Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

Zanzibar Kumpokea Sultan Jamshid: Ziara ya Kihistoria Baada ya Miaka 60 Uhamishoni

boss slave trade ni mbaya ila hakuna ambaye hajafanya, tena afadhali hao waarabu walikua na ustaarabu kidogo soma slave trade ya machief ni mbaya kupita maelezo, chief anakufa watumwa kadhaa watoto wa kike vigoli wanazikwa nae, mfalme anatoka tu na farasi wake anaenda vijijini anakamata watumwa etc.

waarabu mtumwa aliweza kujinunua mfano wewe umeuzwa utumwani kwa laki 5, ukaenda znz mashamba ya karafuu, kule unalipwa 20,000 kwa mwezi, ukisave hela zako zikatimia laki 5 unanunua uhuru wako na kuondoka. na hao walikua ni watu wa bara. watu wa pwani walikua hawauzwi kabisa utumwani, mfano wazaramo tabia yao walikua wanajiuza wenyewe kwenye utumwa znz, ndugu anachukua hela akifika kule anapanda kidau anarudi zake huku, wakapiga marufuku kununua mzaramo utumwani.
Huu unaitwa uongo mtakatifu
 
Nafahamu mko hapa kupima upepo, ila katika jambo ambalo SAMIA asijethubutu hata kulizungumzia ni hili. Siku anafanya hivi ndiyo itakuwa mwisho wake. Kubwa zaidi Jamshid atakuwa ni MPUMBAVU asiyejifunza endapo atalazimisha kufika Zanzibar.
sultan ana kosa gani? je alishawahi kupigwa marufuku kukanyaga zanziber? ana jinai aliyoikimbia kwamba akifika atatiwa korokoroni? amekuwa akiishi nje ya nchi kama mkimbizi na uraia wake wa zanziber bado anao, ni sawa na lisu lema wenje walivyokuwa wakiishi uhamishoni walivyokumbuka nyumbani walirudi kama raia wa kawaida na viongozi wa taasisi zao

kwanza, we hanithi kweli kwahiyo utamfanya nini mama? uliambiwa ni sheha wa mtaa? tena ukome
 
Huyo mfalme sio kaja kutembea tu,huwezi jua yaliyo nyuma ya pazia.
Labda kuna makubaliano ya aina fulani ikiwa atarudi Zenj.
Na siyo ishara nzuri kwa baraza la mapinduzi.Mwenye nchi anakuja.
kweli bado mnamhofia mtu mwenye miaka 90 kweli?
 
Karume aliwasaliti wakina okelo na wenzake walioshiriki mapinduz tukufu
Kwa hofu ya usaliti karume akaona auze uhuru ambao hajaupigania kwa nyerere hakuona thaman ya ule uhuru sababu hakuupigania

Okello na wenzake walikua loyal kwake akawasiti ndo chanzo cha migogoro mpaka leo
Karume wa Malawi naye sio mzanzbari, so mapinduzi ni tale ya wageni waliokuwa wanawapangia Znz nini cha kufanya
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Nimethibitisha this is fake news!.
Jibu la Familia
Hii ni jawabu la famila yake👇🏼

The article reflects fantasy and fiction and readers should be warned of its fake news content.

The former Sultan has absolutely no desire to return to Zanzibar where memories still linger of the atrocities committed by the murderous indigeneous mobs and outsiders.

To date the revolutionary government hasn't apologised to the families whom lost their loved ones on 12 January 1964. Instead the genocidal events are lavishly celebrated annually by the government of the Island of Zanzibar.

Justice will be served on Resurection Day and the perpetrators will receive their long overdue punishment for their role in the crimes against humanity.
P.
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
imagine kuna jitu linasherehekea na kukaribisha kutawaliwa

nyie kuna miafrika ni laana juu ya uso wa dunia
 
Kumbe bado anaishi!!! Ana miaka mingapi kwa sasa? Alipokuwa akiitawala zanzibar alikuwa na miaka mingapi?
Waliomtoa yeye madarakani vijana wa Umma Party wengi wa viongozi wake walishatangulia mbele za haki.

Karume ana bahati sana. Mapinduzi wafanye wengine uraisi akapewa yeye. Wakati hakushiriki kwenye mapinduzi hata kidogo.

Karume alipewa uongozi kwa influence ya Nyerere, Bila ya hivyo asingeupata kabisa
 
Lengo la kumrudisha Sultani ni nini? Yuko hai hadi leo hii kumbe? Akifika tu Zanzibar si wamkamate, sidhani kama watu wa Zanzibar watapendezwa na ujio wake hata kidogo, sbb wanajua madhila walioyopata sababu ya utawala wa Sultan..!! Ngoja tuone.

Mkuu unaijua Zanzibar kweli? mapenzi yao kwa huyo SUltan ni makubwa sana na zaidi wakiyafikiria miaka 60 ya utawala wa CCM wanazidi kuvurugwa
 
Ni John.

Tito na John kuna kitu wanafanana.

John Okello alimpindua Sultan, akaongoza kwa muda mfupi sana, ndiye aliyeunda Baraza la Mapinduzi na kumteua Karume, then akamkabidhi Madaraka Karume. Karume alipokabidhiwa akamfukuza Johhn Zanzibar na kumtaka baada ya muda fulani awe ameondoka visiwani. Tangu hapo, hakupokelewa Tanganyika, wala Kenya hadi aliporudi kwao. Kabla ya umri wa miaka 20 alikuwa ameshazunguka nchi karibu zote za British East Afrika, aliingia Zanzibar akiwa na miaka 22.

Tito Okello alimpindua Milton Obotte, akaongoza kwa miei 6 tu akamuita Museven aja aongoze nchi, Museven alipochukua Madaraka akawa anamlia timing ili kum terminate Tito Okello, alipozipata hizo taarifa, akatorokea Kenya, akakaa huko kwa muda mrefu sana hadi Museveni alipomtangazia Amnesty ndipo jamaa akarudi Uganda na kufariki miaka mitatu baadaye akiwa na umri wa miaka 81.

hii story umetoa wapi mkuu?
 
View attachment 3186808

Mnamo Januari 9, 2025, Zanzibar itashuhudia tukio la kihistoria itakapompokea Sultan Jamshid bin Abdullah kurejea kwenye pwani zake. Hili ni tukio muhimu sana kihistoria, kwani mtawala wa zamani wa Zanzibar anarudi baada ya miongo sita ya uhamisho nchini Uingereza na Oman, kufuatia kuondolewa kwake madarakani wakati wa mapinduzi ya 1964.

Cc Pascal Mayalla

Maelezo kuhusu jinsi ziara hii ilivyopangwa bado hayajafahamika, lakini umuhimu wake hauwezi kupuuzwa. Kurudi kwa Sultan Jamshid kunawakilisha ishara ya upatanisho wa kipekee kutoka kwa serikali ya Zanzibar. Ziara yake inaweza kuwa daraja kati ya enzi za kabla na baada ya mapinduzi, ikichochea mshikamano na uponyaji wa kitaifa.

Zanzibar inaweza kuchukua nafasi hii kumwalika Sultan kuishi katika mojawapo ya majumba yake ya zamani kama raia wa kawaida. Hatua kama hiyo haitaimarisha tu taswira ya Zanzibar kimataifa bali pia inaweza kuinua sekta yake ya utalii, kwani uwepo wake utavutia shauku kubwa. Zaidi ya hayo, inaweza kuashiria sura mpya ya upatanisho kati ya Sultan na serikali ya mapinduzi, ikitoa mfano wa maendeleo na mshikamano.

Dunia inaposhuhudia tukio hili la kihistoria, Zanzibar inasimama katika nafasi ya kubadilisha urithi wake kuwa simulizi ya mshikamano na heshima ya pande zote.
Issa AlHarthy.
Hii ni fake news!. Story ya Kurejea kwa Sultan wa Zanzibar ni Fake News!. JF Tumelishwa Tango Pori!. Asante Kaka Chale Kuniwezesha Kuupata Ukweli.
P
 
Back
Top Bottom