Zanzibar ilivyo ndogo, Waziri anaweza kufanya ziara kwa Bodaboda na akawafikia wananchi

Zanzibar ilivyo ndogo, Waziri anaweza kufanya ziara kwa Bodaboda na akawafikia wananchi

Dar ni kubwa kama ni mchana kuna foleni, anza kutembea Dar saa nne usiku ndio utajua Dar ni ndogo sana, anza saa nne usiku inafika 11 alfajiri umemaliza maeneo yote muhimu unayoyajua.
Kwamba uanzie daraja la bunju au kiluvya hadi kisemvule au chanika?
 
Kwa hiyo lawama unawatupia Watanganyika badala ya hao wenyewe akina yakheee??
Lawama zote zinakwenda kwa akina yakhe wenye akili ya kitumwa "slavery mentality"..
Hata sisi huku bara wenyewe hatuwataki ni viongozi wameng'ang'ania [emoji1787]


Kawachukue ndugu zako kariakoo na kule kwanjeka tanga muondoke muone hio shoo yake jinsi mtakavyopigwa na umaskini maana nyie ni kupe bila sisi hamna lolote
Zanzibar ilikuwa Empire,hivi sasa imekuwa omba omba

Hakuna kisiwa masikini duniani,iachieni Zanzibar ijiamulie mambo yake wentewe uone itavyopiga hatua za kimaendeleo
 
Kwa hiyo lawama unawatupia Watanganyika badala ya hao wenyewe akina yakheee??
Lawana nawatupia wachumia tumbo wa Zanzibar,wanahiyari Zanzibar izame lakini matumbo yao yajae

Wameweka mbele maslahi ya chama kuliko nchi yao..

Wamejawa na propaganda za mwarabu atarudi,wanahiyari wazanzibari wote wafe lakini chama chao kitawale
 
Hata sisi huku bara wenyewe hatuwataki ni viongozi wameng'ang'ania [emoji1787]


Kawachukue ndugu zako kariakoo na kule kwanjeka tanga muondoke muone hio shoo yake jinsi mtakavyopigwa na umaskini maana nyie ni kupe bila sisi hamna lolote
Bila hao ndugu zangu Kariakoo Tanganyika mngelikuwa kizani,wamekuonyesheni na kukufundisheni Biashara,hivi sasa kila Mtanganyika anajua kwenda China..

Huku Zanzibar hivi sasa kuna makundi ya Watanganyika,wanakuja kuomba omba misikitini na kuuza karanga mitaani,mama nitilie vichochoroni..

Kuna tafauti kubwa ya Mzanzibari alioko Tanganyika,na Mtanganyika alieko Zanzibar
 
Mkuu jitahidini kumtumia Mama mjitoe na.muondoke wooote bara mkajazane kwenye tule tuvisiwa tunavyozidi kudidimia, najua una habari kuwa baadhi ya visiwa vya wavuvi vimeanza kupote, unajua inamaanisha nini?

Go ahead and depart, ushamsikia mbara wa kawaida anayelilia muungano zaidi ya viongozi ambao wanaendeshwa na.mzimu wa Nyerere kuhusu Muungano na Mwenge
Huyo mama ni mama yenu sio wetu,sisi tunamtaka raisi wa Zanzibar apige kura maoni ya Zanzibar kujitoa kwenye hili janga la Mungano..

Nimeshawahi kumsikia Lukuvi akiwa kanisani akieleza kwanini Tanganyika imeing'ang'ania Zanzibar..

Lukuvi ni mtu wajuu katika siasa za Tanzania,video zimezagaa kwenye mitandao kuhusu kauli yake hiyo aliyoitoa kanisani
 
Uchumi wa buluuu sijui hyo itafanya Kaz kweli

All in all jamaa amewahurumia sna hao jamaa kwa kudhibit mfumuko wa Bei ya bidhaa mnk mchele tu wangekula kilo elf 5 mmae

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Lawama zote zinakwenda kwa akina yakhe wenye akili ya kitumwa "slavery mentality"..
Zanzibar ilikuwa Empire,hivi sasa imekuwa omba omba

Hakuna kisiwa masikini duniani,iachieni Zanzibar ijiamulie mambo yake wentewe uone itavyopiga hatua za kimaendeleo
Lipeni kwanza deni la umeme..mana kwa umasikini ulivyo wazidi hadi umeme mnashindwa kulipa bili hadi msamehewe..mchanga kokoto mnachimba Tanganyika bure kabisa ninyi vi jamaa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Bila hao ndugu zangu Kariakoo Tanganyika mngelikuwa kizani,wamekuonyesheni na kukufundisheni Biashara,hivi sasa kila Mtanganyika anajua kwenda China..

Huku Zanzibar hivi sasa kuna makundi ya Watanganyika,wanakuja kuomba omba misikitini na kuuza karanga mitaani,mama nitilie vichochoroni..

Kuna tafauti kubwa ya Mzanzibari alioko Tanganyika,na Mtanganyika alieko Zanzibar
Huna lolote hakuna chochote mmetufundisha

Kwanza mmewaona ndugu zenu maisha wanayoishi kule kwanjeka tanga [emoji1787]



Ukweli ni kwamba hata sisi hatuwataki
Yaani kichwa chako kama ulikuwa unawaza sisi tunawang'ang'ania ondoa hilo

Wanaotaka hivyo ni viongozi wenu waambien maana wanataka kushibisha matumbo yao
 
Huna lolote hakuna chochote mmetufundisha

Kwanza mmewaona ndugu zenu maisha wanayoishi kule kwanjeka tanga [emoji1787]



Ukweli ni kwamba hata sisi hatuwataki
Yaani kichwa chako kama ulikuwa unawaza sisi tunawang'ang'ania ondoa hilo

Wanaotaka hivyo ni viongozi wenu waambien maana wanataka kushibisha matumbo yao
Tafuta video ya Lukuvi kwenye youtube,utapata jibu,kama mnatun'gan'gania ua venginevyo
 
Lipeni kwanza deni la umeme..mana kwa umasikini ulivyo wazidi hadi umeme mnashindwa kulipa bili hadi msamehewe..mchanga kokoto mnachimba Tanganyika bure kabisa ninyi vi jamaa.

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Turejesheeni pesa zetu,mlizofungulia Benk of Tanzania.

Tupeni mgao wetu kutoka katika serikali ya Mungano
 
Turejesheeni pesa zetu,mlizofungulia Benk of Tanzania.

Tupeni mgao wetu kutoka katika serikali ya Mungano
Mgao gani ninyi kupe..tuambieni mnachangia shilling ngapi kwenye bajeti ya muungano?...mnabebwa sana na ufukara wenu yetul mnazidi kutunyea..kweli kisicho ridhiki..tumewasaidia kumuondoa sultani je hizo gharama za mapinduzi mlitulipa.?

Mikopo inayokopwa na kupewa gawio huwa mnailipa vipi?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Mgao gani ninyi kupe..tuambieni mnachangia shilling ngapi kwenye bajeti ya muungano?...mnabebwa sana na ufukara wenu yetul mnazidi kutunyea..kweli kisicho ridhiki..tumewasaidia kumuondoa sultani je hizo gharama za mapinduzi mlitulipa.?

Mikopo inayokopwa na kupewa gawio huwa mnailipa vipi?

#MaendeleoHayanaChama

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
East Africa federation ilipokufa pesa zote mmechuka Watanganyika,katika hizo pesa ulikuwemo mgao wa Zanzibar,rejesheni

Huku Zanzibar TRA inakusanya kodi ya Tanzania,waondoke basi kodi ibaki Zanzibar
 
Halafu anasema watu wanafikiria kwa kutumia makali0
Ukosefu wa zero sio issue,kweli mnafikiri kwa kutumia ma..ta..

binaadamu anae tumia akili hawezi kusema kuwa nchi sio nchi kutokana na ukubwa wa Ardhi
na wingi wa watu

Kisiwa cha Kiribati kina watu laki moja (100,000) lakini ni nchi yenye kiti UN
 
Huyo mama ni mama yenu sio wetu,sisi tunamtaka raisi wa Zanzibar apige kura maoni ya Zanzibar kujitoa kwenye hili janga la Mungano..

Nimeshawahi kumsikia Lukuvi akiwa kanisani akieleza kwanini Tanganyika imeing'ang'ania Zanzibar..

Lukuvi ni mtu wajuu katika siasa za Tanzania,video zimezagaa kwenye mitandao kuhusu kauli yake hiyo aliyoitoa kanisani
Mkuu hizo kura za maoni huko haziwezi kuwatoa kama zitaitishwa na Mwinyi maana yeye anauwezo wa kuamua mambo ya ndani tu na sio Muungano, Mh. Samia ndio anaweza kuitisha kura ya nchi nzima ili kuamua hilo
 
Mkuu hizo kura za maoni huko haziwezi kuwatoa kama zitaitishwa na Mwinyi maana yeye anauwezo wa kuamua mambo ya ndani tu na sio Muungano, Mh. Samia ndio anaweza kuitisha kura ya nchi nzima ili kuamua hilo
Katiba ya Zanzibar inaruhusu kura za maoni kuhusu jambo lolote lile
 
Back
Top Bottom