu ambayo inaaminika ni mabaki ya ndege imevuliwa katika bahari ya hindi katika ufukwe wa kisiwa cha kojani pemba.

Bawa la ndege lililopatikana katika bahari ya kisiwa kidogo cha kojani huko kisiwani pemba zanzibar, yamezusha mjadala mkubwa miongoni mwa wakazi wa kisiwa hicho huku wengi wakiamini ni bawa la ndege ya malaysia ambayo ilipotea bila kujuilikana hatima yake. Ndege ya shirika la Malaysia Airlines yenye chapa MH370, iliotoweka Machi 8 mwaka 2014 haijawahi onekana hadi leo.

Ingawa bado hakuna uhakika ni mabaki ya ndege gani, wataalamu wa usafiri wa anga wamenza hatua ya awali ya uchunguzi wa mabaki hayo ya ndege.

Taarifa zinasema tayari maofisa wa usalama wameanza kulifanyia uchunguzi bawa hilo na huenda si muda mrefu tukapata maelezo ya kutosha kutoka vyombo vinavyohusika
View attachment 359349 View attachment 359350 View attachment 359351

More images (June 24, 2016)
View attachment 359673
View attachment 359674
View attachment 359675
View attachment 359676
Australia imetangaza kuanza uchunguzi wa mabaki ya ndege yaliyogunduliwa kwenye kisiwa kidogo cha Kojani, visiwani Zanzibar, kutambuwa endapo ni ya ndege ya Malaysia, nambari MH370, ambayo ilipotea Machi mwaka 2014, ikiwa na watu 239. Waziri wa Usafirishaji wa Australia, Darren Chester, hakutoa maelezo zaidi kuhusu mabaki hayo, lakini mwanzoni mwa mwezi huu, wavuvi kwenye kisiwa cha Kojani waligundua kile wanachoeleza kuwa ni bawa la ndege, ambalo bado linaendelea kushikiliwa huko.

Waziri Chester amesema tayari mamlaka nchini Malaysia zimefanya mawasiliano na wenzao wa Tanzania kupanga namna ya kuyachunguza mabaki hayo. Mwezi Mei, vipande vyengine vinavyokisiwa kuwa mabaki ya ndege hiyo, viliokotwa kwenye visiwa vya Reuniun na Mauritius. Australia inaendesha operesheni kubwa kuisaka ndege hiyo kwenye eneo la kusini mwa Bahari ya Hindi lenye ukubwa wa kilomita za mraba 105,000.

Tusi sahau kuna ile ndege ilishindwa kutua zanzibar ikitokea commoro ikaenda kuangukia Baharin akapona mtoto mchanga nadhani ilikuwa 2010
 
The piece of a plane wing found today in the Indian Ocean on the island of Kojani, Pemba - Zanzibar off coast of Tanzania.

It is believed to be Part of the Missing Malaysia Airlines Flight MH370 and investigation is ongoing.

Transport Minister Darren Chester said the Australian Transport Safety Bureau was seeking further information on the item, which was discovered on Pemba Island.

Kojani is a small and the only inhabited island on the eastern side of Pemba island.


Nearby cities: Tanga , Zanzibar Town, Dar es Salaam
Coordinates: 5°4'28"S 39°51'12"E

Several pieces of debris that authorities say are almost certainly from the plane have been recovered during the past year on the shorelines of South Africa, Mozambique, and Rodrigues and Reunion islands.


View attachment 359349 View attachment 359350 View attachment 359351

More images (June 24, 2016)
View attachment 359673
View attachment 359674
View attachment 359675
View attachment 359676
.

figganigga said:
The piece of a plane wing found today in the Indian Ocean on the island of Kojani, Pemba - Zanzibar off coast of Tanzania.

It is believed to be Part of the Missing Malaysia Airlines Flight MH370 and investigation is ongoing.

Transport Minister Darren Chester said the Australian Transport Safety Bureau was seeking further information on the item, which was discovered on Pemba Island.

Kojani is a small and the only inhabited island on the eastern side of Pemba island.


Nearby cities: Tanga , Zanzibar Town, Dar es Salaam
Coordinates: 5°4'28"S 39°51'12"E

Several pieces of debris that authorities say are almost certainly from the plane have been recovered during the past year on the shorelines of South Africa, Mozambique, and Rodrigues and Reunion islands.

Source: The piece of a plane wing found today in the Indian Ocean on the island of Kojani, Pemba - Zanzibar off coast of Tanzania. Bawa kubwa la ndege laokotwa Kisiwani Pemba



MH370 Conspiracy Theorists

Diego Garcia is a British-controlled atoll in the Indian Ocean which is leased to a US military base.

It is where two rendition flights landed in 2002, despite lengthy attempts by the British government to deny any evidence that it allowed American terror suspects to be interrogated on its territory.

And it has been cited time and time again, as the world seeks answers as to what happened to flight MH370 and the 239 souls on board.

Diego Garcia atoll is located 3,535 km (2,197 mi) east of Tanzania's coast, 1,796 km (1,116 mi) south-southwest of the southern tip of India (at Kanyakumari) and 4,723 km (2,935 mi) west-northwest of the west coast of Australia (at Cape Range National Park, Western Australia). Diego Garcia lies at the southernmost tip of the Chagos-Laccadive Ridge, a vast submarine mountain range,[2] top of coral reefs, atolls, and islands comprising Lakshadweep, The Maldives, and the Chagos Archipelago. Local time is UTC+6 year-round (DST is not observed)

Former Proteus Airlines boss Marc Dugain has for some time suggested the plane was shot down from the US base after being remotely hacked.

n-MARC-DUGAIN-570.jpg





Marc Dugain believes the plane was shot down by the USA





Dugain claims that fearing a 9/11-style terror attack, the US took action from the remote island after learning hackers had taken control of the Boeing 777.

He reports speaking to residents of the Maldives who saw “red and blue stripes with a white background” on a plane heading towards Diego Garcia on the day of MH370’s disappearance.

In an interview with Paris Match magazine, Dugain also claimed to have seen pictures of an empty Boeing fire extinguisher washed up on a beach on nearby Baarah island.

The former airline boss suggests that Boeing planes are particularly vulnerable to hijacking, and could have been set on fire remotely.

“In 2006, Boeing patented a remote control system using a computer placed inside or outside the aircraft,” Dugain told Paris Match.

He told France Inter: “It’s an extremely powerful military base. It’s surprising that the Americans have lost all trace of this aircraft.”

Source: MH370 Conspiracy Theorists Are Speculating About The US Military Base On Diego Garcia
 
Sijui wanalipima kwa futi kamba hao walioinama..!! Au wataalamu wenyewe ndio hao wanaongozwa na huyo aliyevaa yeboyebo..

Usiwe na wasiwasi wataenda kulipima DNA baadae kidogo wasubiri hapo hapo wenzako wanakungoja kule
 
Nimeangalia hizi picha zikanifanya nicheke kwa sauti
Habari inasema wanaendelea kufanyia uchunguzi,
Nikadhani hao wajamaa waliovaa vikoti ndo wanadanya uchunguzi.

Kumbe wataalamu zaidi ni hao waliovaa yebo yebo ndo wanaotarajiwa kutoa majibu
Acheni kulazimisha ujinga....... hao uwaonao ni waokotaji tu wa hilo bawa........ watu wenye proffession zao watakwenda kufanya uchunguzi zaidi
 
Hawa jamaa wangetengeneza vizuri mazingira ya kupiga hela ya mzungu hapo ....unakuwa umeumia na umelazwa katika harakati za kutoa bawa kwenye maji... kisha zinapigwa picha kibao... hao jamaa (yebo yebo ) siajabu wakapata dola mia mia..... ama wasipate chochote
 
The piece of a plane wingairline found today in the Indian Ocean on the island of Kojani, Pemba - Zanzibar off coast of Tanzania.

It is believed to be Part of the Missing Malaysia Airlines Flight MH370 and investigation is ongoing.

Transport Minister Darren Chester said the Australian Transport Safety Bureau was seeking further information on the item, which was discovered on Pemba Island.

Several pieces of debris that authorities say are almost certainly from the plane have been recovered during the past year on the shorelines of South Africa, Mozambique, and Rodrigues and Reunion islands.

======

Bawa kubwa la ndege limeokotwa na wananchi leo katika Bahari ya Hindi kwenye Kisiwa cha Kojani, Pemba. Haijafahamika ni la ndege ya shirika gani.

Sehemu ambayo inaaminika ni mabaki ya ndege imevuliwa katika bahari ya hindi katika ufukwe wa kisiwa cha kojani pemba.

Bawa la ndege lililopatikana katika bahari ya kisiwa kidogo cha kojani huko kisiwani pemba zanzibar, yamezusha mjadala mkubwa miongoni mwa wakazi wa kisiwa hicho huku wengi wakiamini ni bawa la ndege ya malaysia ambayo ilipotea bila kujuilikana hatima yake. Ndege ya shirika la Malaysia Airlines yenye chapa MH370, iliotoweka Machi 8 mwaka 2014 haijawahi onekana hadi leo.

Ingawa bado hakuna uhakika ni mabaki ya ndege gani, wataalamu wa usafiri wa anga wamenza hatua ya awali ya uchunguzi wa mabaki hayo ya ndege.

Taarifa zinasema tayari maofisa wa usalama wameanza kulifanyia uchunguzi bawa hilo na huenda si muda mrefu tukapata maelezo ya kutosha kutoka vyombo vinavyohusika
View attachment 359349 View attachment 359350 View attachment 359351

More images (June 24, 2016)
View attachment 359673
View attachment 359674
View attachment 359675
View attachment 359676
Australia imetangaza kuanza uchunguzi wa mabaki ya ndege yaliyogunduliwa kwenye kisiwa kidogo cha Kojani, visiwani Zanzibar, kutambuwa endapo ni ya ndege ya Malaysia, nambari MH370, ambayo ilipotea Machi mwaka 2014, ikiwa na watu 239. Waziri wa Usafirishaji wa Australia, Darren Chester, hakutoa maelezo zaidi kuhusu mabaki hayo, lakini mwanzoni mwa mwezi huu, wavuvi kwenye kisiwa cha Kojani waligundua kile wanachoeleza kuwa ni bawa la ndege, ambalo bado linaendelea kushikiliwa huko.

Waziri Chester amesema tayari mamlaka nchini Malaysia zimefanya mawasiliano na wenzao wa Tanzania kupanga namna ya kuyachunguza mabaki hayo. Mwezi Mei, vipande vyengine vinavyokisiwa kuwa mabaki ya ndege hiyo, viliokotwa kwenye visiwa vya Reuniun na Mauritius. Australia inaendesha operesheni kubwa kuisaka ndege hiyo kwenye eneo la kusini mwa Bahari ya Hindi lenye ukubwa wa kilomita za mraba 105,000.
Kichwa cha uzi kimesomeka bawa kubwa la ndege,mimi nikadhani ni la ndege kiumbe,hapo nikaunganisha dots nikidhani bawa la ndege aina ya POPO BAWA, na hicho kisiwa cha KOJANI Pemba ni maarufu kwa POPO BAWA.
 
kuja ni hakiyao kwani kuna Mwafrica anae unda ndege labda UNGO ndio ndege zetu
 
aisee itakuwa habari njema leo nimeingia jf nakutana na hii ha ha haaa ngoja tusubiri, lakini najiuliza ndege ilishapotea watakachofuatilia zaidi ninini haswaaa>???? nadhani ni kupoteza muda tuuu ndege ishapotea kuipata ni shidaaaa
 
Back
Top Bottom