Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Kumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.

Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.
Mapinduzi yalikua ya mabeberu wakitumia vibaraka wao
 
Kwenye hiyo ziara, na John Okello naye alitakiwa kualikwa. Ni vile tu Idd Amini Dada alimtanguliza mbele ya haki.
Hii mifumo ya kimaisha na shule zenu inalemaza sana watu akili.
Just imagine, Okello ametoka huko Kijijini kwao, tena miaka hiyo, akaenda Kampala, akajifunza mambo kadhaa, akaamua kwenda Zanzibar akiwa na miaka 22 akaenda kuwasaidia kupambana na Sultan hadi kumuondoa. Akakabidhi madaraka kwa raia wa pale, then akafukuzwa.

Leo kijana gani katika umri huo anaweza akafanya hayo?

Ila Iddi Amin alikuwa mtu mzuri sema makosa yake yalikuwa ni 'deadly/grave'. Okello alitengwa na akateseka sana nchini Uganda kiasi cha kukosa hata hela ya kula, akalazimika kurudi kijijini. Iddi Amin alipoingia alimfuata Okello na kumuahidi uwaziri ili waiongoze Uganda, lakini Okello akachomoa, Iddi Amin hakukata tamaa, akamuahidi umakamo wa rais, lakini Okelleo akachomoa, akabembelezwa sana, akakubali kwa masharti apewe urais, Iddi Ammin ndiye awe Makamo...hapo ndiyo story ilipoanzia na kuishia
 
Hii mifumo ya kimaisha na shule zenu inalemaza sana watu akili.
Just imagine, Okello ametoka huko Kijijini kwao, tena miaka hiyo, akaenda Kampala, akajifunza mambo kadhaa, akaamua kwenda Zanzibar akiwa na miaka 25 au 26 akaenda kuwasaidia kupambana na Sultan hadi kumuondoa. Akakabidhi madaraka kwa raia wa pale, then akafukuzwa.
Leo kijana gani katika umri huo anaweza akafanya hayo.

Ila Iddi Amin alikuwa mtu mzuri sema makosa yake yalikuwa ni 'deadly/grave'. Okello alitengwa na akateseka sana nchini Uganda kiasi cha kukosa hata hela ya kula, akalazimika kurudi kijijini. Iddi Amin alipoingia alimfuata Okello na kumuahidi uwaziri ili waiongoze Uganda, lakini Okello akachomoa, Iddi Amin hakukata tamaa, akamuahidi umakamo wa rais, lakini Okelleo akachomoa, akabembelezwa sana, akakubali kwa masharti apewe urais, Iddi Ammin ndiye awe Makamo...hapo ndiyo story ilipoanzia na kuishia
Hapa unazungumzia Tito au John Okello?
 
Back
Top Bottom