Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Mffyuuu.
Alokwambia hatufanyi kazi nani. Lini tulikuja kula kwako!?
We huwezi kujifananisha na mie katu.
Lkn ukweli usemwe tu, dhulma imepita na bado inatuadhibu, sote...tulokuwemo na tusokuwemo.
Poleni wazanzibar.
Tanganyika itaendelea ku control kila kitu kwenye hicho kisiwa.
Yaani remote ipo dodoma inacontrol kila kitu huko paje na mchambawima
 
Poleni wazanzibar.
Tanganyika itaendelea ku control kila kitu kwenye hicho kisiwa.
Yaani remote ipo dodoma inacontrol kila kitu huko paje na mchambawima
Insha'Allah kheri
Na ahsante kwa Pole 😍
 
Kuwafanya tu wanzanzibar kutamani kuwa waarabu muda wote inapaswa kuwa crime against humanity, hapo hatujazungumzia forced labour ya weusi waliotumika kumtengenezea maisha yake ya kifahari.
 
Ndio view ya Wazanzibari hio? Ama nyie wa Bara? Wazanzibari wengi ukiwaambia wachague utawala wa Sultan na huu wa sasa hawataki wa sasa, uchaguzi kila mwaka unaonesha.

Pia masultan wa Znz wengi wa miaka 100 iliopita ni weusi kushinda hata wewe.
Tatizo wazanzibar wanafikra za utumwa vichwani mwao hata Mombasa Kuna jamii ya kiarabu lakini huwezi kusikia watu wa Mombasa wakiwalilia waOman waje wawatawale
 
Upatanisho na wakoloni πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†. Hivi hamjui kuwa wana machungu na mlichowafanyia. Wakaribisheni baadae waanze figisu.
 
Yaani ulivyandika kwa Shauku na kujikwezaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

Hakika MTUMWA NI MTUMWA tu, babu zako wamatumbi na wamwera huko waliko wanakunja mafuvu yao na kujipigiza kwenye kuta za makaburi kwa gadhabu baada ya kuona huu uzi wako.

Hivi wazanzibari wnajua historia yao vizuri yaani wanajisahaulisha wao ni kizazi cha kitumwa tena watumwa sio kutoka OMAN ila kutoka Tanganyika ila wanaona Waoman waliotesa babu zao ni watu wa maana sana na wao wanajiona waomani🀣🀣🀣🀣

Ukienda Uarabuni mwafrica ni katika kiumbe daraja la chini sana tena ambaye unaruhusiwa kumiliki kama mali. Lakini waarabu hawa wa kubabatiza huku africa wanavyowahusudu waarabu orijinal sasaπŸ€—πŸ€—πŸ€—

Anyway, kupanga ni kuchagua!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…