Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Reign yake ni 1963 july hadi 1964 January nielimishe baya alilofanya mpaka kutakiwa kulipa fidia.
Atalipia kwa niaba ya aliowarithi kwa utawala wa kitumwa na kwa hiko kipindi cha nusu mwaka alichotawala.
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Walimwondoa kwa nguvu, yanahitajika maridhiano kurejesha umoja wa kitaifa na mahusiano na Oman. Lakini nafikiri kuna shinikizo la Oman hapo. Ila ni jambo la kihistoria sana.
 
Kuna ukweli wa hili?
Mwarabu ni huyo aliekuja miaka Mia kadhaa iliopita, akaoa mbantu, mwanae nae aoe mbantu, mjukuu aoe mbantu etc, baada ya miaka zaidi ya 100 unategemea upate nini?

Picha zipo sababu hawa
Sultan Ali bin Hamoud
Ali_ibn_Hamud_of_Zanzibar.jpeg

Ujana wake
images (66).jpeg

Wakati ni Sultan
Huyu ni mwanzoni mwa miaka ya 1900

Baada yake akaja sir Khalifa bin Haroub, huyu alikua Coronated Uingereza kama Sir.

images (67).jpeg
 
Lengo la kumrudisha Sultani ni nini? Yuko hai hadi leo hii kumbe? Akifika tu Zanzibar si wamkamate, sidhani kama watu wa Zanzibar watapendezwa na ujio wake hata kidogo, sbb wanajua madhila walioyopata sababu ya utawala wa Sultan..!! Ngoja tuone.
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Ni sawa tu....
 
Waingereza wameshatupa misaada ya mabilioni na scholarships, hiyo ni sehemu ya malipo ya madhambi yao.
Sultan naye alipie.
Waingereza ni part ya nchi hii? Usijishtukie wala siwaongelei hao maana Najua ukiwa taja tu wanaku trigger, naongelea Empire za Ki Africa, nani msafi haja fanya hio biashara?

Zamani hakukua na jela mkipigana vita anaepigwa ujue wanawake na jeshi Wanauzwa utumwani, machifu wote walikua na Watumwa.
 
Kumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.

Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.
Ni akina nani ndio waliohusika na yale Mapinduzi ??!
 
Kumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.

Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.
Mapinduzi yanafanywa yeye yupo dar na nyerere wanakunywa kajaw
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Tunamtaka Richard Turnbull Tanganyika ili tusameheane naye pia😒
 
Hapa unazungumzia Tito au John Okello?
Ni John.

Tito na John kuna kitu wanafanana.

John Okello alimpindua Sultan, akaongoza kwa muda mfupi sana, ndiye aliyeunda Baraza la Mapinduzi na kumteua Karume, then akamkabidhi Madaraka Karume. Karume alipokabidhiwa akamfukuza Johhn Zanzibar na kumtaka baada ya muda fulani awe ameondoka visiwani. Tangu hapo, hakupokelewa Tanganyika, wala Kenya hadi aliporudi kwao. Kabla ya umri wa miaka 20 alikuwa ameshazunguka nchi karibu zote za British East Afrika, aliingia Zanzibar akiwa na miaka 22.

Tito Okello alimpindua Milton Obotte, akaongoza kwa miei 6 tu akamuita Museven aja aongoze nchi, Museven alipochukua Madaraka akawa anamlia timing ili kum terminate Tito Okello, alipozipata hizo taarifa, akatorokea Kenya, akakaa huko kwa muda mrefu sana hadi Museveni alipomtangazia Amnesty ndipo jamaa akarudi Uganda na kufariki miaka mitatu baadaye akiwa na umri wa miaka 81.
 
Waingereza ni part ya nchi hii? Usijishtukie wala siwaongelei hao maana Najua ukiwa taja tu wanaku trigger, naongelea Empire za Ki Africa, nani msafi haja fanya hio biashara?

Zamani hakukua na jela mkipigana vita anaepigwa ujue wanawake na jeshi Wanauzwa utumwani, machifu wote walikua na Watumwa.
Hatuwezi kushitakiana kikabila( it's impractical).
 
Back
Top Bottom