Zanzibar inahitaji chama kingine kushinda Uchaguzi

Zanzibar inahitaji chama kingine kushinda Uchaguzi

Mwingereza

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2014
Posts
1,115
Reaction score
2,771
Kutokana na matendo na Mkanyanganyiko wa viongozi wake, ACT-Wazalendo imeshaonekana kama chama mamluki. Kutokana na imani ya Wazanzibari, haiwezekani kukiunga mkono trna ACT.

Zitto Kabwe hivi karibuni alitamka kwenye vyombo vya habari kwamba ACT inahitaji Tume Huru na siyo Katiba mpya. Hapa Zanzibar tumechukizwa sana na haya maneno na hatuoni ACT au CCM B kutuvusha kushika dola. Maoni yangu ninchama kipya tutakachokiamini na siyo ACT
 
Habari njema. Uko tayari, kitaungwa mkono?

Uko tayari kugharamia na kuwa sehemu ya wanachama 500 waanzilishi?!?! Tutaftane mambo yako moto huku bara kupata mbadala wa ACT
 
Kutokana na matendo na Mkanyanganyiko wa viongozi wake, ACT-Wazalendo imeshaonekana kama chama mamluki. Kutokana na imani ya Wazanzibari, haiwezekani kukiunga mkono trna ACT.

Zitto Kabwe hivi karibuni alitamka kwenye vyombo vya habari kwamba ACT inahitaji Tume Huru na siyo Katiba mpya. Hapa Zanzibar tumechukizwa sana na haya maneno na hatuoni ACT au CCM B kutuvusha kushika dola. Maoni yangu ninchama kipya tutakachokiamini na siyo ACT
Uchaguzi huwa ni chama, au sera za chama ndizo zinashawishi watu wakipigie chama kura za ushindi. Kama ni suala la chama, tuna utitiri wa vyama nchi hii hadi basi, zaidi ya vyama 22. Nchi kama Marekani, Uingereza, Ufaransa n.k. wana vyama vingapi?
 
Kutokana na matendo na Mkanyanganyiko wa viongozi wake, ACT-Wazalendo imeshaonekana kama chama mamluki. Kutokana na imani ya Wazanzibari, haiwezekani kukiunga mkono trna ACT.

Zitto Kabwe hivi karibuni alitamka kwenye vyombo vya habari kwamba ACT inahitaji Tume Huru na siyo Katiba mpya. Hapa Zanzibar tumechukizwa sana na haya maneno na hatuoni ACT au CCM B kutuvusha kushika dola. Maoni yangu ninchama kipya tutakachokiamini na siyo ACT
CDM forever[emoji7]!
 
Uchaguzi huwa ni chama, au sera za chama ndizo zinashawishi watu wakipigie chama kura za ushindi. Kama ni suala la chama, tuna utitiri wa vyama nchi hii hadi basi, zaidi ya vyama 22. Nchi kama Marekani, Uingereza, Ufaransa n.k. wana vyama vingapi?
Ni kweli. Vyama vipo nani vingi.

Sera zinafanana. Itikadi tofauti.

Lkn kuna chama kipya kinahitajika nchi.

Hadi sasa vyama vipo viwili vikuu kama ilivyo marekani na uingereza.

1. Ccm
2. cdm

Vyama vikivyobvikivyobaki ni chawa wa ccm kwa sera, itikadi nk.

Tz inahitaji chama chawa au mshirika wa cdm.

Kwass cdm imefika ktk pick. Uwezo Mbowe ni mkubwa na hakuna wa kumfananisha ktk wanasiasa wa sasa.

Lkn cdm viongozi wa cdm wanoheshimika wamejaa kanda ya kaskazini ni nyanda za juu kusini pekee.

Kanda nyengine kama ya pwani iliihitaji cdm lkn cdm inaogopa kupoteza wafuasi kwa kasumba zile za ubaguzi wa kikoloni.

Kwa hiyo kwasasa kanda ya pwani ni ngome ya ccm na chawa wake.

Tukiangali mgawanyo wa kiitikadi utagundua CCM ni mchanganyiko wa Walei na Wajamaa wasio na dini. Ingawa ukisikia majina yao unaweza kudhani wana dini.

Cdm imejaa waprotestant (wachungaji na watumishi)

Kwa hiyo tutagundua kuna ombwe. Kinahitajika chama kipya cha ngangari plus.

Sio hii iliyopoteza heshima.

Hivyo kuna haja ya kuanzisha chama kitakachojaa maimam na maustadh. Soko la chama hicho liko znz na eneo zima la pwani ya tz
 
Kutokana na matendo na Mkanyanganyiko wa viongozi wake, ACT-Wazalendo imeshaonekana kama chama mamluki. Kutokana na imani ya Wazanzibari, haiwezekani kukiunga mkono trna ACT.

Zitto Kabwe hivi karibuni alitamka kwenye vyombo vya habari kwamba ACT inahitaji Tume Huru na siyo Katiba mpya. Hapa Zanzibar tumechukizwa sana na haya maneno na hatuoni ACT au CCM B kutuvusha kushika dola. Maoni yangu ninchama kipya tutakachokiamini na siyo ACT
Wazanzibari hawasemi uongo we upo Zanzibar ipi yenye kuruhusu uongo?

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
 
Kutokana na matendo na Mkanyanganyiko wa viongozi wake, ACT-Wazalendo imeshaonekana kama chama mamluki. Kutokana na imani ya Wazanzibari, haiwezekani kukiunga mkono trna ACT.

Zitto Kabwe hivi karibuni alitamka kwenye vyombo vya habari kwamba ACT inahitaji Tume Huru na siyo Katiba mpya. Hapa Zanzibar tumechukizwa sana na haya maneno na hatuoni ACT au CCM B kutuvusha kushika dola. Maoni yangu ninchama kipya tutakachokiamini na siyo ACT
Habari njema. Uko tayari, kitaungwa mkono?

Uko tayari kugharamia na kuwa sehemu ya wanachama 500 waanzilishi?!?! Tutaftane mambo yako moto huku bara kupata mbadala wa ACT

Hivi nyinyi mupo serious au ndio munafurahisha baraza baada ya kushiba uji?

Kwa kweli ACT inahitaji serious thereat ili kikae sawa au kama watazidi kuwa wakaidi basi waangushwe kabisa, Ila nashindwa kuona pakuanzia.

Kwa upande wa CHADEMA wame completely failed kuwa overtake ACT kwenye maeneo ambayo yalikua strong base za CUF miaka ya nyuma. Licha ya kuwa ACT wapo very weak lakini Chadema wameshindwa kabisa kuwaangusha.
 
Hivi nyinyi mupo serious au ndio munafurahisha baraza baada ya kushiba uji?

Kwa kweli ACT inahitaji serious thereat ili kikae sawa au kama watazidi kuwa wakaidi basi waangushwe kabisa, Ila nashindwa kuona pakuanzia.

Kwa upande wa CHADEMA wame completely failed kuwa overtake ACT kwenye maeneo ambayo yalikua strong base za CUF miaka ya nyuma. Licha ya kuwa ACT wapo very weak lakini Chadema wameshindwa kabisa kuwaangusha.
Nikweli tatizo la act ni zito tu nashangaa watu shupavu kama wakina Jussa,mazrui nk wanamlea zito why?
 
Ni kweli. Vyama vipo nani vingi.

Sera zinafanana. Itikadi tofauti.

Lkn kuna chama kipya kinahitajika nchi.

Hadi sasa vyama vipo viwili vikuu kama ilivyo marekani na uingereza.

1. Ccm
2. cdm

Vyama vikivyobvikivyobaki ni chawa wa ccm kwa sera, itikadi nk.

Tz inahitaji chama chawa au mshirika wa cdm.

Kwass cdm imefika ktk pick. Uwezo Mbowe ni mkubwa na hakuna wa kumfananisha ktk wanasiasa wa sasa.

Lkn cdm viongozi wa cdm wanoheshimika wamejaa kanda ya kaskazini ni nyanda za juu kusini pekee.

Kanda nyengine kama ya pwani iliihitaji cdm lkn cdm inaogopa kupoteza wafuasi kwa kasumba zile za ubaguzi wa kikoloni.

Kwa hiyo kwasasa kanda ya pwani ni ngome ya ccm na chawa wake.

Tukiangali mgawanyo wa kiitikadi utagundua CCM ni mchanganyiko wa Walei na Wajamaa wasio na dini. Ingawa ukisikia majina yao unaweza kudhani wana dini.

Cdm imejaa waprotestant (wachungaji na watumishi)

Kwa hiyo tutagundua kuna ombwe. Kinahitajika chama kipya cha ngangari plus.

Sio hii iliyopoteza heshima.

Hivyo kuna haja ya kuanzisha chama kitakachojaa maimam na maustadh. Soko la chama hicho liko znz na eneo zima la pwani ya tz
Mimi naamini cdm bado inanguvu kubwa sana..haihitaji chama kingine..kwakuwa hao wazenji hawawezi toboa tena chini ya act wala cuf..the only place ya kuingia ni cdm..mana ndio chama chenye nguvu upande wa bara.

Tofauti na hapo watasugua benchi...ama wajuinge ccm or cdm.

Hoja ya cdm kuwa na vyama chawa nayo ni hoja kubwa sana..mana ccm kinacho wapa nguvu ni hawa vyama chawa ambavyo vimejaa tele wala hata havijulikani ili ikitokea uchaguzi ama inshu inayoenda kuumiza maslahi ya ccm ndio vinatokea kharalisha upuuzi.



#MaendeleoHayanaChama
 
Nikweli tatizo la act ni zito tu nashangaa watu shupavu kama wakina Jussa,mazrui nk wanamlea zito why?
Hawamlei ila wanamtegemea kama nguvu ya ushawishi upande wa Tanganyika wakati..ki uhalisia act wazalendo bara haina nguvu tofauti na mkoa wa kigoma tu.

Bado nguvu na ushawishi wa cdm huwezi kuukwepa kwenye siasa za Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hawamlei ila wanamtegemea kama nguvu ya ushawishi upande wa Tanganyika wakati..ki uhalisia act wazalendo bara haina nguvu tofauti na mkoa wa kigoma tu.

Bado nguvu na ushawishi wa cdm huwezi kuukwepa kwenye siasa za Tanganyika.

#MaendeleoHayanaChama

Mkuu unajidangaya ACT ina nguvu Kusini, Lindi, Mtwara, na Pia Tanga, DSM, Pwani, hay maeneo ACT ina wafuasi wengi zaidi kuliko CHADEMA ama kwa uchache wanawiana kwa baadhi ya maeneo.
ILa hao wafuasi wote hawakutengenezwa na ZItto bali walikua ni wafuasi wa Maalim Seif aliotoka nao CUF
 
Mimi naamini cdm bado inanguvu kubwa sana..haihitaji chama kingine..kwakuwa hao wazenji hawawezi toboa tena chini ya act wala cuf..the only place ya kuingia ni cdm..mana ndio chama chenye nguvu upande wa bara.

Tofauti na hapo watasugua benchi...ama wajuinge ccm or cdm.

Hoja ya cdm kuwa na vyama chawa nayo ni hoja kubwa sana..mana ccm kinacho wapa nguvu ni hawa vyama chawa ambavyo vimejaa tele wala hata havijulikani ili ikitokea uchaguzi ama inshu inayoenda kuumiza maslahi ya ccm ndio vinatokea kharalisha upuuzi.



#MaendeleoHayanaChama

Mkuu usitegemee wa Zenj waingie CHADEMA kiwepesi, CHADEMA walitakiwa kuwashawishi ili waweze kuwa pamoja nao, kitu ambacho wameshindwa mpaka muda huu.
 
Nikweli tatizo la act ni zito tu nashangaa watu shupavu kama wakina Jussa,mazrui nk wanamlea zito why?

Tatizo hawana option nyengine, Wanahitaji strong personality wa mtu wa kukisimamia chama Bara na ndio Zitto akawa their Best Option. Walishindwa kuelewana na CHADEMA kwa sababu CHADEMA always wanataka wawe dominate kitu ambacho ni ngumu sana kwa wanasiasa wakubwa wa Zanzibar kukubali.
 
Uchaguzi huwa ni chama, au sera za chama ndizo zinashawishi watu wakipigie chama kura za ushindi. Kama ni suala la chama, tuna utitiri wa vyama nchi hii hadi basi, zaidi ya vyama 22. Nchi kama Marekani, Uingereza, Ufaransa n.k. wana vyama vingapi?
Hata mtu anaweza akawa mmoja wa sera kwani Malimu Seif kutoka cuf kwenda Act ni mfano
 
Hivi why Seif alijiunga na ACT badala ya Chadema? Hakuna mwenye za jikoni?Tuseme hawakujua kama hawa ni mamluki
 
Mkuu unajidangaya ACT ina nguvu Kusini, Lindi, Mtwara, na Pia Tanga, DSM, Pwani, hay maeneo ACT ina wafuasi wengi zaidi kuliko CHADEMA ama kwa uchache wanawiana kwa baadhi ya maeneo.
ILa hao wafuasi wote hawakutengenezwa na ZItto bali walikua ni wafuasi wa Maalim Seif aliotoka nao CUF
Mku anuatanga unaifuatilia vizuri ndo maana Act wanatakiwa kukijenga Chama
 
Mkuu unajidangaya ACT ina nguvu Kusini, Lindi, Mtwara, na Pia Tanga, DSM, Pwani, hay maeneo ACT ina wafuasi wengi zaidi kuliko CHADEMA ama kwa uchache wanawiana kwa baadhi ya maeneo.
ILa hao wafuasi wote hawakutengenezwa na ZItto bali walikua ni wafuasi wa Maalim Seif aliotoka nao CUF
Uko sawa kabisa..ila huo ni ukanda wa pwani tu ambao ni asilimia ndogo za kwa wapigakura kwa nchi nzima.
Tukija kwa zito Tanganyika hana ushawishi wa kisiasa hilo liko wazi kabisa..na wanachama wa ukanda wa pwani wametokana na marehemu maalimu kuhamia act so walimfuata maalimu sio zito au act hivyo hao kiuhalisi ni kama wanachama ambao wakipata sehemu sahihi watahamia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi nyinyi mupo serious au ndio munafurahisha baraza baada ya kushiba uji?

Kwa kweli ACT inahitaji serious thereat ili kikae sawa au kama watazidi kuwa wakaidi basi waangushwe kabisa, Ila nashindwa kuona pakuanzia.

Kwa upande wa CHADEMA wame completely failed kuwa overtake ACT kwenye maeneo ambayo yalikua strong base za CUF miaka ya nyuma. Licha ya kuwa ACT wapo very weak lakini Chadema wameshindwa kabisa kuwaangusha.

ACT walipata kura ngapi? Hata asilimia tano hawakufikisha. Unawezaje kuwafananisha na chadem?. ACT imejengwa na CUF na CHADEMA, Zitto na Maalim Seif.
 
Back
Top Bottom