Zanzibar ilivyo ndogo, Waziri anaweza kufanya ziara kwa Bodaboda na akawafikia wananchi

Zanzibar ilivyo ndogo, Waziri anaweza kufanya ziara kwa Bodaboda na akawafikia wananchi

chotera

JF-Expert Member
Joined
May 19, 2016
Posts
6,560
Reaction score
15,864
Nimawazo tu,

Kama uholanzi Mawaziri wanafanya ziara kwa kutumia baiskeli kwa sababu wanabana matumizi ya pesa za walipa kodi.

Zanzibar nayo iige mfano kama huo walau mawaziri watumie boda boda na wakuu wa mikoa, wilaya, wawakilishi na masheha ndio waamua watumie boda boda au baiskeli.

Hii itasababisha hata wenzao bara waige mfano huo ili Tanzania tupeleke pesa nyingi kwenye maendeleo.

Sio Mawaziri wanakua na vitambi vikubwa kama mafurushi ya vyuma chakavu lazima tujitoe kuanzia sasa.
Sio tunaweka tozo tu bila kujali matumizi bora.

Kwa mfano waziri anatoka kimara hadi manzese ni elfu tatu kwa bajaji lakini utakuta anatumia mamilioni mangapi sijui, haya Waziri unatoka darajani kwenda shamba nauli ni elfu mbili na mia tano lakini kubebebsha mzigo tu wananchi na blah blah kwenye makaratasi.
 
Mbunge Kessy aliwahi kusema Zenji unaweza kuwakusanya watu kwa kupiga filimbi tu, jamaa wakamjia juu 🤣 🤣 🤣
Ndio maana Zanzibar inataka kujikomboa,kujitoa katika huu mungano wa kunyanyasana na kusengenyana..

Ukumbwa wa nchi sio kigezo kuwa nchi isiwe nchi,..

Taifa la kisiwa cha Tuvalu kina watu kumi na moja elfu mia mbili. (11,200,),lakini bado ni taifa lenye kiti umoja mataifa..

Taifa la kisiwa cha Kiribati lina watu 119,446 tu,..

Sasa mnashanga nini Zanzibar yenye zaidi ya watu millioni moja laki tano(15000)..

Tatizo la Watanganyika hamfikiri kwa kutumia akili bali mnatumia maka...li....... na ndio maana mnaburuzwa buruzwa ..
 
Ndio maana Zanzibar inataka kujikomboa,kujitoa katika huu mungano wa kunyanyasana na kusengenyana..

Ukumbwa wa nchi sio kigezo kuwa nchi isiwe nchi,..

Taifa la kisiwa cha Tuvalu kina watu kumi na moja elfu mia mbili. (11,200,),lakini bado ni taifa lenye kiti umoja mataifa..

Taifa la kisiwa cha Kiribati lina watu 119,446 tu,..

Sasa mnashanga nini Zanzibar yenye zaidi ya watu millioni moja laki tano(15000)..

Tatizo la Watanganyika hamfikiri kwa kutumia akili bali mnatumia maka...li....... na ndio maana mnaburuzwa buruzwa ..
Mkuu jitahidini kumtumia Mama mjitoe na muondoke wooote bara mkajazane kwenye tule tuvisiwa tunavyozidi kudidimia, najua una habari kuwa baadhi ya visiwa vya wavuvi vimeanza kupotea, unajua inamaanisha nini?

Go ahead and depart, ushamsikia mbara wa kawaida anayelilia Muungano zaidi ya viongozi ambao wanaendeshwa na mzimu wa Nyerere kuhusu Muungano na Mwenge
 
Ndio maana Zanzibar inataka kujikomboa,kujitoa katika huu mungano wa kunyanyasana na kusengenyana..

Ukumbwa wa nchi sio kigezo kuwa nchi isiwe nchi,..

Taifa la kisiwa cha Tuvalu kina watu kumi na moja elfu mia mbili. (11,200,),lakini bado ni taifa lenye kiti umoja mataifa..

Taifa la kisiwa cha Kiribati lina watu 119,446 tu,..

Sasa mnashanga nini Zanzibar yenye zaidi ya watu millioni moja laki tano(15000)..

Tatizo la Watanganyika hamfikiri kwa kutumia akili bali mnatumia maka...li....... na ndio maana mnaburuzwa buruzwa ..
Ufundishwe kuandika 1 million kwa tarakimu?
 
Nimawazo tu,

Kama uholanzi Mawaziri wanafanya ziara kwa kutumia baiskeli kwa sababu wanabana matumizi ya pesa za walipa kodi.

Zanzibar nayo iige mfano kama huo walau mawaziri watumie boda boda na wakuu wa mikoa, wilaya, wawakilishi na masheha ndio waamua watumie boda boda au baiskeli.

Hii itasababisha hata wenzao bara waige mfano huo ili Tanzania tupeleke pesa nyingi kwenye maendeleo.

Sio Mawaziri wanakua na vitambi vikubwa kama mafurushi ya vyuma chakavu lazima tujitoe kuanzia sasa.
Sio tunaweka tozo tu bila kujali matumizi bora.

Kwa mfano waziri anatoka kimara hadi manzese ni elfu tatu kwa bajaji lakini utakuta anatumia mamilioni mangapi sijui, haya Waziri unatoka darajani kwenda shamba nauli ni elfu mbili na mia tano lakini kubebebsha mzigo tu wananchi na blah blah kwenye makaratasi.
Harafu mtu anakuja kumsifia Mwinyi 😁😁
 
Dar ni kubwa kama ni mchana kuna foleni, anza kutembea Dar saa nne usiku ndio utajua Dar ni ndogo sana, anza saa nne usiku inafika 11 alfajiri umemaliza maeneo yote muhimu unayoyajua.
Ni kweli kabisa hii kitu nimewahi kufanya miaka fulani aisee sikuwa naelewa hata nafikaje fikaje maeneo ambayo mchana yananitoa jasho kufika
 
Ndio maana Zanzibar inataka kujikomboa,kujitoa katika huu mungano wa kunyanyasana na kusengenyana..

Ukumbwa wa nchi sio kigezo kuwa nchi isiwe nchi,..

Taifa la kisiwa cha Tuvalu kina watu kumi na moja elfu mia mbili. (11,200,),lakini bado ni taifa lenye kiti umoja mataifa..

Taifa la kisiwa cha Kiribati lina watu 119,446 tu,..

Sasa mnashanga nini Zanzibar yenye zaidi ya watu millioni moja laki tano(15000)..

Tatizo la Watanganyika hamfikiri kwa kutumia akili bali mnatumia maka...li....... na ndio maana mnaburuzwa buruzwa ..
Kessy angeona hii komenti yako,hakika angepambana nawewe.
 
Hata Dar ni ndogo ukiwa unaiangalia kwenye ramani tu ila ukiingia ndani kwenyewe ndio balaa
Dar sio tu ni ndogo kiramani hata kwa kutembea na magulu ni ndogo mno!
Nakupa mfano kuna kijiji kinaitwa Kalenga mkoani Iringa watu wanatembea kwa miguu hadi mjini kila siku unaujua umbali wake?
 
Ccm ni ukoo wa panya kuanzia mababu hadi hawa vitukuu kina Mwigulu, January, Nape & Ridhiwani
 
Anawajuliaga sana hadi wanapaniki 🤣🤣🤣
Kessy alikua anafurahisha sana bungeni,hawataki kabisa hao wazenji,anasema wanatunyonya,anajenga hoja hadi inakua na mantiki,nimemmisi sana,2025 agombee arudi tena yule mwamba.
 
Back
Top Bottom