Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Nilimsahau na Sheikh wetu Abeid Aman Karume! Na yeye alitakiwa pia kuhudhuria hayo mapokezi.Hata nyerere angekuwepo ingependeza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimsahau na Sheikh wetu Abeid Aman Karume! Na yeye alitakiwa pia kuhudhuria hayo mapokezi.Hata nyerere angekuwepo ingependeza
Ewe mbongo muoga, Chalamila tu anakutoa jasho utamuweza Sultan?Asikanyage bara
Poleni wazanzibar.Mffyuuu.
Alokwambia hatufanyi kazi nani. Lini tulikuja kula kwako!?
We huwezi kujifananisha na mie katu.
Lkn ukweli usemwe tu, dhulma imepita na bado inatuadhibu, sote...tulokuwemo na tusokuwemo.
Insha'Allah kheriPoleni wazanzibar.
Tanganyika itaendelea ku control kila kitu kwenye hicho kisiwa.
Yaani remote ipo dodoma inacontrol kila kitu huko paje na mchambawima
Kuwafanya tu wanzanzibar kutamani kuwa waarabu muda wote inapaswa kuwa crime against humanity, hapo hatujazungumzia forced labour ya weusi waliotumika kumtengenezea maisha yake ya kifahari.Huyu anapaswa kupewa heshima zote aliwafanyia Tanganyika mambo mema, ndo aliowafundisha watanganyika kuvaa nguo, alishirikiana na serikali ya uingereza kukomesha biashara ya utumwa, alizuia kazi za manamba, alitengeneza utawala wa sheria, aliruhusu vyama vingi vya siasa. wahuni wakatumia uungwana wake kumfanyia mambo ya hovyo,
Wahaini mnadai fidia? Mlimpindua inabidi mumlipe mlivyomnyang'anya kwanza ndo muombe msamaha.Aje na fidia kwa watu weusi waliowafanyia unyama vinginevyo tutamgawana
Ulimuua wewe?Huyu si alifia uingereza au kafufuka tena.?
Siyo bara,Asikanyage bara
Unazungumziaje watumwa aliowauza uarabuniWahaini mnadai fidia? Mlimpindua inabidi mumlipe mlivyomnyang'anya kwanza ndo muombe msamaha.
Mambo ya Zanzibar watajuana wenyeweapewe pia hadhi ya Rais mstaafu ikiwemo gari nyumba na ulinzi, pia arudishiwe mali zake
Tatizo wazanzibar wanafikra za utumwa vichwani mwao hata Mombasa Kuna jamii ya kiarabu lakini huwezi kusikia watu wa Mombasa wakiwalilia waOman waje wawatawaleNdio view ya Wazanzibari hio? Ama nyie wa Bara? Wazanzibari wengi ukiwaambia wachague utawala wa Sultan na huu wa sasa hawataki wa sasa, uchaguzi kila mwaka unaonesha.
Pia masultan wa Znz wengi wa miaka 100 iliopita ni weusi kushinda hata wewe.
KAjileta mwenyewe,ngoja wakina john okelo waliobaki wa malizie kazi,dhidi ya huyo mjaaa laana sultan gaidi.Ulimuua wewe?
Wewe huwa huna hoja za maana bali kejeli tu.Kwenye mapokezi Sultan Mbowe, Sultan Lipumba na Sultan Cheyo wawepo 😂
Upatanisho na wakoloni 😆😆😆😆😆. Hivi hamjui kuwa wana machungu na mlichowafanyia. Wakaribisheni baadae waanze figisu.View attachment 3186808
Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.
Cc Pascal Mayalla
Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.
Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.
Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Sultan zitto AKA Ayatollah wa kwanza wa ACT Wazalendo awepo naye 😅😅Kwenye mapokezi Sultan Mbowe, Sultan Lipumba na Sultan Cheyo wawepo 😂