Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Sasa huyo Yesu na uislam na misikiti na alianza kuja duniani?Msikie Antony lusekelo
Msikilize Sheikh hapa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huyo Yesu na uislam na misikiti na alianza kuja duniani?Msikie Antony lusekelo
Msikilize Sheikh hapa
Kwani ajira huwa zinatolewa bila kuwa na sifa husika ya taaluma? Usomee ualimu halafu ukapewe Dr wa upasuaji?Waislam walikuwa wanateswa sana kipindi cha Magufuli kuanzia Ajira na vitu kibao. Zamu yao sasa, siku nyingine tujifunze kubalance.
Kwani yeye ndiye aliwaweka ndani uhamsho?Nyie watu mbona wasahaulifu hivyo? wakati mungu wenu jiwe anapigiwa kelele awatoe uamsho mlisema sio yeye aliyewafunga jela haya tuambieni ni nani aliwatia ndani uamsho?
Acha uongo weweHuez kijenga nyumba ya ibada mahala popote unapojisikia,dini ya islam ilikuja miaka mingi mbele ya dini mnayoita ukristo ingekuwa inaogopa competition isingezaliwa,tumia akili ktk kufikiri!!
Sasa huyo anamlaumu vipi hayati?wakati sijui ni elimu au ufahamu hauendani na wakati au sijui tuite nini!Kikwete
Kwanini wasinshtaki badala ya kuchukua sheria mkononi? Mbona sheria inayozuia kelele kwenye makazi ipo.Niliiona jana hii habari, sema Wahusika wametulia kwa sababu wanajua walichokuwa wakifanya sio sahihi
Huwezi ukaejenga makanisa na kwenye makazi ya watu na kuwapigia kelele usiku kucha kwa miujiza ya kitapeli
Zanzibar hawapendi ujinga
Ujerumani ya kwenye play station au Ujerumani ipi hiyo?Una uhakika gani watakua wamebomoa waislamu!!! Ujerumani makanisa yanabomolewa inajengwa misikiti, so watu washaona ukweli na kuhamia upande wa pili.
Naheshimu sana imani ya wengine, lakini linapokuja suala la kulalamikiwa misikiti, misikiti ya Mwenyezi Mungu mara adhana, aisee hatutaelewana mzee.
Viongozi waliopita wa kikafiri kama wangelikuwa na jeuri ya kuzuia adhana wangekipata cha [emoji91][emoji91][emoji91] lakini jeuri hiyo hawana.
Hawana uislam wowote,Kwanini wasinshtaki badala ya kuchukua sheria mkononi? Mbona sheria inayozuia kelele kwenye makazi ipo.
Zanzibar na uislamu wao iko siku.
hao watu sitowasikikiza
nipe kifungu cha biblia ambacho kinasema YESU alikuwa kanisani
Kwako wewe ukristo ni ujinga?Niliiona jana hii habari, sema Wahusika wametulia kwa sababu wanajua walichokuwa wakifanya sio sahihi
Huwezi ukaejenga makanisa na kwenye makazi ya watu na kuwapigia kelele usiku kucha kwa miujiza ya kitapeli
Zanzibar hawapendi ujinga
Dini zingine hazina tofauti na Ke aliyeumbwa baada ya Adam na kutaka kujitutumua kuwa sawa na Adam kwa ujinga wa haki sawa za 50 kwa 50. Sasa dini ilikuwepo zaidi ya miaka 600 huko, afu unakuja upumbavu kuwa huwezijenga kanisa kwenye eneo la dini flani, inamaana Wakristo wasingeruhusu uhuru wa dini zingine si ingekuwa dini ya Kikristo pekee inayoabudiwa duniani kote?Huez kijenga nyumba ya ibada mahala popote unapojisikia,dini ya islam ilikuja miaka mingi mbele ya dini mnayoita ukristo ingekuwa inaogopa competition isingezaliwa,tumia akili ktk kufikiri!!
Ujerumani ya kwenye play station au Ujerumani ipi hiyo?
Hayo majamaa mapumbavu sana, yanashindwa kuelewa tafsiri za maneno ya kiswahili kwa zama hizo yalikuwa yanatungwa na Waarabu ndiyomaana Kanisa liliitwa Sinagogi sababu bado kiswahili kilikuwa hakijakua ktk ubora wake sawa na zama hizi?Ndiyo yaliokuwapo kipindi hicho, tafuta maana SINAGOGI, na kanisa lilikuwa bado kuanza
Habari za uongo Tu.Kuhusu kuvunja kanisa siafiki kabisa sio jambo la kiungwana na ni kinyume na sheria za nchi, lakini pia ichunguzwe sababu maana kupigia watu kelele sio jambo la kistaarabu, kama aliefikwa na jambo hili alikuwa anawapigia watu kelele usiku kucha kama baadhi ya makanisa huko bara sio jambo zuri
Utazani Wakristo hawana kazi zakufanya? Itakuwa maombi yanawaunguza [emoji3][emoji3]Habari za uongo Tu.
Hakuna kanisa linapiga Kelele usiku kucha.
Wazanzibar ni wabaguzi wa dini na utaifa.
Yaani mtu akuzidi miaka 590 halafu mtu anajimwambafy sie tulitangulia daa wakati unajiuliza naongea na mtu au picha ya mtu! Na hapo baada ya kafariki ikapita miaka 557 useme tulitangulia kama si ku copy na ku paste!Hayo majamaa mapumbavu sana, yanashindwa kuelewa tafsiri za maneno ya kiswahili kwa zama hizo yalikuwa yanatungwa na Waarabu ndiyomaana Kanisa liliitwa Sinagogi sababu bado kiswahili kilikuwa hakijakua ktk ubora wake sawa na zama hizi?
Mawatu mengine bhana ni tabu tupu kujitambua yakishakaririshwa ujinga wa hadithi za vijiweni.
Wewe sio mkristo..wewe ni moja ya wapumbafu..acha injili ihubiriwe mpepo na mshetwani yawatoke..unafiki tu ndio ulowajaa.Mm Ni mkiristo sioni sababu huyo mtumishi kwenda kufanya ujenzi ktk maeneo ya wanao ishi waislmu yaani unakwenda uarabuni kufungua kanisa hapan aise. usijaribu Imani za watu haondoke Hapo kbsa Tena ashukuru ajapigwa kipigo kikali mnk hvyo yey ndie mchokozi ..watu wasitafute usaw wa kidini hapa
Kenya umewahi sikia muslami kaw rais au hata kiongoz mkuu hkn hvyo vitu sas na huku iwe Hvyo uwez kwenda kufanya ibada Zanzibar Tena siku hz wamestarabika zamani waliwamwagia tindikali .....
Umesoma nilichokiquote? Au ndio mkurupuko!Kwani yeye ndiye aliwaweka ndani uhamsho?