Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Wachambawima wanatamani kurudi kwenye utawala wa sultan hata leo 😀 alafu hicho kizee si ndio mjomba wake na bibi chaudere au niaje kama ndie basi tumekwisha hifadhi zetu 🙆😀
Mkuu hao ndio wadhali wakuu wa chaudere kwenye uchaguzi ujao, haya mabaiskeli na mapikipiki nchi zima wanatoa wao, so lazima maliasili za cnhi hii wapewe kama kurudisha fadhila ili wazitafune watakavyo.
 
Wachambawima wanatamani kurudi kwenye utawala wa sultan hata leo 😀 alafu hicho kizee si ndio mjomba wake na bibi chaudere au niaje kama ndie basi tumekwisha hifadhi zetu 🙆😀
Mkuu hao ndio wafadhali wakuu wa chaudere kwenye uchaguzi ujao, haya mabaiskeli na mapikipiki nchi zima wanatoa wao, so lazima mali asili za nchi hii wapewe kama kurudisha fadhila ili wazitafune watakavyo.
 
Waislamu likija swala la mwisalumu mwenzio hasa mwarabu mnakua kama matahira na kujitoa ufahamu
Utawala wa sultan umetesa sana waafrika ambao walikua waislamu
 
Kwa msiojua, Zanzibar ndiyo ilikuwa makao makuu ya Sultani wa Omani na Zanzibar, Jamshid bin Abdullah Al Busaidi kabla ya kutimuliwa na Field Marshal wa Zanzibar na Pemba, John Okello.

Aliapa kurudi hata ikichukua miaka mia na kweli sasa, baada ya miaka 60, anarudi...karibu sana Ex-Sultani wa Omani na Zanzibar.
 
Mpeni Urais sasa
 
Naam,
Wakati mapinduzi yakitekelezwa chini ya uongozi shupavu wa JOHN GIDEON OKELLO, Karume na mwenzie Hanga walikuwa wamejificha Dar es Salaam, Tanganyika
Alafu akapitia kizimkazi kwenda kuchukua uongozi zanzibar
Naam,
Wakati mapinduzi yakitekelezwa chini ya uongozi shupavu wa JOHN GIDEON OKELLO, Karume na mwenzie Hanga walikuwa wamejificha Dar es Salaam, Tanganyika
 

Attachments

  • IMG_20241207_114207_499.jpg
    485 KB · Views: 4
Waislamu likija swala la mwisalumu mwenzio hasa mwarabu mnakua kama matahira na kujitoa ufahamu
Utawala wa sultan umetesa sana waafrika ambao walikua waislamu
Wareno walikuja ukanda wa Pwani wakawa wanaua watu na kupora Mali, pwani yote hii ilikua haikaliki, hao unaosema wametesa watu ndio ambao waliwatoa wakishirikiana na makabila ya pwani.

Makabila yote unayoona makubwa nchi hii kama Wachaga, Wahaya etc mengi yamekuwa hivi sababu ya Sultan, yeye ndio kawatoa toa makabila madogo kuwa makubwa kwa kushirikiana nao. Soma Historia ya wachaga na Sultan ambayo hufundishwi shule.

Sultan hakuna na umero wa Kuteka maeneo ama kujimilikisha utawala Wa Nchi ile ilikua ni trading empire ambayo iliyafanya makabila ya Tanzania kuendelea kushikilia madaraka yao huku wakifanya biashara na yeye, ndio maana ukiangalia utajiri wa kipindi hicho cha Kilwa ama Zanzibar na sasa ni mbingu na Ardhi.
 
Ndio ujue kuwa yalikuwa mapinduzi haramu. Kuna watu walitumwa waje wawauwe wazanzibari tu. Sio kwa sababu za uhuru bali kwa sababu za chuki tu kwa wazanzibari na waislamu.
Mbona Tanganyika ilipata uhuru wake kwa amani.
Na hata zanzibar ilikuwa ishapata uhuru wake December 10 mwaka 1963, ila wahuni wakajitia kupindua ili kupata uhuru kumbe lengo ilikuwa ni kuuaa
 

Attachments

  • VID-20241210-WA0025.mp4
    1.1 MB
Lengo la kumrudisha Sultani ni nini? Yuko hai hadi leo hii kumbe? Akifika tu Zanzibar si wamkamate, sidhani kama watu wa Zanzibar watapendezwa na ujio wake hata kidogo, sbb wanajua madhila walioyopata sababu ya utawala wa Sultan..!! Ngoja tuone.
Madhila gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…