chabuso
JF-Expert Member
- Feb 18, 2013
- 6,380
- 5,884
Uko sahihi,lakini bado Zanzibar ni nchi kwani nchi haitafautishwi na population yake..,ongeza hizo zero kwenye tarakimu ili iwe 1,500,000Ufundishwe kuandika 1 million kwa tarakimu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko sahihi,lakini bado Zanzibar ni nchi kwani nchi haitafautishwi na population yake..,ongeza hizo zero kwenye tarakimu ili iwe 1,500,000Ufundishwe kuandika 1 million kwa tarakimu?
unguja kaskazini hadi unguja kusini mwishoni ni lisaa moja na nusu kwa gari ,unguja nzima unaweza kuizunguka kwa masaa manne tuHata Dar ni ndogo ukiwa unaiangalia kwenye ramani tu ila ukiingia ndani kwenyewe ndio balaa
Siriazi?unguja kaskazini hadi unguja kusini mwishoni ni lisaa moja na nusu kwa gari ,unguja nzima unaweza kuizunguka kwa masaa manne tu
HahahaAliyekuwa Mbunge wa Nkasi Mh. Kessy aliwahi kusema Zenji unaweza kuwakusanya watu kwa kupiga filimbi tu, jamaa wakamjia juu 🤣 🤣 🤣
ndo hivo mkuu,hapo ni unguja ambayo ni kubwa kuliko Pemba, yaani tumekuwa na Muungano na sehemu ambayo ni sawa na wilaya na wote haki sawa,Nyerere na Karume walichemka,Zanzibar ilistahili kuwa mkoa .Siriazi?
Hata sisi huku bara wenyewe hatuwataki ni viongozi wameng'ang'ania [emoji1787]Ndio maana Zanzibar inataka kujikomboa,kujitoa katika huu mungano wa kunyanyasana na kusengenyana..
Ukumbwa wa nchi sio kigezo kuwa nchi isiwe nchi,..
Taifa la kisiwa cha Tuvalu kina watu kumi na moja elfu mia mbili. (11,200,),lakini bado ni taifa lenye kiti umoja mataifa..
Taifa la kisiwa cha Kiribati lina watu 119,446 tu,..
Sasa mnashanga nini Zanzibar yenye zaidi ya watu millioni moja laki tano(15000)..
Tatizo la Watanganyika hamfikiri kwa kutumia akili bali mnatumia maka...li....... na ndio maana mnaburuzwa buruzwa ..
[emoji23][emoji23][emoji23]Aliyekuwa Mbunge wa Nkasi Mh. Kessy aliwahi kusema Zenji unaweza kuwakusanya watu kwa kupiga filimbi tu, jamaa wakamjia juu [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]
Mkuu nimecheka Sana ..Hii komenti yako inaonesha una makasiriko mengi sanaCcm ni ukoo wa panya kuanzia mababu hadi hawa vitukuu kina Mwigulu, January, Nape & Ridhiwani
Daaah! hii komenti ndo Kessy alikua anapenda kuzisema za namna hii!Hata sisi huku bara wenyewe hatuwataki ni viongozi wameng'ang'ania [emoji1787]
Kawachukue ndugu zako kariakoo na kule kwanjeka tanga muondoke muone hio shoo yake jinsi mtakavyopigwa na umaskini maana nyie ni kupe bila sisi hamna lolote
Kwa hiyo lawama unawatupia Watanganyika badala ya hao wenyewe akina yakheee??Ndio maana Zanzibar inataka kujikomboa,kujitoa katika huu mungano wa kunyanyasana na kusengenyana..
Ukumbwa wa nchi sio kigezo kuwa nchi isiwe nchi,..
Taifa la kisiwa cha Tuvalu kina watu kumi na moja elfu mia mbili. (11,200,),lakini bado ni taifa lenye kiti umoja mataifa..
Taifa la kisiwa cha Kiribati lina watu 119,446 tu,..
Sasa mnashanga nini Zanzibar yenye zaidi ya watu millioni moja laki tano(15000)..
Tatizo la Watanganyika hamfikiri kwa kutumia akili bali mnatumia maka...li....... na ndio maana mnaburuzwa buruzwa ..
Atarudi tena 2025 😅😅Anapiga filimbi kwao Nkasi saa hizi.
Yule jamaa akichangia ishu yoyote inayohusu Muungano wazenji wanaanza kufura😅😅😅Kessy alikua anafurahisha sana bungeni,hawataki kabisa hao wazenji,anasema wanatunyonya,anajenga hoja hadi inakua na mantiki,nimemmisi sana,2025 agombee arudi tena yule mwamba.
Akirudi itapendeza sana,yuko real sana yule mzee,anaongeaga kitu kutoka moyoni kabisa.Ngoja amalizie kuomboleza kifo cha jamaa yake JPM.Atarudi tena 2025 😅😅
Kinondoni kubwa ukilinganisha na Zanzibar, na watu ni wengi Kinondoni kuliko Zanzibar.Zenji ka kijiji kadogo sana..sikumoja tu unakamaliza...
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Nammiss sana yule Mheshimiwa ingawa Wazenj hawataki hata kulisikia jina lake, zanzibar unaweza kupiga filimbi na ngoma na waote wakakusanyika kwa muda mfupi hah hahAkirudi itapendeza sana,yuko real sana yule mzee,anaongeaga kitu kutoka moyoni kabisa.Ngoja amalizie kuomboleza kifo cha jamaa yake JPM.
Kalenga hapo tu mia 5Dar sio tu ni ndogo kiramani hata kwa kutembea na magulu ni ndogo mno!
Nakupa mfano kuna kijiji kinaitwa Kalenga mkoani Iringa watu wanatembea kwa miguu hadi mjini kila siku unaujua umbali wake?
Alikuwa sahihiDaaah! hii komenti ndo Kessy alikua anapenda kuzisema za namna hii!