EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kwani anayeamua zenji kujitoa ni zenji pekee? si mngeshajitoa zamani sanaKatiba ya Zanzibar inaruhusu kura za maoni kuhusu jambo lolote lile
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani anayeamua zenji kujitoa ni zenji pekee? si mngeshajitoa zamani sanaKatiba ya Zanzibar inaruhusu kura za maoni kuhusu jambo lolote lile
Sasa Unguja ndio saizi ya dar, halafu kuna Pemba, hivyo Zanzibar ni ndogo ukilinganisha na bara ila sio kisiwa kidogo kihiivyo kama watu wanavyodhaniaDar ni kubwa kama ni mchana kuna foleni, anza kutembea Dar saa nne usiku ndio utajua Dar ni ndogo sana, anza saa nne usiku inafika 11 alfajiri umemaliza maeneo yote muhimu unayoyajua.
Ally kessy alijua kuwashushua wale jamaa kinoma.Kessy alikua anafurahisha sana bungeni,hawataki kabisa hao wazenji,anasema wanatunyonya,anajenga hoja hadi inakua na mantiki,nimemmisi sana,2025 agombee arudi tena yule mwamba.
Tutamkaribisha tu na akigombea uraisi ndiyo tutafurahi maana ataitema Zenji siku ya pili baada ya kuapishwa.Atarudi tena 2025 😅😅