Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

Kwanini wasijenge vinu vya nyukilia kwa ajili ya kufua umeme....huu umeme wa kutoka bara ambao kuulipia hadi wapigiwe magoti siku ukikatwa!
Zanzibar wanao mpango wa kujenga off shore wind farms kuzalisha umeme. Siku siyo nyingi Zanzibar itauza umeme Tanganyika.
 
Wanajenga baharini kabisa au ufukweni/pembezoni mwa baharini?
 
Hivi wameshaanza kuzungusha mabati kwa ajili ya ujenzi?
 
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70.

Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower na likitarajiwa kukamilika kwenye kipindi cha miaka minne na kutengewa dola za kimarekani, bilioni 1.3. Jengo litajengwa kwenye bahari kwa kutanguliwa na zoezi la kuweka mchanga(land reclamation).

Upande wa Serikali wamesema wameshamaliza majukumu yao na limebaki jukumu la muwekezaji kufanikisha mradi.


===========
Zanzibar to build Africa’s 2nd tallest skyscraper and largest hotel in East and Central Africa

Aug 24, 2021 12:00 PM

Zanzibar,

Zanzibar has secured massive investment in a commercial tower that will completely change the face of the semi-autonomous Indian Ocean archipelago.

The project developer, a joint venture of Tanzanian’ AICL Group and Edinburgh Crowland Management Ltd, yesterday signed a contract with New York and Dubai-based design architect company xCassia that will see the latter come up with architectural designs for what will be the largest hotel in East and Central Africa.

When completed, the 70-floor commercial tower will be the tallest skyscraper in East and Central Africa, and second tallest in Africa, behind Egypt’s The Iconic Tower.

Speaking during the signing ceremony, CEO of Crowland Management Ltd Dr Emmanuel Umoh said one of the objectives for the construction of the massive building was to support Zanzibar in the quest to build a strong blue economy.

“The building which will be called Zanzibar Domino Commercial Tower is expected to be one of the international iconic features, facilitating tourism, culture, and business opportunities,” he said.

The construction of the said project is expected to be in phases, to be undertaken in a period of four years, providing employment opportunities to locals.

Zanzibar’s minister of State, President's Office, Economy and Investment, Mudrik Ramadhan Soraga said the project is a big step toward building a blue economy and the government is inviting more local and foreign investors to the isle.

Founder and design director of xCassia, Mr Jean-Paul Cassia said the idea to construct the project has been a long one, it has taken nearly 15 years of discussions, environmental assessments, budgeting and accessing infrastructure.

Linked by a high and low bridge structure, the development is planned over three key sites: the Arrivals Plaza, Zanzibar Domino, and Island Resort, each with distinct identities and uses the guest experience pathway in a seamless curated journey from arrival to destination.
Mbona picha ni ya Domino Tower Saudi Arabia?
 
hiyo naona kama ilikua ni kiki tu, Mwinyi amekabwa koo na Ismail Jussa hana hata pakupumilia kwa sasa.
Kabanwa vipi?.
Unajua baada ya kifo cha Seif kwa siasa za Zanzibar bado hajapatikana mbabe mwingine wa vita za hapa?.

Huyo Ismail unayemsema ana nini cha kumshtua Dr, ambaye kwa sasa anapambana kuijenga Zanzibar, japo watu wanamchukia chini kwa chini kwa sababu ya kubana mianya yote ya upigaji na kuijenga Zanzibar ila Dr anachapa mwendo wewe, ahahaaa...

Late Magu alisema, msipomchagua huyu mtajuta...
 
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70.

Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower na likitarajiwa kukamilika kwenye kipindi cha miaka minne na kutengewa dola za kimarekani, bilioni 1.3. Jengo litajengwa kwenye bahari kwa kutanguliwa na zoezi la kuweka mchanga(land reclamation).

Upande wa Serikali wamesema wameshamaliza majukumu yao na limebaki jukumu la muwekezaji kufanikisha mradi.


===========
Zanzibar to build Africa’s 2nd tallest skyscraper and largest hotel in East and Central Africa

Aug 24, 2021 12:00 PM

Zanzibar,

Zanzibar has secured massive investment in a commercial tower that will completely change the face of the semi-autonomous Indian Ocean archipelago.

The project developer, a joint venture of Tanzanian’ AICL Group and Edinburgh Crowland Management Ltd, yesterday signed a contract with New York and Dubai-based design architect company xCassia that will see the latter come up with architectural designs for what will be the largest hotel in East and Central Africa.

When completed, the 70-floor commercial tower will be the tallest skyscraper in East and Central Africa, and second tallest in Africa, behind Egypt’s The Iconic Tower.

Speaking during the signing ceremony, CEO of Crowland Management Ltd Dr Emmanuel Umoh said one of the objectives for the construction of the massive building was to support Zanzibar in the quest to build a strong blue economy.

“The building which will be called Zanzibar Domino Commercial Tower is expected to be one of the international iconic features, facilitating tourism, culture, and business opportunities,” he said.

The construction of the said project is expected to be in phases, to be undertaken in a period of four years, providing employment opportunities to locals.

Zanzibar’s minister of State, President's Office, Economy and Investment, Mudrik Ramadhan Soraga said the project is a big step toward building a blue economy and the government is inviting more local and foreign investors to the isle.

Founder and design director of xCassia, Mr Jean-Paul Cassia said the idea to construct the project has been a long one, it has taken nearly 15 years of discussions, environmental assessments, budgeting and accessing infrastructure.

Linked by a high and low bridge structure, the development is planned over three key sites: the Arrivals Plaza, Zanzibar Domino, and Island Resort, each with distinct identities and uses the guest experience pathway in a seamless curated journey from arrival to destination.
Heti hilo jengo atalijenga samia nikweli?
 

Zanzibar to build Africa’s 2nd tallest skyscraper and largest hotel in East and Central Africa

Zanzibar. Zanzibar has secured massive investment in a commercial tower that will completely change the face of the semi-autonomous Indian Ocean archipelago. When completed, the 70-floor commercial tower will be the tallest skyscraper in East and Central Africa, and second tallest in Africa, behind Egypt’s The Iconic Tower.

Sijui, akili bado timamu? Ghorofa 70 Zanzibar? Basi wakitaka kuua uchumi wa utalii, waongeze ghorofa!
Nani anatumia pesa yake kuona ghorofa 70 Zanzibar? Anayetaka kuona ghorofa, ataenda Dubai au Shanghai. (angalau hataogopa kuingia kwenye lifti pale).

Mtu anayependa kuona mji wa kihistoria mwenye majengo ya pekee ataenda tena Zanzibar ?? Kama uso wake umechafuliwa na ghorofa sawa na zile zinazopatikana mahali pengi dunia?
Kwani majengo ya kale yanavunjwa?
 
Back
Top Bottom