Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

1629884735653.png

Nimefurahia hii confidence ya Rais Mwinyi wa Zanzibar .
Hii vision ni kama ile ya Dubai, na italeta watalii wengi sana Zanzibar.

Hii vision ndio tunataka hata sisi huku Bara.
Sasa huku kwetu watu wale watu wa mwendazake wanamconfuse mama.
 
Si
View attachment 1907533
Nimefurahia hii confidence ya Rais Mwinyi wa Zanzibar .
Hii vision ni kama ile ya Dubai, na italeta watalii wengi sana Zanzibar.

Hii vision ndio tunataka hata sisi huku Bara.
Mlimpinga magufuli nyinyi kwa haya Mambo??

Hata hivyo Hilo Jambo ni swala la muda tuu kwani marehemu maalimu alishalizungumzia kulifanya endapo angepata ridhaa hivyo ni mkakati wa mabeberu
 
Mwenzake huku anapambana kujenda ghorofa ya Tozo.
Hapana tozo Zetu zinaenda huko zenj kuwajenga.
Unit ya umeme iko chini kwao na huwa wanasamehewa Deni la umeme pia.

Meli zigawanywe sawa kwani kwa idadi ya watu wanalingana.

Hela ya Uhuru party igawanywe sawa yaani tunaaacheki.
Wake wawili wanapewa sawa na ilhali na watt wao ratio ni 1/1000000000
 
Fikra za 47yrs back

Kama Hotel verde wanazalisha maji kwa matumizi yao kutokana na ocean water unafikilia nini kuhusu mchanga?.
Hebu tusaidie mchanga watauzalishaje?
 
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70.

Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower na likitarajiwa kukamilika kwenye kipindi cha miaka minne na kutengewa dola za kimarekani, bilioni 1.3. Jengo litajengwa kwenye bahari kwa kutanguliwa na zoezi la kuweka mchanga(land reclamation).

Upande wa Serikali wamesema wameshamaliza majukumu yao na limebaki jukumu la muwekezaji kufanisha mradi.


===========
Zanzibar to build Africa’s 2nd tallest skyscraper and largest hotel in East and Central Africa

Aug 24, 2021 12:00 PM

Zanzibar,

Zanzibar has secured massive investment in a commercial tower that will completely change the face of the semi-autonomous Indian Ocean archipelago.

The project developer, a joint venture of Tanzanian’ AICL Group and Edinburgh Crowland Management Ltd, yesterday signed a contract with New York and Dubai-based design architect company xCassia that will see the latter come up with architectural designs for what will be the largest hotel in East and Central Africa.

When completed, the 70-floor commercial tower will be the tallest skyscraper in East and Central Africa, and second tallest in Africa, behind Egypt’s The Iconic Tower.

Speaking during the signing ceremony, CEO of Crowland Management Ltd Dr Emmanuel Umoh said one of the objectives for the construction of the massive building was to support Zanzibar in the quest to build a strong blue economy.

“The building which will be called Zanzibar Domino Commercial Tower is expected to be one of the international iconic features, facilitating tourism, culture, and business opportunities,” he said.

The construction of the said project is expected to be in phases, to be undertaken in a period of four years, providing employment opportunities to locals.

Zanzibar’s minister of State, President's Office, Economy and Investment, Mudrik Ramadhan Soraga said the project is a big step toward building a blue economy and the government is inviting more local and foreign investors to the isle.

Founder and design director of xCassia, Mr Jean-Paul Cassia said the idea to construct the project has been a long one, it has taken nearly 15 years of discussions, environmental assessments, budgeting and accessing infrastructure.

Linked by a high and low bridge structure, the development is planned over three key sites: the Arrivals Plaza, Zanzibar Domino, and Island Resort, each with distinct identities and uses the guest experience pathway in a seamless curated journey from arrival to destination.
Angekuwepo, lingejengwa bara
 
Wao wamesema Africa’s 2nd tallest skyscraper we unasema jengo refu kuliko yote ukanda wa Africa vp umekuwaje?
Kenya tayari wanaanza ujenzi wa jengo lenye ghorofa 88 la Zanzibar 70
Usifurahie kupost tu jiridhishe kwanza kabla hujalisha watu vitu ambavyo unageuka kuwa kituko kisa umepost tu
 
mambo mengne n kujitafutia mabalaa tuu ndani ya bahari?? Ina maana nchi kavu hawakuon??🤣😇😋
 
Iwe tourist destination kama dubai au sio? Ndio maana jana walikuwa bize kusaini vipengele vya kuua muungano, daah
 
Ungejua kuandika usinge andika "hakili" ungeandika "akili"
Sasa kwanini unasema mimi naongopa? Hiyo picha nimeitengeneza mimi? Punguza ujuaji wa kifala.
 
Ungejua kuandika usinge andika "hakili" ungeandika "akili"
Sasa kwanini unasema mimi naongopa? Hiyo picha nimeitengeneza mimi? Punguza ujuaji wa kifala.
Matusi ya maandishi hayana madhara,yenye madhara ni yale ya kutamka kwa sauti.
 
View attachment 1907533
Nimefurahia hii confidence ya Rais Mwinyi wa Zanzibar .
Hii vision ni kama ile ya Dubai, na italeta watalii wengi sana Zanzibar.

Hii vision ndio tunataka hata sisi huku Bara.
Sasa huku kwetu watu wale watu wa mwendazake wanamconfuse mama.
Si mlisema amewaondoa wote na kwamba sasa hivi anashauliwa na chikwete!

Au mmesahau?
 
Kwanini wasijenge vinu vya nyukilia kwa ajili ya kufua umeme....huu umeme wa kutoka bara ambao kuulipia hadi wapigiwe magoti siku ukikatwa!
 
Back
Top Bottom