Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

Zanzibar kujenga jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati, kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye kanda

Naomba kuwapongeza na kuwatakia yaliyo mema katika utekelezaji wa mradi huo.
Watanzania wote tungekuwa na kauli za kutiana moyo kama hii mbona hata fukara angejiisi binadamu,lakini wapi chuki chuki chuki kutatishans tamaa ndio kazi yetu kubwa[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji3581][emoji3581]
 
Majengo mengi hayajengewi mchanga yanatumia vyuma zaidi steel structures sio matofali na mchanga
Umesema kweli hapa nipo mwenge kalibu na mawasiliano kuna jengo lefu nadhani ndilo lefu kinondoni nzima mchanga umetumika chini tu kwenda juu chuma tu viooo [emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Hapana tozo Zetu zinaenda huko zenj kuwajenga.
Unit ya umeme iko chini kwao na huwa wanasamehewa Deni la umeme pia.

Meli zigawanywe sawa kwani kwa idadi ya watu wanalingana.

Hela ya Uhuru party igawanywe sawa yaani tunaaacheki.
Wake wawili wanapewa sawa na ilhali na watt wao ratio ni 1/1000000000
Mavi yamekubana kitambo mwisho umeamua kuvua suruali na kunya hadharani
 
Hebu tusaidie mchanga watauzalishaje?
Hacha ushamba njooo hapa mwenge karibia na mawasiliano kuna jengo lefu ghorofa 34 njoo uone mchanga usivio kuwa na kazi kwenye ujenzi wa majengo ya kitajiri jengo lingine liko feri nenda kashangae mchanga unatumika sehemu chache sana hasa mwanzo
 
Angekuwepo, lingejengwa bara
Lingejengwa bara vipi kwa Magufuli alikuwa na akili kuliko wawekezaji kwanza alikuwa hawataki labda useme hivi lisinge jengwa,tajiri anayo akili zaidi ya rais
 
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70.

Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower na likitarajiwa kukamilika kwenye kipindi cha miaka minne na kutengewa dola za kimarekani, bilioni 1.3. Jengo litajengwa kwenye bahari kwa kutanguliwa na zoezi la kuweka mchanga(land reclamation).

Upande wa Serikali wamesema wameshamaliza majukumu yao na limebaki jukumu la muwekezaji kufanikisha mradi.


===========
Zanzibar to build Africa’s 2nd tallest skyscraper and largest hotel in East and Central Africa

Aug 24, 2021 12:00 PM

Zanzibar,

Zanzibar has secured massive investment in a commercial tower that will completely change the face of the semi-autonomous Indian Ocean archipelago.

The project developer, a joint venture of Tanzanian’ AICL Group and Edinburgh Crowland Management Ltd, yesterday signed a contract with New York and Dubai-based design architect company xCassia that will see the latter come up with architectural designs for what will be the largest hotel in East and Central Africa.

When completed, the 70-floor commercial tower will be the tallest skyscraper in East and Central Africa, and second tallest in Africa, behind Egypt’s The Iconic Tower.

Speaking during the signing ceremony, CEO of Crowland Management Ltd Dr Emmanuel Umoh said one of the objectives for the construction of the massive building was to support Zanzibar in the quest to build a strong blue economy.

“The building which will be called Zanzibar Domino Commercial Tower is expected to be one of the international iconic features, facilitating tourism, culture, and business opportunities,” he said.

The construction of the said project is expected to be in phases, to be undertaken in a period of four years, providing employment opportunities to locals.

Zanzibar’s minister of State, President's Office, Economy and Investment, Mudrik Ramadhan Soraga said the project is a big step toward building a blue economy and the government is inviting more local and foreign investors to the isle.

Founder and design director of xCassia, Mr Jean-Paul Cassia said the idea to construct the project has been a long one, it has taken nearly 15 years of discussions, environmental assessments, budgeting and accessing infrastructure.

Linked by a high and low bridge structure, the development is planned over three key sites: the Arrivals Plaza, Zanzibar Domino, and Island Resort, each with distinct identities and uses the guest experience pathway in a seamless curated journey from arrival to destination.
wapi tukalione
 
Ni jengo refu zaidi Afrika Mashariki na kati na linatarajiwa kubeba hoteli kubwa zaidi kwenye ukanda huu. Kampuni ya kitanzania ya AICL na Edinburgh Crowland wameingia makubaliano na msanifu wa majengo, xCassia kuja na jengo la ghorofa 70.

Jengo hilo litaitwa 'Zanzibar Domino Commercial Tower na likitarajiwa kukamilika kwenye kipindi cha miaka minne na kutengewa dola za kimarekani, bilioni 1.3. Jengo litajengwa kwenye bahari kwa kutanguliwa na zoezi la kuweka mchanga(land reclamation).

Upande wa Serikali wamesema wameshamaliza majukumu yao na limebaki jukumu la muwekezaji kufanikisha mradi.


===========
Zanzibar to build Africa’s 2nd tallest skyscraper and largest hotel in East and Central Africa

Aug 24, 2021 12:00 PM

Zanzibar,

Zanzibar has secured massive investment in a commercial tower that will completely change the face of the semi-autonomous Indian Ocean archipelago.

The project developer, a joint venture of Tanzanian’ AICL Group and Edinburgh Crowland Management Ltd, yesterday signed a contract with New York and Dubai-based design architect company xCassia that will see the latter come up with architectural designs for what will be the largest hotel in East and Central Africa.

When completed, the 70-floor commercial tower will be the tallest skyscraper in East and Central Africa, and second tallest in Africa, behind Egypt’s The Iconic Tower.

Speaking during the signing ceremony, CEO of Crowland Management Ltd Dr Emmanuel Umoh said one of the objectives for the construction of the massive building was to support Zanzibar in the quest to build a strong blue economy.

“The building which will be called Zanzibar Domino Commercial Tower is expected to be one of the international iconic features, facilitating tourism, culture, and business opportunities,” he said.

The construction of the said project is expected to be in phases, to be undertaken in a period of four years, providing employment opportunities to locals.

Zanzibar’s minister of State, President's Office, Economy and Investment, Mudrik Ramadhan Soraga said the project is a big step toward building a blue economy and the government is inviting more local and foreign investors to the isle.

Founder and design director of xCassia, Mr Jean-Paul Cassia said the idea to construct the project has been a long one, it has taken nearly 15 years of discussions, environmental assessments, budgeting and accessing infrastructure.

Linked by a high and low bridge structure, the development is planned over three key sites: the Arrivals Plaza, Zanzibar Domino, and Island Resort, each with distinct identities and uses the guest experience pathway in a seamless curated journey from arrival to destination.
Eti miaka kumi na tano ya planning and budget assessment.

Kumbe ni zawadi kwa mama kwa kusaini mkataba wa DP

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom