Zanzibar inahitaji chama kingine kushinda Uchaguzi

Zanzibar inahitaji chama kingine kushinda Uchaguzi

Mkuu usitegemee wa Zenj waingie CHADEMA kiwepesi, CHADEMA walitakiwa kuwashawishi ili waweze kuwa pamoja nao, kitu ambacho wameshindwa mpaka muda huu.
Nadhani wazenji ndio wanapaswa waingie cdm kwakuwa ndio sehemu pekee katika vyama vya upinzani chenye nguvu bara..kuanzisha chama kipya inahitaji nguvu kubwa sana kukisimamisha na kupata wanachama hasa bara.

Hivyo kwangu mimi option waliyonayo wazenji ni either cdm or ccm..tofauti na hapo watakua wanajidanganya na kupoteza muda tu

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi why Seif alijiunga na ACT badala ya Chadema? Hakuna mwenye za jikoni?Tuseme hawakujua kama hawa ni mamluki

Mkuu tatizo la CHADEMA hawakuwa tayari kugawana madaraka, Maalim hakukubali kuingia kwenye ndoa ya kuburuzwa. Kwa mfano Zitto hana Mamlaka yoyote ya mambo yanayohusu Zanzibar, yeye ameachiwa Ashughulikie ya Bara.
 
Hivi why Seif alijiunga na ACT badala ya Chadema? Hakuna mwenye za jikoni?Tuseme hawakujua kama hawa ni mamluki
Mku Mbowe kuwepo ndani ktk issue ya Akulina ni mpango Seif asiingie kwenye mikono ya Mbowe kwani sio salama kwa wenye mpango.
Lakini kuwa Act kulikuwa salama kwa wenye mpango wao.
Hii niliisoma humu Jf kuna mdau alichambua vizuri sana humu
 
Mkuu usitegemee wa Zenj waingie CHADEMA kiwepesi, CHADEMA walitakiwa kuwashawishi ili waweze kuwa pamoja nao, kitu ambacho wameshindwa mpaka muda huu.

Sio wameshindwa ipo siku Mambo yatabadilika jipe muda.
 
Tatizo hawana option nyengine, Wanahitaji strong personality wa mtu wa kukisimamia chama Bara na ndio Zitto akawa their Best Option. Walishindwa kuelewana na CHADEMA kwa sababu CHADEMA always wanataka wawe dominate kitu ambacho ni ngumu sana kwa wanasiasa wakubwa wa Zanzibar kukubali.
Still bado zito kawadominate mana ndio kiongozi wa chama yeye ndio ana cheti cha usajili wa chama probably na password za account za chama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hivi why Seif alijiunga na ACT badala ya Chadema? Hakuna mwenye za jikoni?Tuseme hawakujua kama hawa ni mamluki
Kuna hoja nzuri aliitoa aliyekua mbunge wa kilwa kaskazini kama sijakosea mh Suleiman bungala..alisema act bado ni chama kichanga hakijakomaa hivyo ni virahisi kukiweka sawa vile wanachama wanavyotaka..tofauti na vyama vikongwe ambavyo alivifananisha na samaki mkavu..huwezi kuvikunja.

#MaendeleoHayanaChama
 
Still bado zito kawadominate mana ndio kiongozi wa chama yeye ndio ana cheti cha usajili wa chama probably na password za account za chama.

#MaendeleoHayanaChama

Tatizo kuu nikuwa Zitto anafahamu kuwa mbwembwe zake zote zinatokana na Wapemba, Bila ya kukaa nao vizuri ataishia kurudi na chama cha Jimbo moja kama kilivyokua mwanzo.
 
Nadhani wazenji ndio wanapaswa waingie cdm kwakuwa ndio sehemu pekee katika vyama vya upinzani chenye nguvu bara..kuanzisha chama kipya inahitaji nguvu kubwa sana kukisimamisha na kupata wanachama hasa bara.

Hivyo kwangu mimi option waliyonayo wazenji ni either cdm or ccm..tofauti na hapo watakua wanajidanganya na kupoteza muda tu

#MaendeleoHayanaChama

Hilo ndio moja tatizo kuu la CHADEMA na wafuasi wake, ni kujiona wao ni greats na wengine wote wanahitaji kuwafuata wao bila yao wao kujikurubisha kwao.
 
Mkuu usitegemee wa Zenj waingie CHADEMA kiwepesi, CHADEMA walitakiwa kuwashawishi ili waweze kuwa pamoja nao, kitu ambacho wameshindwa mpaka muda huu.
Wazanzibari wameona wazi kabisa kuna tatizo na ACT. Soon chama kitambakia Zitto Nondo na Baba Levo
 
Ni kweli. Vyama vipo nani vingi.

Sera zinafanana. Itikadi tofauti.

Lkn kuna chama kipya kinahitajika nchi.

Hadi sasa vyama vipo viwili vikuu kama ilivyo marekani na uingereza.

1. Ccm
2. cdm

Vyama vikivyobvikivyobaki ni chawa wa ccm kwa sera, itikadi nk.

Tz inahitaji chama chawa au mshirika wa cdm.

Kwass cdm imefika ktk pick. Uwezo Mbowe ni mkubwa na hakuna wa kumfananisha ktk wanasiasa wa sasa.

Lkn cdm viongozi wa cdm wanoheshimika wamejaa kanda ya kaskazini ni nyanda za juu kusini pekee.

Kanda nyengine kama ya pwani iliihitaji cdm lkn cdm inaogopa kupoteza wafuasi kwa kasumba zile za ubaguzi wa kikoloni.

Kwa hiyo kwasasa kanda ya pwani ni ngome ya ccm na chawa wake.

Tukiangali mgawanyo wa kiitikadi utagundua CCM ni mchanganyiko wa Walei na Wajamaa wasio na dini. Ingawa ukisikia majina yao unaweza kudhani wana dini.

Cdm imejaa waprotestant (wachungaji na watumishi)

Kwa hiyo tutagundua kuna ombwe. Kinahitajika chama kipya cha ngangari plus.

Sio hii iliyopoteza heshima.

Hivyo kuna haja ya kuanzisha chama kitakachojaa maimam na maustadh. Soko la chama hicho liko znz na eneo zima la pwani ya tz
Kwa huu ujinga wa udini na ukabila uliouandika hapa, ni haki Zitto awauze maana akili hamna
 
Hilo ndio moja tatizo kuu la CHADEMA na wafuasi wake, ni kujiona wao ni greats na wengine wote wanahitaji kuwafuata wao bila yao wao kujikurubisha kwao.
Hii inaitwa kupisha mwenye nguvu apite...uliona marekani anakuja tz kuomba msaada au mtz ndio anaenda kwa mmarekani.

#MaendeleoHayanaChama
 
Wazanzibar kwa zitto mmeliwa! Ukiona mtu cdm wanamtilia Shaka fikiria Mara mbili. Najua nao wanamadhaifu yao Kama wanadamu. Lkn wapi vizuri kuliko vyama vyote. Zito Kesha wauza kwa CCM muda, wapemba mmetoa macho tuu.
 
Wanzanzibar kujiunga na ACT was a marriage of convinience kuwezesha "CUF" kushiriki uchaguzi uliopita. Ndoa hii inaweza kuvunjika muda wowote.
 
Hivi nyinyi mupo serious au ndio munafurahisha baraza baada ya kushiba uji?

Kwa kweli ACT inahitaji serious thereat ili kikae sawa au kama watazidi kuwa wakaidi basi waangushwe kabisa, Ila nashindwa kuona pakuanzia.

Kwa upande wa CHADEMA wame completely failed kuwa overtake ACT kwenye maeneo ambayo yalikua strong base za CUF miaka ya nyuma. Licha ya kuwa ACT wapo very weak lakini Chadema wameshindwa kabisa kuwaangusha.
Chadema una walinganisha na Act you can't be serious! !..
 
Back
Top Bottom